Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Blog Directory  >  Technology Blogs  >  Mustapha MaDish Tech technology Blog  > 

MAKOSA KATIKA UFUNGWAJI WA DISH
2023-05-02 23:09
Wingi wa makampuni ya visimbuzi imekuwa fursa kwa vijana wengi kuwa mafundi, ni jambo zuri ila nawasihi mzingatie kujifunza ili kufanya kazi kwa ustadi..Haya ni baadhi ya makosa ambayo yanaf… Read More
MAFUNDI WA AZAM TV TANZANIA
2023-01-23 14:08
  Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza… Read More
MAFUNDI WA DSTV TANZANIA
2023-01-23 13:23
 Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukuf… Read More
CODE ZA VISIMBUZI TANZANIA
2022-10-10 07:46
Kila kisimbuzi kina CODE yake katika kurahisisha mteja kuweza kujihudumia mwenyewe pasipo kuwasiliana na huduma kwa wateja, hivyo tumia CODE hizi na pindi unapoona haijawa msaada ndipo upige… Read More
Je LNB Ikitoboka Ndio Imekufa!?
2022-10-07 07:45
Moja kati ya maswali ambayo nimekuwa nikiulizwa mara kwa mara, kila mtu ana namna yake ya kuuliza ila nikiliweka katika mfumo rasmi nimeulizwa Je LNB ikitoboka ndio imekufa!? Nitakuja niwaju… Read More
CHANNEL GANI UNAITAKA KWENYE TV YAKO!?
2022-10-06 18:39
 TV inaweza ikakufanya uizunguke dunia.. popote utakapotaka kujua yanayojiri unaweza ukayajua ukiwa na remote yako tuu.. maamuzi ni yako..Tuambie channels gani ama channels za nchi gani… Read More
UTAJUAJE KAMA TV YAKO INA KING'AMUZI NDANI?
2021-07-14 14:06
Swali la wengi kwasasa ni hili kutokana na ukweli kwamba uondoshwaji wa local channels kwa baadhi ya Visimbuzi imekuwa kama janga hivi.. Sasa niwape namna ya kujua jinsi gani ya kupata local… Read More
JE KOPO LINASAIDIA KIPINDI CHA MVUA!?
2021-07-14 14:02
"Kwenye Kisimbuzi ( King'amuzi ) kinachotumia Dish kufunika lnb kwa KOPO hakusaidii chochote katika kufanya Kisimbuzi chako kisisumbue wakati wa MVUA..." Tukirejea nyuma kidogo hata waliot… Read More
BEI ZA VIFURUSHI KWENYE VING'AMUZI
2021-07-14 14:00
Leo nakuletea bei ya orodha ya ving'amuzi ( Visimbuzi ) vyote Tanzania, pia utapata kujua idadi ya channels kwa kila kifurushi, naamini hii itakusaidia kujua kifurushi kipi ili ufanye malipo… Read More
CHEAP CCTV CAMERAS INSTALLATION
2021-07-14 13:57
 Dunia imebadilika siku hizi ukiachilia umuhimu wa cctv cameras ni kupata ulinzi pia inakujuza kwa urahisi kinachoendelea muda ambapo wewe haupo na zuri zaidi unaweza ukapata kuona kina… Read More
UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2018!?
2021-07-14 13:56
Biashara ushindani hivyo kuna maboresho kila kukicha kwenye swala la kukidhi haja za wateja na leo nakuletea list ya bei za ving'amuzi kwa mwaka 2017 na jinsi ya kununua kwa bei hii:-Azam tv… Read More
OFFER MPYA YA DSTV INAKUFATA ULIPO!
2020-03-01 21:24
Popote ulipo kwa Dar es salaam ikiwa unahitaji kisimbuzi ( Decoder ) ya dstv unachopaswa kufanya ni kupiga tu simu namba 0789476655 kisha kwa Tsh 79,000 tu unaletewa mpaka ulipo na kufungiwa… Read More
STARTIMES KUWEKA CHANNEL ZA DSTV NA AZAM TV
2018-12-25 11:21
Niliwahi kupata swali kama hili na nilishawahi kuona matangazo sehemu kadhaa mitandaoni ya kuwa kama unatumia king'amuzi cha Startimes tunaingiza channel za Azam tv na DStv na tangazo lengin… Read More
MKOA GANI UNAIKOSA OFFER YA DSTV!!??
