Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Blog Directory  >  Spirituality Blogs  >  Huruma Baptist Church of Mwilamvya spirituality Blog  > 

Huruma Baptist Church Of Mwilamvya Blog


hurumabaptist.blogspot.com
Huruma Baptist Church of Mwilamvya is the one among the Baptist Churches under the registration of the Baptists Church of Tanzania. This Church is located in Kasulu, Kigoma Tanzania.
2022-10-30 08:42
YESU ANAPITA.MHUBIRI: MCH. JONATHAN BUCHA.Luka 18:35-43[35]Ikawa alipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka; And it came to pass, that as he was… Read More
2022-10-23 09:44
UPENDOMHUBIRI:  RUSENGE JUMAWaebrania 13:1-3[1]Upendano wa ndugu na udumu. Let brotherly love continue.[2]Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha ma… Read More
2022-10-16 08:00
SIFA ZA MKRISTO.MHUBIRI: FAUSTINE GUTAPAKA.Warumi 12:9-21[9]Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkiambatana na lililo jema. Let love be without dissimulation. Abhor that w… Read More
2022-10-11 10:25
CHUKULIANENI MIZIGO.MHUBIRI: WINFRIDA JONATHAN.Wagalatia 6:1-10[1]Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijia… Read More
2022-10-02 08:59
MKRISTO KUWA NABII WA UONGO.MHUBIRI: VENIUS G MLANGU.Yeremia 7:1-2,4-16[1]Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema, The word that came to Jeremiah from the LORD, say… Read More
2022-09-25 08:39
MHUBIRI: Mch. JONATHAN BUCHAUPANGA HAUTAONDOKA NYUMBANI MWAKO.2 Samweli 11:1-13[1]Hata ikawa, mwanzo wa mwaka mpya, wakati watokapo wafalme kwenda vitani, Daudi akampeleka Yoabu, na watumish… Read More
2022-09-18 08:28
CHUMVI NA NURU.MHUBIRI: MCH. JONATHAN BUCHA.Mathayo 5:13-16[13]Ninyi ni chumvi ya dunia; lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kuka… Read More
2022-09-11 09:05
MKUTANO WA STATION YA KASULU MJINI.ULINZI WA MUNGU KWA WATU WAKE.MHUBIRI: AMINELY BUROMELA.2 Wafalme 6:8-23[8]Basi, mfalme wa Shamu alikuwa akifanya vita na Israeli. Akafanya mashauri na wat… Read More
2022-09-04 12:23
HATARI INAYOTUTENGA NA MUNGU.MHUBIRI: Winfrida Jonathan Rusama.Luka 10:38-42[38]Ikawa katika kuenenda kwao aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja jina lake Martha akamkaribisha nyumba… Read More
2022-08-28 13:23
KUHUSU KUMWIBIA MUNGU.MHUBIRI: FAUSTINE GUTAPAKA.Malaki 3:7-14[7]Tokea siku za baba zenu mmegeuka upande, mkayaacha maagizo yangu, wala hamkuyashika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi… Read More
2022-08-21 08:58
 MHUBIRI: ZAKAYO MARIATABU.2 Timotheo 3:1-5[1]Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. This know also, that in the last days perilous times sh… Read More
2022-08-21 08:33
MHUBIRI: VENIUS MLANGU.Isaya 30:19[19]Kwa maana watu watakaa katika Sayuni huko Yerusalemu; wewe hutalia tena; hakika yake atakuonea rehema nyingi kwa sauti ya kilio chako; asikiapo ndipo at… Read More
2022-08-07 07:49
Danieli 3:1-20[1]Nebukadreza, mfalme, alifanya sanamu ya dhahabu, ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya… Read More
2022-07-31 08:14
Marko 10:29-30[29]Yesu akasema, Amin, nawaambieni, Hakuna mtu aliyeacha nyumba, au ndugu waume, au ndugu wake, au mama, au baba, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Inji… Read More
2022-07-27 17:15
Yakobo 2:17-26[17]Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake. Even so faith, if it hath not works, is dead, being alone.[18]Lakini mtu atasema, Wewe unayo imani… Read More
2022-07-17 10:02
Mwanzo 45:1-24[1]Hapo Yusufu hakuweza kujizuia mbele yao wote waliosimama karibu naye. Akapiga kelele, na kusema, Mwondoeni kila mtu mbele yangu. Wala hakusimama mtu pamoja naye, Yusufu alip… Read More
2022-07-10 07:47
Nehemia 2:17-20[17]Kisha nikawaambia, Mnaona hali hii dhaifu tuliyo nayo, jinsi Yerusalemu ulivyo hali ya ukiwa, na malango yake yalivyoteketezwa kwa moto; haya! Na tuujenge tena ukuta wa Ye… Read More
2022-07-03 09:16
Matendo ya Mitume 26:9-15[9]Kweli, mimi mwenyewe naliona ndani ya nafsi yangu kwamba yanipasa kutenda mambo mengi yaliyopingamana na jina lake Yesu Mnazareti;[10]nami nikayafanya hayo Yerusa… Read More
2022-06-26 08:24
Kumbukumbu la Torati 28:13[13]BWANA atakufanya kuwa kichwa, wala si mkia; nawe utakuwa juu tu, wala huwi chini; utakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wako, nikuagizayo hivi leo, kuyaangali… Read More
2022-06-19 12:44
Matendo ya Mitume 19:11-19[11]Mungu akafanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida;[12]hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawaondokea, pep… Read More
2022-06-12 08:00
Yona 4:1-8[1]Lakini jambo hili lilimchukiza Yona sana, naye akakasirika.[2]Akamwomba BWANA, akasema, Nakuomba, Ee BWANA; sivyo hivyo nilivyosema, hapo nilipokuwa katika nchi yangu? Hii ndiyo… Read More
2022-06-05 08:13
Ufunuo wa Yohana 3:14-22[14]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.[15]N… Read More
2022-05-29 05:18
1 Petro 5:5-11[5]Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neem… Read More
2022-05-15 08:10
2 Wafalme 1:1-7[1]Ikawa, baada ya kufa kwake Ahabu, Moabu wakawaasi Israeli.[2]Na Ahazia akaanguka katika dirisha la chumba chake orofani, katika Samaria, akaugua; akatuma wajumbe, akawaambi… Read More
2022-05-08 08:33
Yohana 10:11-13[11]Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.[12]Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu ana… Read More

Share the post

Huruma Baptist Church of Mwilamvya

×

Subscribe to Huruma Baptist Church Of Mwilamvya

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×