Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Blog Directory  >  Blogging Blogs  >  Maisha Yetu blogging Blog  > 

Wanafunzi Sita Udsm, Wapewa Barua Za Onyo
2018-03-29 07:17
Wanafunzi sita wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamelimwa barua za onyo kwa kuhamasisha maandamano kinyume cha sheria.Wanafunzi hao wanadaiwa kuhamasisha maandamano kutaka Waziri wa M… Read More
Kesi Ya Kina Mbowe Kuendelea Leo Kisutu
2018-03-29 07:12
MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wenzake watano wa chama hicho wamerejeshwa tena katika Mahakama ya Kisutu, Dar leo Machi 29, 2018 asubuhi… Read More
Ratiba Ya Yanga Kubadilika Tena
2018-03-28 04:11
Shirikisho la soka nchini (TFF) kupitia kwa bodi ya ligi (TPLB) limetangaza mabadiliko ya ratiba ya ligi ikiwa ni ndani ya saa 24 tangu litoe ratiba mpya iliyojumuisha viporo vya Simba na Ya… Read More
Mechi Ya Simba Na Yanga Kujulikana Rasmi
2018-03-26 13:23
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kupitia Mtendaji Mkuu, Boniface Wambura leo imetangaza rasmi tarehe ambayo Watani wa Jadi (Simba SC na Yanga SC)watacheza.Timu hizo sasa zitacheza tarehe 29 Ap… Read More
Maazimio Manne Ya CUF Yaliyotolewa Leo
2018-03-26 13:08
MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAWAIDA CHA KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA YA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-CHAMA CHA WANANCHI) KILICHOFANYIKA TAREHE 25 MACHI, 2018-DAR ES SALAAM:1. Kamati ya Utendaji ya T… Read More
Abdul Nondo Aachiwa Kwa Dhamana
2018-03-26 12:55
Leo March 26, 2018 Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa imemuachia kwa dhamana Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania Abdul Nondo ambaye alikuwa anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Iringa… Read More
Mzee Victor Kimesela Afariki Dunia
2018-03-26 06:43
Victor Kimesera, mmoja wa waasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu. Uongozi wa juu wa chama hi… Read More
2018-03-26 04:38
Mgogoro wa uongozi ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) unaendelea kukitikisa chama hicho baada ya Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad kusema Profesa Ibrahim Lipumba hana uwezo wa kumfuk… Read More
Coastal Union Yapata Shavu
2018-03-24 11:28
KAMPUNI ya Katani Limited yenye makao makuu yake jijini Tanga, imesema kadiri itakavyokuwa na uzalishaji wa kiwango cha juu, itaidhamini moja kwa moja Klabu ya Coastal Union inayoshiriki Lig… Read More
2018-03-23 03:14
Mechi ya kirafiki iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kati ya Algeria dhidi ya Tanzania imemalizika kwa Algeria kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1.Mechi hiyo imepigwa usiku wa jana tarehe 22 M… Read More
Neema Ndani Ya Simba FC Kutoka Kwa MO
2018-03-22 15:17
MWANACHAMA na shabiki wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ pamoja na viongozi wa timu hiyo wanapanga mipango madhubuti ya kuhakikisha wanawazidi kete wapinzani wao Yanga kwa kutwaa ub&s&hell…Read More
Tiba Ya Asali Na Mdalasini
2018-03-21 03:03
MDALASINI NA ASALIAsali inafahamika vema Duniani kote kama mojawapo ya silaha ya kiajabu katika kupigana na magonjwa na matatizo yatokanayo na uzee. zipo faida mbalimbali za asaliSasa hivi… Read More
Taarifa Za Kuibuka Kwa Gonjwa Hatari Nchini
2018-03-20 14:49
Wizara ya Afya, Jinsia, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto imethibitisha kulipuka tena kwa ugonjwa wa Dengue ambao uliwahi kuibuka nchini na kuua baadhi ya watu.Akizungumza na na vyombo vya… Read More
Kanisa Katoliki Lasitisha Maandamano DRC
2018-03-19 11:08
Maandamano hayo ya kumpinga Rais Joseph Kabila yamesimamishwa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kuwapa nafasi wanasiasa kupata ufumbuzi wa tofauti zao. Waandaaji wanataka serikali iwaachie wafu… Read More
Simba Kuwasiri Leo Nchini
2018-03-19 06:52
BAADA ya kung’olewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho, Simba wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu.Simba inarejea Dar es Salaam kupitia Addis Ababa, Ethiopia na… Read More
Zitto Kabwe Alishtaki Jeshi La Polisi
2018-03-19 05:13
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo, Kabwe Ruyagwa Zitto amefunguka na kusema kuwa chama chake tayari kimefungua kesi ya Kikatiba katika mahakama Kuu Dar es Salaam kul… Read More

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×