2018-06-09 17:39
#DStvnimoto #KamasiodstvpotezeaZimebaki siku chache mnoo tuingie kwenye kuangalia ile michuano ya kombe la dunia na kila mshabiki wa soka anatamani kufatilia michuano hiyo mojakwamoja toka U… Read More
OFFER YA DSTV ANGALIA WORLD CUP BURE!!
2018-06-03 15:07
 Hii ni kwa wateja wapya wote watakaojiunga na DStv toka sasa!Ipo hivi!!Unalipia Tsh 79,000 unapata:-1.Dish2.Decoder HD3.HDMI cable4.AV cable 5.Coaxial cable m206.LNB7.Package ya miezi… Read More
ANGALIA KOMBE LA DUNIA KWA TSH 19,000 TU!
2018-05-18 16:36
 Hapa nazungumzia michuano ya kombe la dunia 2018 itakalofanyika urusi zaidi ya timu 30 kushiriki michuano hii..Michuano hii inahusisha dunia hivyo wapenzi wa mpira duniani imeelekeza… Read More
2018-04-18 16:20
Awali sio tu Vifurushi ilikuwa hata kununua DStv ilikuwa ujipange hasa... hapa nazungumzia kipindi kilee hata Tanzania haijalazimika kuingia katika mfumo wa matangazo ya Digital ( Utumi… Read More
MAFUNDI WA DSTV
2018-04-17 21:56
 Kutokana na ukweli kwamba ujaji wa mfumo wa Digital kumekuwa na ongezeko kubwa la ajira kwa vijana kwa kuendana na wakati uliopo, mojawapo ya ajira hizo ni Ufundi wa kufunga Ving'amuzi… Read More
STARTIMES CHANNEL 5 BURE HATA USIPOLIPIA
2018-04-05 12:46
Startimes ni moja kati ya ving'amuzi ambavyo vinapaswa kuacha channels za Tanzania uzione bure hata kama malipo yako yameisha.. Hii ni kwa Startimes ya Dish na Antanna..!Je wewe ni mtumiaji… Read More
PATA MSAADA WA HARAKA KAMA UPO INSTAGRAM
2018-04-01 10:21
Habari mdau wa Digital tv kiujumla!Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati naomba tusameheane kwa kuwa majukumu nayo yamekuwa meengi… Read More
SAA 2 ASUBUHI - SAA 2 USIKU
2018-02-15 11:21
Mnaopata wasaa wa kutembelea blog hii naomba mlizingatie sana hili!Nimetoa uhuru wa mtumiaji wa king'amuzi chochote kile aweze kupata msaada kupitia blog hii, kwa post nitoazo ama laa kwa ku… Read More
HD - High Definition NI NINI!?
2018-01-07 10:47
HD kirefu chake ni High Definition - ni picha yenye ubora zaid ya SD kirefu chake ni Standard Definition kama kwa mfano unavyoonekana hapo chini! Ili uangalie katika mfumo wa HD ni lazi… Read More
TELEVISION AU RUNINGA NI NINI!?
2018-01-06 19:57
 Tv ya kijerumani ya mwaka 1956Neno "televisheni" linatokana na maneno mawili: tele (kutoka Kigiriki: kwa mbali sana) na visio (kutoka Kilatini: mwono; kwa pamoja yanaunda neno la Kiing… Read More
KING'AMUZI KISICHO NA MALIPO YA MWEZI
2018-01-04 13:25
Awali tulikuwa na ving'amuzi viwili ambavyo havikuwa na malipo ya mwezi, kulikuwa na Digitek na Continental, baadae Continental wakaanza mfumo wa kulipia na kuwa na Vifurushi pia kutaka kuju… Read More
KUTUMIA KING'AMUZI KIMOJA KWA TV ZAIDI YA 1
2018-01-04 11:53
Ving'amuzi vyote unavyovijua wewe iwe vya bure ama vya kulipia, nikiwa na maana vyenye kulipia malipo ya mwezi na visivyo na malipo ya mwezi, unaweza kutumia king'amuzi kimoja kwa tv zaidi y… Read More
OFFER YA ZUKU TV 2018
2018-01-04 05:43
Katika kumbukumbu yangu ilikuwa ili umiliki king'amuzi cha Zuku tv ni lazima ilikuwa uwe na Tsh150,000/= Bei ikashuka ikawa Tsh 105,000/=! Ikashuka tena kwa Tsh 95,000/=Kwa sasa OFFER iliyop… Read More
LNB NI NINI...??
