Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Ditopile aungana na wanaKongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital

Katika Muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile ameungana na Waumini zaidi ya 500 katika Msikiti mkubwa Kata ya Mkoka, Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma katika Iftari na Dua Maalum ya kuiombea nchi na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan.

Kabla ya Dua hiyo Mhe. Mbunge alitembelea Shule ya Msingi Mkoka Kitengo Maalum cha Wanafunzi wenye mahitaji Maalumu(walemavu) na kuwapelekea sadaka, vitabu, kalamu na mahitaji ya shule mbalimbali.

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile anaendelea kuwatakia Waislamu wote nchini Ramadhani njema.

The post Ditopile aungana na wanaKongwa kwa Iftar, wamuombea Dua Rais Samia appeared first on News Africa Now.



This post first appeared on News - News Africa Now, please read the originial post: here

Share the post

Ditopile aungana na wanaKongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

×

Subscribe to News - News Africa Now

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×