Mratibu wa Kambi hiyo ambaye pia ni Mhazini wa Chama cha Madaktari Tanzania Dkt Mathew Shao kulia akiteta wakati wa kambi ya Huduma za Madaktari Bingwa wa uchunguzi wa magonjwa mbalim… Read More
Sheikh maarufu Manispaa ya Shinyanga na Kanda ya Ziwa kwa ujumla Sheikh Msafiri Kitumbo ambaye pia ndiye Mratibu wa Maulid za Mtume Mohamed S.A.W Kanda ya ziwa amempongeza na kumfananisha… Read More
Wakazi wa Kijiji cha Kisorya wakiwemo wanawake wajawazito katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wameondokana na adha ya kutembelea umbali mrefu kufuata huduma za afya hususani upasuaji baada… Read More
Na. WAF, Mtwara
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu Septemba 13, 2023 ametembelea Hopsitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula na kukagua miradi ya jengo jipya la upasuaji, jengo… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa juhudi inazozionyesha kuboresha afya nchini na kuzitaka kampuni nyingine binafsi… Read More
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo akizungumza wakati alipozindua zoezi la wanachama,wapenzi na mashabiki wa timu ya Simba kuchangia damu katika Zahanati ya Kisosora Jijini Tang… Read More
Na Oscar Assenga, TANGA.WANAFUNZI, walimu pamoja na waumini wa dini ya Kiislamu zaidi ya 130 kutoka Taasisi ya Bilal Muslim Mission of Tanzania Tawi la Tanga wametumia maadhi… Read More
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Mohamed Salehe wa tano kulia mwenye koti akifuatilia kwa umakini Mafunzo Maalumu yanayohusu matibabu… Read More
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele
********
Na Mwandishi Maalum - NEC
Wapiga Kura 74,642 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga K… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
MWENYEKITI wa Kamati ya Taifa Utalii wa Matibabu, Profesa Mohamed Janabi ameoimba Serikali kuwapa Visa Maalumu kwa ajili ya wagonjwa wanaotaka kuja kutibi… Read More
Wananchi wafurahia huduma bora za matibabu kituo cha Afya Bugarama.
Na Marco Maduhu, KAHAMA
WANANCHI wa Bugarama Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wamepongeza hudu… Read More
ZAIDI ya watu 260 wanaripotiwa kufariki dunia nchini India na wengine 900 wamejeruhiwa baada ya treni mbili za abiria na nyingine ya mizigo kugongana huko katika Jimbo la Odisha lililopo… Read More
Na Shamimu Nyaki
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewajulia hali majeruhi 10 wanaoendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya Temeke waliojeru… Read More
Na Dotto Kwilasa, Dodoma.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema tatizo la ugonjwa wa shinikizo la juu la damu nchini bado ni kubwa ambapo kwa wagonjwa waliotibiwa katika Taasisi ya moyo Jaka… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imesema imani, mila, na desturi za kitamaduni, ukosefu wa usawa wa kijinsia bado ni miongoni mwa sababu zinazorudisha nyuma udhibiti wa magonjwa… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Familia moja nchini Marekani inataka uchunguzi wa uhalifu ufanyike kuhusu kifo cha jamaa wao aliyefariki akiwa jela baaa ya kudaiwa kung'atwa na kunguni.
LaShawn Thompson, 35, alipatikan… Read More
Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe milele na milele. Nakualika Tena wakati huu tujifunze maneno ya uzima wa Roho zetu. Wengi wetu tunavutiwa na maisha ya Yesu alipoanza huduma, tunaf… Read More
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene akizindua Mpango shirikishi wa Taifa wa kuzuia kipindupindu jijini Dodoma.Na 1Dotto Kwilasa, Malunde1 B… Read More
Mmoja wa wafanyakazi wanawake wa GGML kutoka idara ya uchakataji dhahabu, Rehema Lusendamila (kushoto) akimjulia hali mgonjwa aliyelazwa katika Kituo cha Afya Kasota (kulia). Katikati ni Lin… Read More
Uharibifu wa miundombinu iliyosababishwa na tetemeko huko nchini mnamo Februari 6 unaweza kufikia asilimia 2.5 ya ukuaji wa bidhaa za ndani au dola bilioni 25 kwa mujibu wa wachumi.Idadi ya… Read More
Na Ashura Kazinja, Morogoro
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Daniel Chongolo amepiga marufuku tabia za wazazi na walezi nchini kuwatumia watoto wakike katika shughuli za kimil… Read More
Daktari wa Binywa wa Magonjwa ya Ndani Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila akimfanyia uchunguzi Mwananchi aliyekuja kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi hiyo iliyo… Read More