2018-01-03 12:42
Kwenye Technology kuna vifaa ambavyo kuvitafutia lugha ya kiswahili moja kwa moja hakuna ila nitakachojitahidi kufanya ni kukupa urahisi ili uelewe pasi kutoka nje ya maana yenyewe.LNB ni ni… Read More
BEI ZA VIFURUSHI KWENYE VING'AMUZI 2018
2018-01-02 18:43
Tayari tumeshaingia ungwe nyengine nikiwa na maana tayari tumeachana na mwaka 2017 na sasa ni mwaka 2018 na ndio kwanza tunauanza.. Tuachane na ya mwaka 2017 sina maana hayapaswi kuangaliwa… Read More
NAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA
2018-01-01 13:46
 Kitendo cha kuendelea kupumua na kufanikiwa kuuona mwaka mpya 2018 unapaswa kushukuru, mshukuru Mungu bila kuangalia una hali gani ama yale uliyoyapa kuwa kwa mwaka 2017 hayajawa..Bina… Read More
KUHUSU LIGI YA UINGEREZA KUONYESHWA AZAM TV
2017-12-22 10:13
Leo ukiwapa nafasi wapenzi wa mpira ambao ni wateja wa king'amuzi cha Azam moja ya swali kuu ni kuhusu uonyeshwaji wa ligi ya uingereza kama ambavyo mmoja kati ya wapenzi hao wa kabumbu wa… Read More
UNALIPIA LAKINI INAKATA KABLA MWEZI KUISHA
2017-12-13 23:03
Hii inaweza kutokea kwenye ving'amuzi vyote na hutokea makosa ya mtandao ama kama kifurushi ulichopo sio sahihi hivyo hakiwezi kufika mwezi kwa baadhi ya ving'amuzi! Mara chache mno hutokea… Read More
OFFER YA STARTIMES 2017 KUELEKEA 2018
2017-12-13 21:29
MFALME WA BURUDANI ZA FAMILIAOffer hii inakupa unafuu kama ifatavyo:-Kwa Tsh 78,000 StarTimes ya Dish - Unapata vifaa pamoja na kifurushi cha mwezi mmoja. Kwa Tsh 34,000 Decoder ya Antenna.U… Read More
2017-12-11 19:45
#fundimakini ile #mikonosalama ya #mustaphamadish imeshafanya yake.. Nicwe muongo nawachukia Walee #fundikalipua nitawanyoosha tu yaani mpaka mnyooke! #signalqualitytvA post shared by Mustap… Read More
OFFER YA DSTV 2017 KUELEKEA 2018
2017-12-02 11:06
FUNGA MWAKA NA DSTVOffer hii inakupa unafuu kama ifatavyo:- Kwa Tsh 79,000/= Unapata Vifaa pamoja na kifurushi cha mwezi mmoja ( Bomba Tsh 19,000 )Ufundi Tsh 30,000/=Vifurushi vya DStv… Read More
OFFER YA AZAM TV 2017 KUELEKEA 2018
2017-12-02 11:04
King'amuzi ambacho ni mpinzani pekee wa DStv kwa Tanzania na ni kweli kinafanya vizuri sana hasa bila kumung'unya maneno..!Siku za usoni nitakuja kuwajuza sababu ya king'amuzi cha azam tv ku… Read More
2017-11-11 12:32
 #MustaphaMaDish na zao lake #FundiMakiniAliyefunga hapa ni #FundiKalipua sio #FundiMakini Toka #MaDishTechnology Read More
TV 15 | DISH 1 | HOSPITALINI
2017-10-31 23:33
Ilikuwa ni kazi ya siku moja ama 2 ila kutokana na mazingira yalivyo imetuchukua wiki 2 ama 3.. hii ni sehemu ambayo haitakiwi kelele na inapotokea idadi ya wagonjwa ni kubwa hakuna nafasi y… Read More
CABLE SNAKE BUNNINGS
2017-10-15 20:10
Hiki ni kifaa maalum ambacho kinatumika katika kuvuta wire unaopita kwenye Conduit, hutumika pale inapotokea ugumu katika kupitisha cable ili uweze kufika kwenye point husika..Cable Snake ma… Read More
DISH 1 DECODER 91 ROOM 168
2017-10-11 08:59
 APARTMENT INSTALLATION:Jengo la Apatment husika Mustapha MaDish Kinachofanyika hapa kinawezekana hata kwenye nyumba yako ya kawaida ambayo ina room 3 ama zaidi, Hostel n.k. I… Read More
PENDA UNACHOFANYA..
