Viongozi wakipiga makofi wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria inayojulikana “Mama Samia Legal Aid Campaign”
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog… Read More
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Daud Yassin akikabidhi kiasi Cha Tsh Milioni 2 Kwa uongozi wa Timu ya Mkwawa Queens inayocheza Ligi kuu ya Soka la wanawake Tanzania inayotarajia kusafiri… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi akijibu swali Bungeni leo Mei 12, 2023, jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri M… Read More
Mbunge wa Viti Maalumu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Agness Hokororo (aliyesimama) akifungua mafunzo ya usalama na afya kwa wajasiriamali wa Mkoa wa Mtwara katika Wilaya ya Tandahimba yaliyowasil… Read More
Katika Muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Ditopile amegawa Futari kwa Wazee, Wajane na watu wasio jiweza Wilaya Kondoa Mkoani Dodom… Read More
*Yasema ndiye pekee anejua kutumia fursa za kituo hicho
Na Gustafu Haule, Pwani
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaja mbunge wa viti maalum mkoa wa Pwania, Hawa Mchafu kuwa n… Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (katikati) akizindua kitabu maalum cha watu wasioona chenye maudhui ya usalama na afy… Read More
Na Frankius Cleophace MaraSERIKALI imesisitiza utoaji wa elimu kwa jamii namna ya kuzingatia lishe bora ili kuweza kuepukana na udumavu kwa watoto na kuwa na afya bora.Kauli hiyo imetolewa n… Read More
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuipa kipaumbele Mkoa wa Dodoma katika mira… Read More
Kulia ni Lucy Mayenga akihesabu kura zake.Na Kadama Malunde - Malunde 1 blogAliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Lucy Mayenga ameshinda kwa kishindo uchaguzi wa kura za maoniUW… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akisalimiana na wanachama wa Saccos ya Kizimkazi Mkunguni Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Saccos hiyo Bw Sai… Read More
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Mbeya, Mhe. Suma Fyandomo, akizungumza katika semina ya wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) ambapo aliwasihi kujiunga na kujiwekea akiba na NSSF… Read More
Marehemu Irene NdyamkamaMtoto mchanga aliyeachwa na marehemu Mbunge wa viti maalum mkoa wa Rukwa Irene Ndyamkama, amefariki dunia jana Aprili 30, 2022, baada ya kuishi kwa siku saba.Mbunge I… Read More
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Mwantumu Mdau Haji pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid H… Read More
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akijiandaa kumkabidhi shilingi Milioni 5 Mwenyekiti wa SACCOS ya UWT Kahama, Ashura Ally (katikati) … Read More
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amesema kama Benki ya Biashara Tanzania (TCB) inataka kufanikiwa zaidi kibiashara hainabudi kujikita katika kuwasaidia Wanawa… Read More
Na: Mwandishi Wetu - DodomaNaibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga ameitaka jamii kuwapatia watu wenye ulemavu nafasi ya… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Watu wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga akijibu swali kuhusu masuala ya Watu wenye Ulemavu Bungeni, Jijini Dodoma.
Na Mw… Read More
Na Anthony Ishengoma,Shinyanga
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack amesema Mkoa wa Shinyanga hauna tena mauaji ya vikongwe kutokana na juhudi kubwa zilizofanywa na vyombo vya vya ulinz… Read More
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amewapokea wanachama 20 kutoka Chama cha Demokrasia (CHADEMA) ambao wameamua kurudi CCM.Wanachama… Read More