Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Ujenzi wa Uwanja wa Nyasi bandia wanoga Unguja


Ujenzi wa Uwanja wa kisasa wa Mao Tse Tung uliopo Kikwajuni mjini Zanzibar zinaendelea chini ya wahandisi wa kampuni ya kimataifa ya Zhengtai Group ya China, sasa umefikia katika hatua ya kuwekewa nyasi bandia.

Tayari uwanja huo umewekewa taa ambazo zitasaidia michezo kuchezwa usiku, uwanja huo utakuwa na viwanja viwili vya mpira wa miguu, mpira wa kikapu, mpira wa mikono, mpira wa pete, mpira wa meza na sehemu ya kunyanyulia vifaa vizito uwanja huo utagharimu shilingi Bilioni 12.5


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Ujenzi wa Uwanja wa Nyasi bandia wanoga Unguja

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×