Katika kumbukumbu yangu Ilikuwa ili umiliki king'amuzi cha Zuku tv ni lazima ilikuwa uwe na Tsh150,000/= Bei ikashuka ikawa Tsh 105,000/=! Ikashuka tena kwa Tsh 95,000/=
Kwa sasa Offer iliyopo ni tsh 88,000/= unapata Dish,Decoder,Kufungiwa na miezi mitatu bure!
Related Articles
Bei hii inakuwa ni bila ya ufundi, ufundi ni Tsh 30,000/=
- Vifurushi vya Zuku tv
- Jinsi ya kuhama kifurushi
- Mafundi wa Zuku tv
- Kuondoa ujumbe wa NO SIGNAL
- Kuepuka dish yako kupata kutu
+255659161111
NB:Usikubali kulipa zaidi!