Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

MAFUNDI WA AZAM TV TANZANIA

  Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!

Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-

  • Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
  • Umehama jengo unataka kufungiwa
  • Inasumbua unataka kufanyiwa repair 
  • Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
  • Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
  • Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
  • Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu

 Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!

Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!

Piga +255784378129 WhatsApp +255658046655

Tukifunga huwa tunafunga hivi!

Somewhere in Msasani - D'salaam 

Somewhere in Msasani - D'salaam

Tanesco HQ - D'salaam

Salaam Hotel - D'salaam

Channels searching ( Transit Motel ) - D'salaam 

Channels searching ( Lodge ) - Dodoma 

Cable installations ( Dar city view ) - D'salaam 

Control room ( King D hotel ) - D'salaam 

Dish installation 

RG 11 Coaxial cable 

Control room

Instagram @mustaphamadish 




This post first appeared on Mustapha MaDish Tech, please read the originial post: here

Share the post

MAFUNDI WA AZAM TV TANZANIA

×

Subscribe to Mustapha Madish Tech

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×