Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Abdul Nondo Aachiwa kwa Dhamana



Leo March 26, 2018 Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa imemuachia kwa dhamana Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania Abdul Nondo Ambaye Alikuwa Anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Iringa.

Nondo amepewa masharti ya dhamana ni wadhamini wawili mmoja mtumishi wa Serikali wote wakazi wa Iringa na bondi ya kauli Tshs Milioni 5, atarudi Mahakamani April 10, 2018.leo March 26, 2018 Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa imemuachia kwa dhamana Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania Abdul Nondo ambaye alikuwa anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Iringa.
Nondo amepewa masharti ya dhamana ni wadhamini wawili mmoja mtumishi wa Serikali wote wakazi wa Iringa na bondi ya kauli Tshs Milioni 5, atarudi Mahakamani April 10, 2018.


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Abdul Nondo Aachiwa kwa Dhamana

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×