2017-09-07 11:42
ILI UFANIKIWE...  NIMEJIFUNZA KUZINGATIA MOJA KATI YA VITU MUHIMU.. NI KUPENDA UNACHOFANYA....... Hapa siangalii sana napata bei gani ingawaje pesa ndio ambayo hasa tunaitafuta.. Nna me… Read More
BEI & VIFURUSHI VIPYA AZAM TV
2017-09-03 08:34
 AZAM LITETsh 15,000/=Channels 55+Kujua Channel zilizopo Bofya HapaAZAM PURETsh 18,000/=Channels 60+Kujua channel zilizopo Bofya HapaAZAM PLUSTsh 23,000/=Channels 90+Kujua channel ziliz… Read More
DSTV YASHUSHA BEI ZAIDI | VIFURUSHI
2017-08-29 15:24
Habari njema kwa wadau wa kabumbu na wateja wote wa DStv kiujumla! Kuanzia tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2017 bei zitapungua kama ifatavyo kwa Vifurushi vyote vya DStv:-1.Premium kutoka 184000 m… Read More
UZIO WA UMEME KWA ULINZI
2017-08-29 08:37
Tukikuhudumia unapata faida gani!?Jengo na mali zako kiujumla kuwa salamaBei nafuu ambayo mtanzania ni rahisi kuimudu Tunakupa ushauri kabla ya kukuuzia huduma Tunafanya kazi ndani ya m… Read More
TUPE RUKSA YA KUZILINDA MALI ZAKO!
2017-08-19 20:18
Moja kati ya Hiden Camera ambazo hazionekani, hii ni kwenye Office.Tuna njia mbili za kuomba ruksa yako tuzilinde ama tuzifanye mali zako kuwa salama muda wote, ama kukufanya kana kwamba upo… Read More
KUPATA CHANNELS ZA BURE KWENYE HOTEL/LODGE
2017-08-10 08:41
 Ili uweze kupata channels za Local ( Tanzania ) kwa kupata habari na vipindi vya nyumbani bila kufanya malipo ya mwezi,hapo hapo kila tv ikijitegemea yenyewe bila kuingiliana na nyengi… Read More
STARTIMES INSTALLATION IN TANZANIA
2017-07-26 10:58
StarTimes full Installation wherever you're in Tanzania call us +255789476655Installation in HotelInstallation in OfficeInstallation in ApartmentInstallation wherever you wantTechnical Issue… Read More
ZUKU TV INSTALLATION IN TANZANIA
2017-07-26 10:50
Zuku tv full Installation wherever you're in Tanzania call us +255789476655Installation in HotelInstallation in OfficeInstallation in ApartmentInstallation wherever you wantTechnical IssueMo… Read More
AZAM TV INSTALLATION IN TANZANIA
2017-07-26 10:43
Azam tv full Installation wherever you're in Tanzania call us +255789476655Installation in HotelInstallation in OfficeInstallation in ApartmentInstallation wherever you wantTechnical IssueMo… Read More
DSTV INSTALLATION IN TANZANIA
2017-07-26 10:40
DStv full Installation wherever you're in Tanzania call us +255789476655Installation in HotelInstallation in OfficeInstallation in ApartmentInstallation wherever you wantTechnical IssueMonth… Read More
UNAMLIPAJE FUNDI HUYU!?
