Ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ya kutembelea Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kwa ajili ya kujitambulisha, kujifunza na kujionea miradi inayoendelea chini… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda akiendesha moja ya baiskeli ya magurudumu matatu iliyotengenezwa na kubuniwa na Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organizatio… Read More
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga (wa pili kushoto) akishiriki chakula cha pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwanga Viziwi Mkoani Kilim… Read More
MBUNGE wa Jimbo Tanga (CCM) Ummy Mwalimu ambaye pia ni Waziri wa Afya akizungumza wakati alipofanya ziara ya kutembelea miradi inayotekelezwa na Taasisi ya Tanga Yetu kupitia ufadhili wa Sh… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Franklin Rwezimula amesema Vyuo vya Ualimu, VETA na Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi vina mchango mkubwa katika mageuzi ya elim… Read More
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka ya Botswana, Bw.Gopolang Maakwe akizungumza na viongozi wa Menejimenti ya OSHA wakati wa ziara yake ya kutembelea Ofisi za OSHA Dar es sala… Read More
Kamisha wa Maadili Mh Jaji Sivangilwa Mwangesi aliyekaa katikati kushoto kwake ni Katibu Msaidizi Kanda ya Kati kusini Bw Philoteus Manula na kulia kwake ni Afisa Tawala Bw Steven Jarka… Read More
Taasisi ya Hollysmile, washindi wa Tuzo Mdau shupavu na wadau wa maendeleo wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga wakitoa zawadi kwa wagonjwa na akina Mama ambao wamejifungua watoto… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Kazi na Hifadhi ya Jamii Nchini Kenya, Mhe. Geofrey Kaituko akizungumza na baadhi ya viongozi wa OSHA na watumishi wa Wizara yake alioambatana (hawapo pichani) walipo… Read More
Na Mwandishi wetu ,MWANZA.
BODI ya Wakurugenzi k Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) imesema inaenda kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya Mazao na Nafaka kwa ujumla kwa… Read More
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Seleman Jafo akiwa wilayani Kishapu kuangalia utekelezaji wa miradi ya kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
Na Marco Maduhu, KI… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
SERIKALI imepongeza maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Umahiri wa Bidhaa za Ngozi na Teknolojia zinazoshabihiana (CELPAT) katika Taasisi ya Teknolojia Dar… Read More
Diwani wa kata ya Imesela Seth Msangwa akizungumza katika maadhimisho ya ziara ya kamati ya siasa ya chama cha Mapinduzi (CCM) Imesela Wilaya ya Shinyanga.Kamati ya siasa na uongozi wa shule… Read More
Na Mwandishi Wetu. KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa)… Read More
Na. Veronica E. Mwafisi-KinondoniTarehe 13 Disemba, 2022Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema likizo za mwaka kwa wat… Read More
Mawaziri wa Wizara za Kisekta wakiongozwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa tatu kulia) wakiondoka mkoani Ruvuma baada ya kumaliza kazi ya utatuzi wa m… Read More
Mwakilishi Mwandamizi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA,) Watanabe Hideki (wa tatu kushoto,) akipata maelezo ya mtambo unaopooza na kusambaza umeme katika Hospitali ya Taif… Read More
Timu ya Wataalamu kutoka Mamlaka Zinazohusika na Utoaji wa Vibali vya Kazi na Ukazi Kwa Raia Wa Kigeni Wanaokuja Kufanya Kazi Katika Miradi Mbalimbali Nchini Wakitembezwa Katika Mitambo ya K… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Mjema akipima Macho akiwa na Mbunge wa Vitimaalum wa Mkoa huo Lucy Mayenga, alipofanya ziara ya kukagua zoezi la utolewaji matibabu ya macho bure kwa wananch… Read More
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza na watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Maliasili kwa Jamii Likuyu Sekamaganga kuhusu mikakati ya Serikali ya kutatua migo… Read More
Naibu Katibu Mkuu huyo wa CCM Bara Christina Mndeme (aliyesimama katikati akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Kasulu akiwa kwenye ziara ya kichama mkoani Kigoma.Naibu… Read More
Kamishna Msaidizi Tume ya Madini Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la vyama vya wachimbaji wadogo wa madini (FEMATA) Haroun Kinega (kulia) akimsikiliza Afisa Msimamizi wa Fedha w… Read More
Na Steven Nyamiti-Singida
NAIBU Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa amemwagiza Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Singida kutoa elimu kuhusu Sheria ya Madini kwa wachimbaji wadogo wa madini ili wae… Read More
Na Dotto Kwilasa,Malunde 1Blog-DODOMA .RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi-Mei Mosi itakayofanyika… Read More