Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

SOMO LA MSINGI.

Matendo ya Mitume 19:11-19

[11]Mungu akafanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida;
[13]Baadhi ya Wayahudi wenye kutanga-tanga, nao ni wapunga pepo, wakajaribu kutaja jina la Bwana Yesu juu yao waliopagawa na pepo wachafu, wakisema, Nawaapisha kwa Yesu, yule anayehubiriwa na Paulo.
[14]Walikuwako wana saba wa mtu mmoja Skewa, Myahudi, kuhani mkuu, waliofanya hivyo.
[15]Yule pepo mchafu akawajibu, akawaambia, Yesu namjua na Paulo namfahamu, lakini ninyi ni nani?
[16]Na yule mtu aliyepagawa na pepo mchafu akawarukia wawili, akawaweza, akawashinda, hata wakatoka mbio katika nyumba ile hali wa uchi na kujeruhiwa.
[17]Habari hii ikajulikana na Wayahudi wote na Wayunani waliokaa Efeso, hofu ikawaingia wote, na jina la Bwana Yesu likatukuzwa.
[18]Na wengi wa wale walioamini wakaja wakaungama, wakidhihirisha matendo yao.
[19]Na watu wengi katika wale waliotumia mambo ya uganga wakakusanya vitabu vyao, wakavichoma moto mbele ya watu wote; wakafanya hesabu ya thamani yake, wakaona ya kwamba yapata fedha hamsini elfu.

TRANSLATION.

#And l God was doing extraordinary miracles by the hands of Paul, 12#l so that even handkerchiefs or aprons that had touched his skin were carried away to the sick, and their diseases left them and m the evil spirits came out of them. 13#Then some of the itinerant Jewish n exorcists o undertook to invoke the name of the Lord Jesus over those who had evil spirits, saying, p “I adjure you by the Jesus whom Paul proclaims.” 14#Seven sons of a Jewish high priest named Sceva were doing this. 15#But the evil spirit answered them, q “Jesus I know, and Paul I recognize, but who are you?” 16#And the man in whom was the evil spirit leaped on them, mastered all 4 of them and overpowered them, so that they fled out of that house naked and wounded. 17#And this became known to all the residents of Ephesus, both Jews and Greeks. And fear fell upon them all, and r the name of the Lord Jesus was extolled. 18#Also many of those who were now believers came, s confessing and divulging their practices. 19#And a number of those who had practiced magic arts brought their books together and burned them in the sight of all. And they counted the value of them and found it came to fifty thousand pieces of silver.




This post first appeared on Huruma Baptist Church Of Mwilamvya, please read the originial post: here

Share the post

SOMO LA MSINGI.

×

Subscribe to Huruma Baptist Church Of Mwilamvya

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×