2017-07-26 07:49
Kwa mara ya kwanza naiona hii Dish kwanza nilicheka.. nilicheka kwakuwa vinachekesha na wala sikutegemea kukutana na kitu kama hiki.. Ndio nimekutana na dish nyingi zilizofungwa na kina #Fun… Read More
BreakingNews Toka DStv!!
2017-07-20 18:38
Wale wapenzi wa mieleka hii imekaaje kwenu!!!!??Supersport imeingia mkataba mpya na WWE wa kuonyesha michuano yake yote LIVE bila kukosa. Supersport itarusha WWE Flagship shows ikiwemo R… Read More
UNAWAJUA WAHENGA WA HIZI KAZI!?
2017-07-17 16:10
Neno MUHENGA sio neno geni isipokuwa siku hizi ndio umekuwa msemo... Hapa namkumbuka mwalimu wangu wa lugha moja kati ya aliyowahi kunifundisha ni ile misemo ambayo inakuja na kupotea ingawa… Read More
ELECTRIC FENCE
2017-07-02 06:09
Electric Fence kiwandani.  Electric Fence kwenye nyumbani.Ni katika kuhakikisha sehemu yako na mali zako kiujumla zinabaki salama kwa kuweka ulinzi na mfumo wa ulinzi mmojawapo ni huu w… Read More
OFFER YA AZAM TV MSIMU WA SABA SABA
2017-07-01 09:59
SABA SABA OFA!!!!! Nunua kinga'muzi kwa shilingi 140,000 nasi tunakuzawadia kifurushi kikubwa cha 28,000 kwa miezi miwili bureeeee Fika kwenye Banda letu la Azam TV sabasaba na ofa hii ni y… Read More
OFFER YA STARTIMES MSIMU WA SABA SABA
2017-07-01 09:16
Katika msimu huu wa Sabasaba pata punguzo la bei la kufa mtu toka StarTimes  (8% discount) katika kila bidhaa zetu... Fika katika Duka letu mkabara na Tbc Offer kedekede zipo kwa ajili… Read More
OFFER YA DSTV MSIMU WA SABASABA
2017-07-01 08:35
PATA OFA YA SABA SABA NA DStv ! Msimu wa maonyesho ya Biashara ya SabaSaba umewadia rasmi ambapo DStv wanapatikana pale kwenye viwanja vya SABA SABA wakiwa na OFA za kipekee kwenye Msimu… Read More
OFFER ZA VING'AMUZI MSIMU WA SABA SABA
2017-07-01 08:22
Kwa wale ambao mpaka leo hamjanunua bado Ving'amuzi,tumeingia msimu mwengine wa Offer ili tu kukuwezesha wewe usie na king'amuzi mpaka leo uweze kununu!Bei ya Azam tv Bofya HapaBei ya Contin… Read More
ONDOKANA NA WINGI HUU WA MADISH..!
2017-06-26 21:17
 Hapa ni kwenye jengo la Dar Free Market. Hizi ni baadhi tu ya dishi zilizopo hapa,kutokana na taaluma tuliyonayo haikupaswa kufungwa dishi zote hizi...!Awali ilikuwa Antenna zile… Read More
TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NDUGU ZETU !!
2017-06-24 18:51
Waislamu tupo ukingoni katika kukamilisha moja ya nguzo muhimu katika dini yetu kama ambavyo tumeongozwa kutekeleza..Leo ni chungu cha 28,bado siku moja ama mbili ili tumalize mfungo na tuin… Read More
OFFER YA AZAM TV 2017
2017-06-12 17:39
Azam tv inaendeleza kufanya vizuri na sasa ina Offer kwenye malipo ya mwezi!Bei ya kununua King'amuzi ni Tsh 135,000/= bila Ufundi wala KifurushiUfundi ni Tsh 30,000/=Vifurushi Bofya HapaOff… Read More
UNAZIJUA BEI NA OFFER ZA VING'AMUZI 2017!?
