Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

SOMO LA MSINGI.

2 Wafalme 1:1-7

[1]Ikawa, baada ya kufa kwake Ahabu, Moabu wakawaasi Israeli.
[2]Na Ahazia akaanguka katika dirisha la chumba chake orofani, katika Samaria, akaugua; akatuma wajumbe, akawaambia, Enendeni mkaulize kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni, kwamba nitapona ugonjwa huu.
[3]Lakini malaika wa BWANA akamwambia Eliya Mtishbi, Ondoka, uende ukaonane na wale wajumbe wa mfalme wa Samaria, ukawaambie, Je! Ni kwa sababu hapana Mungu katika Israeli, hata mnakwenda kuuliza kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni?
[4]Basi sasa, BWANA asema hivi, Hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa. Eliya akaondoka.
[5]Wale wajumbe wakarudi, na mfalme akawaambia, Mbona mmerudi?
[6]Wakamwambia, Mtu alitokea, akaonana nasi, akatuambia, Enendeni, rudini kwa mfalme yule aliyewatuma, mkamwambie, BWANA asema hivi Je! Ni kwa sababu hapana Mungu katika Israeli, hata mnakwenda kuuliza kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni? Basi kwa ajili ya hayo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.
[7]Akawaambia, Je! Mtu yule aliyetokea, akaonana nanyi, akawaambia maneno hayo, alikuwa mtu wa namna gani?

TRANSLATION:
Then Moab rebelled against Israel after the death of Ahab.
2 Kings:1:1
And Ahaziah fell down through a lattice in his upper chamber that was in Samaria, and was sick: and he sent messengers, and said unto them, Go, enquire of Baalzebub the god of Ekron whether I shall recover of this disease.
2 Kings:1:2
But the angel of the LORD said to Elijah the Tishbite, Arise, go up to meet the messengers of the king of Samaria, and say unto them, Is it not because there is not a God in Israel, that ye go to enquire of Baalzebub the god of Ekron?
2 Kings:1:3
Now therefore thus saith the LORD, Thou shalt not come down from that bed on which thou art gone up, but shalt surely die. And Elijah departed.
2 Kings:1:4
And when the messengers turned back unto him, he said unto them, Why are ye now turned back?
2 Kings:1:5
And they said unto him, There came a man up to meet us, and said unto us, Go, turn again unto the king that sent you, and say unto him, Thus saith the LORD, Is it not because there is not a God in Israel, that thou sendest to enquire of Baalzebub the god of Ekron? therefore thou shalt not come down from that bed on which thou art gone up, but shalt surely die.
2 Kings:1:6
And he said unto them, What manner of man was he which came up to meet you, and told you these words?
2 Kings:1:7



This post first appeared on Huruma Baptist Church Of Mwilamvya, please read the originial post: here

Share the post

SOMO LA MSINGI.

×

Subscribe to Huruma Baptist Church Of Mwilamvya

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×