Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

BEI ZA VIFURUSHI KWENYE VING'AMUZI


Leo nakuletea bei ya orodha ya ving'amuzi ( Visimbuzi ) vyote Tanzania, pia utapata kujua idadi ya channels kwa kila kifurushi, naamini hii itakusaidia kujua kifurushi kipi ili ufanye malipo, ambacho naweza kukwambia liwe kama angalizo wakati unafanya malipo washa kwanza kisimbuzi chako, kisha ndipo ufanye malipo.
Chagua king'amuzi chako kwenye orodha kisha bofya itakupeleka mojakwamoja:-
Instagram natumia @mustaphamadish
  • Azam TV
  • Continental
  • DStv
  • StarTimes
  • Ting
  • Zuku TV

Tumaini langu ni kwamba kwa uchache huu nimekurahisishia kitu, katika kutaka kujua bei na idadi ya channels.. Kama una Swali, Maoni, Ushauri ama chochote Niandikie Kwenye ukurasa wa Comment, nifollow instagram @mustaphamadish kama unahitaji private niandikie kwenye Email: [email protected]
Call/Text +255789476655
Whatsapp +255784378129
JUA ZAIDI...
> Bei za Ving'amuzi
> Ving'amuzi vyenye Offer mwaka 2018
> Jinsi ya kuhama kifurushi
> Unapata ujumbe wa NO SIGNAL
> King'amuzi kisicho na malipo ya mwezi
> Mafundi wa Ving'amuzi
> Cha kuzingatia kabla hujanunua King'amuzi
> Kuepuka Dish yako kupata kutu
 


This post first appeared on Mustapha MaDish Tech, please read the originial post: here

Share the post

BEI ZA VIFURUSHI KWENYE VING'AMUZI

×

Subscribe to Mustapha Madish Tech

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×