Mchezaji wa zamani wa klabu ya Biashara United Mara, Sospeter Maiga Mandala amefariki dunia asubuhi ya leo wakati akifanya mazoezi katika uwanja wa Posta mjini Musoma.Kwa mujibu wa wachezaji… Read More
Winfrida Mtoi
Timu ya Polisi Tanzania imepata ajali asubuhi ya leo wakati inatoka mazoezini kwenye Uwanja wa TPC, Moshi, jumla ya majeruhi ni 18, wachezaji 16, dereva na mwalimu msaidizi, h… Read More
Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene amemaliza mgogoro wa Uraia wa Mshambuliaji wa Simba SC, Kibu Denis ambaye awali aliwahi kucheza Klabu ya Mbeya Cit… Read More
Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana na kumfanya mchezaji huyo kuw… Read More
*************************NA EMMANUEL MBATILOMchezaji wa klabu ya PSG ya nchini Ufaransa na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amefanikiwa kunyakua tuzo ya Ballon D'or kwa mwaka 2021 mbe… Read More
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital
KLABU ya gofu ya Lugalo imefanya vizuri katika mashindano ya gofu ya NBC Tanzania Open 2021 baada ya wachezaji wao kuibuka washindi kwenye vipengele mbali… Read More
DAKAR, Senegal
MLINDA mlango wa Chelsea, Edouard Mendy, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Senegal, ambayo hutokana na kura za waandishi wa habari nchini humo.
Mendy ameibeba tuzo h… Read More
Mashindano ya CRDB Bank Super Cup 2021 yaliyoshirikisha timu za wafanyakazi wa Idara na Matawi ya Benki ya CRDB nchi nzima, Tanzania Bara na Visiwani, yamehitimishwa leo jijini Arusha… Read More
Tandaza Jamvi Lako Na Meridianbet, