Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Blog Directory  >  Blogging Blogs  >  Maisha Yetu blogging Blog  > 

Simba Yaaga Rasmi Michuano Ya Kimataifa
2018-03-18 08:00
Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imeyaaga rasmi mashindano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kutoka sare ya 0 – 0 dhidi ya timu ya Al Masry katika mchezo uliyopigwa jana… Read More
Waombaji Ajira Mpya Wateswa Na Vyeti
2018-03-18 07:39
BAADA ya kuwapo kwa waombaji wa ajira katika utumishi wa umma kubainika kutumia vyeti vya kughushi, mamia pia wamebainika kutoa taarifa za kupotolewa kwa vyeti vyao vikiwamo vya Kidato cha N… Read More
Ofa Kwa Watumiaji Wa Vodacom
2018-03-17 19:05
Tunajua kuwa Instagram ni moja kati ya mtandao bora sana wa kijamii kwa sasa nahabari kubwa Tanzania leo siku ya Jumamosi ni uzinduzi wa INSTAGRAM YABURE kutoka Vodacom Tanzania. Uzinduzi hu… Read More
Diwani Mwengine Wa Upinzani Ahamia CCM
2018-03-17 05:31
Habari kutoka EATV zinasema kuwa, aliyekuwa Diwani kupitia Chama cha NCCR MAGEUZI kata ya Makere wilayani Kasulu mkoani Kigoma, Laurent Poteza, amejivua nyazifa zake zote ndani ya chama… Read More
Tamisemi Yatoa Ajira Mpya Mwezi Machi
2018-03-17 04:22
ZIFUATAZO NI AJIRA ZA WALIMU MWEZI MARCH 2018BOFYA HAPA KUONA⏩⏩Ajira Mpya ya Walimu Shule za Sekondari Kuziba Nafasi WaziBOFYA HAPA KUONA⏩⏩ Taarifa ya Kujaza Naf… Read More
Tazama Draw Ya Mechi Za Robo Fainali UEFA
2018-03-16 11:47
Draw ya Ligi Kuu Ulaya kupangwa, Timu zitaanza kucheza tarehe 3 na 4 Mwezi Aprili na Marudiano ni Wiki Moja BaadaeMechi hizo ni Kama Ifuatavyo:Barcelona v RomaSevilla v Bayern MunichJuventus… Read More
Kikosi Bora Cha Wiki UEFA
2018-03-16 11:16
Shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) limetangaza kikosi bora cha wiki hii kwenye michuano ya klabu bingwa barani Ulaya ambapo klabu mbili kutoka Uingereza za Chelsea na Manchester United z… Read More
2018-03-16 10:55
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mh. Paul Makonda amefunguka na kuwaomba msamaha baadhi ya wananchi ambao ameshindwa kutimiza ndoto zake na kusema anaamini ataendelea kuwatumikia na kujitahidi… Read More
2018-03-16 05:43
NAFASI ZA KAZI/AJIRATIB DEVELOPMENT BANK LIMITEDJOB VACANCIESTIB Development Bank Limited, the premier national Development Financial Institution, aims to focus on national projects with a d… Read More
Wambura Afungiwa Maisha
2018-03-15 11:52
Habari za ndani zinasema Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia makamu wa Rais wa Shirikisho hilo, Michael Wambura kutojihusisha na soka maisha yake yote.TFF imetangaza rasmi maamuzi ya Kamati… Read More
Mauzo Ya Zao La Karafuu Nchini Waridhisha
2018-03-15 08:39
Taarifa kutoka Gazeti la Habari Leo zinasema MSIMU wa mavuno ya karafuu wa 2017-2018 umemalizika rasmi huku ukitajwa kupata mafanikio makubwa kwa kuvunja rikodi katika kipindi cha miaka… Read More
Vodafone Kujenga Mtandao Wa 4G Mwezini
2018-03-15 06:35
Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Uingereza Vodafone imetangaza kuwa tawi la kampuni hiyo nchini Ujerumani linashirikiana na makampuni kadhaa ili kujenga mtandao wa 4G mwezini mwakani.Habari… Read More
Athari Au Madhara 10 Zitokanazo Na Internet
2018-03-15 05:30
Katika dunia hii ya leo ni vigumu kuishi bila kutumia intaneti kwa namna moja au nyingine. Watu hutumia intaneti kuwasiliana, kupata taarifa na habari au hata kujipatia kipato.Kuwepo kwa in… Read More
Chelsea Nayo Nje, Yapigwa 3 Na Barcelona
2018-03-15 05:09
Chelsea wametupwa nje ya michuano ya klabu bingwa Ulaya katika hatua ya 16 bora, baada ya kupokea kichapo cha 3-0 kutoka kwa Barcelona.Kufuatia suluhu ya goli 1-1 katika mchezo wa awali, Che… Read More
Kilio Cha Baraza La Wazee CHADEMA
2018-03-14 05:23
Wito wa Baraza hilo unakuja wiki chache tangu viongozi wa madhehebu mbalimbali na dini wakutane jijini na kutoa ushauri kama huo.Wito huo ulitolewa na Katibu Mkuu wa Baraza hilo, Roderick Lu… Read More
Majibu Ya Flora Kuhusu Mtoto Wake Na Mbasha
2018-03-12 05:28
Msanii wa nyimbo za Injili Flora Mbasha ambaye alikuwa mke wa mwanamuziki wa Injili Emmanuel Mbasha, amefunguka juu ya kitendo cha aliyekuwa mume wake kumlalamikia kumnyima mtoto kwenye mita… Read More
Bandari Ya Dar Kuhudumia Kontena Milioni 16
2018-03-08 05:53
Ukarabati unaofanyika katika Bandari ya Dar es Salaam, umewezesha ongezeko la kuhudumiashehena za mizigo kutoka tani milioni 10 kufikia tani milioni 16 kwa mwaka.Kiwango hicho kinatarajiwa k… Read More
Waafrika 10 Matajiri Zaidi Duniani
2018-03-08 05:41
Haki miliki ya pichaAFPImage captionDangote anaorodheshwa kuwa mtu tajiri zaidi AfrikaBwanyenye kutoka Nigeria Aliko Dangote ndiye mtu mweusi aliye tajiri zaidi duniani kwa mujibu wa jarida… Read More

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×