Katika maandiko hakuna vifungu vya Moja Kwa Moja vinavyorekodi tukio la Bwana Yesu kunena Kwa lugha. Lakini Kwa ufahamu wa Rohoni tuliopewa twajua kuwa ni wazi Yesu alinena Kwa lugha. Kutoku… Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama.(kulia) akimsikiliza Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Bw.George Lugome wakati akielezea kuhusu kazi ya mtam… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na Wathibiti ubora wa shule jijini Arusha.
Mkurugenzi Idara ya Uthibiti Ubora wa Shule Bw.Ephraim Simbeyi,akizungu… Read More
Na Dotto Kwilasa, DODOMA
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan amezindua jengo la kitega uchumi la Kanisa la Angikana Central Dodoma (DCT) lililop… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akisoma kitabu mara baada ya kutembelea Maktaba ya Taifa jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Elim… Read More
SWALI: Nini maana ya huu mstari? JIBU: Kitabu cha Mithali na Mhubiri ni vitabu vilivyobeba mafunzo mengi sio tu yale ya kiroho bali pia hata ya maisha ya kawaida.Mstari huo unaelezea uzito w… Read More
Kaimu Katibu Mkuu wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amoni Mpanju akizungumza jambo wakati wa Ziara ya bodi ya Mfuko wa Abbott katika makao ya Taifa ya… Read More
Hii ni Orodha ya Mitume 12 wa Bwana YESU. Orodha hii inapatika katika Kitabu cha Mathayo 10:2-4, na kitabu cha Marko 3:18, na Luka 6:13-16. Katika Vitabu hivyo panaonekana Mitume kutajwa kwa… Read More
SWALI: Kwanini vitabu vya biblia vipo katika mtiririko ule, na sio kinyume chake? Ni vema kufahamu kuwa mtiririko wa kibiblia wa agano la kale na agano jipya, haukuwekwa na Mungu, kwamba kia… Read More
Jibu: Biblia haijichanganyi mahali popote na haijawahi kujichanganya isipokuwa viwango vyetu vya kutafakari ndivyo vinavyotufanya tuone kuna utata mwingi kwenye biblia (na kumbuka tuna… Read More
Kuna wakati biashara huwa ngumu sana, wakati mwingine waweza unakosa wateja kwenye biashara yako, unatakiwa kujua kuwa maadui huwa wamewekeza ili kuona biashara yako haiendelei wakati wote… Read More
Katika dhehebu moja kulikuwa na kiongozi mmoja wa dini ambaye alikuwa maarufu kutokana na uwezo wake, alibadilisha maisha ya watu wengi kwani kila aliposimama kueneza neno maisha ya wengi y… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Nyanza Ukanda wa Dhahabu (Nyanza Gold Belt) limewafuturisha Waumini wa Dini ya Kiislamu Mkoa wa Shinyanga ikiwa… Read More
Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joaqium Alberto Chissano amewasili nchini kushiriki hafla ya utoaji tuzo ya Kitaifa ya Mwl. Nyerere ya Uandishi Bunifu inayotarajiwa kufanyika Aprili 13, 202… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Katika Muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile ameungana na Waumini zaidi ya 500 katika Msikiti m… Read More
********************Na mwandishi wetu Jeshi la Jeshi la PolisiJeshi la Polisi Nchini linamshukuru mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia Suluhu Hassan kwa kuboresh… Read More
Mratibu wa Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC), Justin Mogendi akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya uandishi wa vitabu vya hesabu kwa vitendo kwa Makatibu wa Vy… Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi tuzo pamoja na hundi ya Dola 5,000, mshindi wa kwanza wa Ushairi, Salum Makamba, kwenye hafla ya utoaji Tuzo ya Kiswahili ya Safal – Cornell ya… Read More
Mama wa watoto wawili waliouawa katika Kijiji cha Kerwa eneo la Kikuyu nchini Kenya usiku wa mkesha wa mwaka mpya, amekamatwa.OCPD wa Kikuyu, Catherine Ringera alisema kuwa uchunguzi uliofan… Read More
Biblia ina Aya ngapi? Jibu: “Aya, Sura, na Mlango” ni Neno moja. Biblia ni mkusanyiko wa vitabu 66, na kila kitabu kina Aya zake (au sura zake), na kila Aya ina mistari yake. Kwa… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.Na Dotto Kwilasa,DODOMABAADA ya uzinduzi wa kitabu cha Rais Samia Suluhu Hassan,baadhi ya wadau wa lugha ya kiswahili wameshauri k… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda..Baadhi ya wadau wa Elimu waliohudhuria kwenye kikao maalum cha Menejimenti ya Wizara ya elimu nchini Jijini Dodoma .Na D… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka ametoa zuio kwa walimu wa ajira mpya kuhama kutoka maeneo ya vijijini waliopangiwa kazi na serikali kwani kwa kufanya hivyo kumekuwa kikiathiri kiwango ch… Read More
*Asema watakaobainika Serikali haitasita kuwachukulia hatua za kisheria
Na Clara Matimo, Mwanza
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Amina Makilagi, amewaonya watu watakaokwamisha zoez… Read More
Matendo ya Mitume 19:11-19[11]Mungu akafanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida;[12]hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawaondokea, pep… Read More
WAKATI Serikali ikiendelea na uzinduzi wa Filamu ya Royal Tour,aliyoshiriki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan,kutangaza utalii nchini,aliyekuwa Mbunge wa Kahama mwa… Read More
Elon Musk.MIONGONI mwa habari zilizoshtua Dunia mapema wiki hii ni kuhusu mtu anayeitwa Elon Musk kuununua Mtandao wa Twitter kwa pesa za kufuru.Amefikia makubaliano ya kuinunua Twitter kwa… Read More
Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kuzindua kitabu cha maisha yake alichokiita kwa kimombo “From a barefoot student to President” taf… Read More
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Kaimu Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), mkoa wa Mara Mhandisi Vitalis Bilauri, wakati akikikagua Kivuko c… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe,akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuzindua Maktaba ya Mkoa wa Iringa iliyofanyiwa ukarabati na Serikali ku… Read More