Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Blog Directory  >  Blogging Blogs  >  ELIYA95 blogging Blog  > 

Wema Sepetu: Munalove Ni Mshamba
2016-11-14 03:09
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambae kwa sasa ametibuana na aliekuwa rafiki yake Munalove amesema kuwa Muna ni msamba.Wema Sepetu, Mama Wema na MunaloveAkihujiwa na e newz juu ya … Read More
Alikiba Akerwa Na Watanzania Wanaomtusi
2016-11-13 04:54
Alikiba ameelezea kusikitishwa kwake na Watanzania wanaomtukana staa wa Nigeria, Wizkid kwenye akaunti yake ya Instagram. Kiba amesema anaamini wale wanaomtukana si mashabiki wake kwakuwa ma… Read More
Carrera: Chelsea Itatwaa Ubingwa Uingereza
2016-11-11 03:30
Carrera ambaye alikuwa msaidizi wa Conte Juventus na Italia amedai kuwa Muitaliano mwenzake huyo anaweza kutwaa ubingwa Uingereza akiwa na ChelseaMsaidizi wa zamani wa Antonio Conte, Ma… Read More
Van Der Pluijm Aaga Yanga Kwa Ushindi
2016-11-11 03:22
Yanga wamefanikiwa kumaliza vyema mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu kwa kuwandika Maafande wa Ruvu Shooting kwa mabao 2-1Bao la ushindi lililofungwa dakika ya 57 na Nahodha Haruna Niyonzim… Read More
Eshe Buheti: Mabadiliko Hayakwepeki
2016-11-11 03:14
Anatambulika kwa jina lake halisi la Eshe Buheti. Ni miongoni mwa waigizaji waliotumia majina yao vyema katika tasnia ya filamu nchini.Buheti alifanya mahojiano na gazeti hili kuhusu masual… Read More
ROOONEY AANZA KUPATA MCHECHETO
2016-07-23 10:02
Kutokana na usajili wa nguvu uliofanyika hali kadhalika na wimbi kubwa la vijana wanaochipukia pamoja na mipango ya Jose Mourinho kutofikiria kumtumia Wayne Rooney kama kiungo, mambo yanaone… Read More
BAYERN MUNICH 1-0 MANCHESTER CITY
2016-07-21 03:38
Huwa inaaminika kuwa picha huwa zinaongea Eliya95 imekuandalia picha za matukio tofauti za mechi ya kirafiki baina ya Bayern Munich na Manchester City kwenye uwanja wa Allianz Arena nchini U… Read More
MAN CITY;HAKUNA KULALA
2016-07-20 06:34
Leo hii timu ya Manchester City watacheza mechi ya kujipima ubavu dhidi ya Bayern Munchen,Kuelekea mechi hiyo hizi ni picha  zawachezaji  wa City wakiwa mazoezini mapema jana.Kelec… Read More
KIBARUA CHA MKENYA TOM OLABA KIMEOTA NYASI
2016-07-20 05:18
Timu ya Ruvu Shooting imevunja mkataba na kocha wake mkuu Mkenya Tom Alex Olaba na nafasi yake wamempa aliyekuwa msaidizi wake Seleman Mtungwe mwenye leseni B inayoruhusiwa kufundisha t… Read More
IVO MAPUNDA ATAJIUNGA NA AFC LEOPARDS
2016-07-19 15:10
Kipa mkongwe aliyekuwa akiichezea Azam FC, msimu uliopita Ivo Mapunda atajiunga na klabu ya AFC Leopards ya inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja akiwa m… Read More
AISHI MANULA KIPA  BORA VPL
2016-07-18 21:20
NI wazi sasa kipa wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Aishi Manula, hana mpinzani miongoni mwa makipa wenzake nchini.Unaweza kujiuliza maswali mengi na kushangaa, lakini ndi… Read More
ARSENAL YAMWANIA MAURO ICARDI
2016-07-18 20:48
Arsenal inamwinda mshambuliaji wa  Inter Milan  Mauro Icardi ambaye kwa sasa anataka kuondoka jijini Milan hata hivyo kuna taarifa kuwa Lazio nao wameingia kwenye mbio hizo za… Read More
FID Q ASHINDA TUZO ZA ZIFF
2016-07-18 19:49
TUZO mpya ya video bora ya wimbo wa Bongo Fleva imekwenda kwa Farid Kubanda ‘Fid Q’ kupitia video ya wimbo wake wa ‘Walk it Off’.Fid QKatika shindano hilo, wasanii sa… Read More
STAND UNITED KUMUONGEZEA MKATABA SELEMBE
2016-07-04 09:29
Klabu ya Stand United imepanga kumuongezea mkataba kiungo wake Mzanzibar Seleman Kassim ‘Selembe’ baada ya ule wa awali kumalizika mwishoni mwa msimu uliopita.Katibu Mkuu wa St… Read More
UTANI WA WACHAGGA.!!
2016-07-04 06:42
Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta… Read More
RUBY AMJIBU SAIDI FELLA
2016-07-04 06:30
Baada ya Saidi Fella kumzulia jambo msanii Ruby ameibuka na kusema hakuwa na msongo wa mawazo wala nini ila haraka haraka zao ndizo zilisababisha asionekane kwenye video ya ngoma ya Bendi… Read More
AMANDA AFUNGUKA KUHUSU MASTAA WABWIA UNGA
2016-07-04 06:24
AMANDA Poshi, staa wa sinema za Kibongo, amewabwatukia baadhi ya mastaa wanaojitangaza kuwa wanatumia madawa ya kulevya baada ya kuathirika kuwa ni wanafiki.AMANDA Alisema angewaona wana h… Read More

Subscribe to Eliya95

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×