Siku zote tunasisitiza huduma bora bila kubagua uwezo wa wadau wetu ama sehemu uliyokuwepo ingawaje lawama zilikuwa nyingi kwa kuwapa ugumu wadau wetu ambao mlikuwa mnatuhitaji mliopo nje ya Dar es salaam
Kwa sasa ni rahisi sana kupata huduma zetu ukiwa mkoa wowote Tanzania kwa kufata utaraibu huu:-
- Angalia katika orodha huduma uitakayo ipo?
> TV System Installation
> TV System Repairing
> Azam Tv Installation/Repairing
> DStv Installation/Repairing
> StarTimes Installation/Repairing
> Zuku Tv Installation/Repairing
> Continental Installation/Repairing
> Flat screen & Projector Installation
- Wapi tusababishe ama una Tv ngapi?
- Unahofia gharama zetu?
- Uzoefu wetu upoje?
> Uzoefu umetufanya tuwe wabunifu mara dufu
> Tunavielewa vema Ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania na nje ya Tanzania
> Tunazielewa vema Camera na kila updates
> Tumefanya/Tumewafanyia kazi watu/sehemu Expensive.Mf:Ikulu-Prime Minister Office | JB belmonte Hotel | Nyumbani kwa Mkurugenzi wa IPP Media Bw.R.Mengi.
> Tume na tunaendelea kuwasaidia mafundi wanapokwama na kuwapa training wasiojua na matokeo kuwa mafundi wazuri
- Vifaa tunavyotumia kukufungia
- Tunafanyakazi kihalali ama tunanjunga?
- Kwanini usituite mkoani kwako tuwe mfano?
> Tupigie +255789476655 ama email yetu ni:[email protected]