2017-06-12 12:18
Biashara ushindani hivyo kuna maboresho kila kukicha kwenye swala la kukidhi haja za wateja na leo nakuletea list ya bei za ving'amuzi kwa mwaka 2017 na jinsi ya kununua kwa bei hii:-Azam tv… Read More
OFFER YA DSTV 2017
2017-06-12 12:14
DStv inaendelea kufanya vizuri na sasa ina Offer kwa wateja wapya ukinunua King'amuzi kwa Tsh 79,000/= unapata na Kifurushi cha Bomba Tsh 19750 kwa mwezi mmoja!Ufundi Tsh 30,000/=Vifurushi B… Read More
2017-06-08 07:21
Siku zote tunasisitiza huduma bora bila kubagua uwezo wa wadau wetu ama sehemu uliyokuwepo ingawaje lawama zilikuwa nyingi kwa kuwapa ugumu wadau wetu ambao mlikuwa mnatuhitaji mliopo nje ya… Read More
2017-06-04 20:18
MADISH TECHNOLOGY INAHITAJI VIJANA ( sales ) WACHAPA KAZI WAPATAO 12 KWA MIKOA IFATAYO:-ArushaDar es salaam Dodoma MwanzaTanga ZanzibarWenye sifa zifatazo:-Uwe mtanzaniaUwe na umri 23 - 30Uw… Read More
2017-06-04 19:11
Hapa tunazungumzia ule mfumo wa CCTV CAMERAS ni katika kuhakikisha ulinzi wa mali yako ama eneo unalomiliki lipo salama kama si chini ya uangalizi wako muda wote,pasi kudanganywa wala kupitw… Read More
2017-05-31 22:21
Kwanza ukishakuwa Fundi moja kwa moja unaaminika kwa taaluma uliyonayo hivyo mteja ama jamii kwa ujumla wanajikuta wanaona unachofanya ama kusema ndicho sahihi kutokana na wadhifa wako hata… Read More
SABABU ZA KING'AMUZI CHAKO KUZIMA GHAFLA
2017-05-28 14:58
Hii nimejumuisha Ving’amuzi vyote iwe Azam tv,DStv,Startimes,Zuku,Continental,Digitek na hata Receiver za FTA kiujumla.Angalia kwenye orodha king’amuzi unachotumia kisha ukibofya… Read More
KARIBU KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
2017-03-23 05:48
> Je una King'amuzi? > Je una swali lolote kuhusu King'amuzi? > Kama bei za Vifurushi/Jinsi ya kulipia/Kupata Mafundi, n.k > Unataka kununua King'amuzi ama Chochote kinachohusu… Read More
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI ZUKU TV
2016-12-28 22:10
Wateja wengi wa Zuku tv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi!Kwa… Read More
TUNAAGA 2016 | KWA KUJITUMA ZAIDI
2016-12-28 21:55
Mafanikio hayana njia ya mkato,ukipata kauli za wengi wa liofanikiwa watakwambia njia walipitia na kamwe hakuna njia ya mkato.. nimejifunza kutokutamani mafanikio ya mtu bila kuwa tayari kup… Read More
2016-12-28 21:52
Mafundi wa uhakika wa king'amuzi chako unachotumia limekuwa tatizo kubwa hasa kwa baadhi ya maeneo,hii imepelekea baadhi ya wateja kuona yakwamba king'amuzi anachotumia ni tatizo kwakuwa hak… Read More
OFFER YA X MASS | ZUKU TV 2016
2016-12-20 05:20
Kuelekea kumaliza mwaka Zuku inakuja na Offer hii kwenye msimu huu wa sikukuu ya x mass na mwaka mpya !! Tsh 88,000/= Kununua Badala ya Tsh 95,000/=Hii unapata Vifaa vyote ( Dish,Decoder,Lnb… Read More
TV E TANZANIA | KWENYE KING'AMUZI CHAKO
2016-12-03 07:59
Siku zote ili ufanye vizuri ni lazima upate mpinzani na ndicho kinachotokea hapa..Historia inaonyesha Clouds Fm ilifanikiwa kuzipoteza radio ambazo alizikuta katika swala la burudani na kupe… Read More

Share the post

Mustapha MaDish Tech

×

Subscribe to Mustapha Madish Tech

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×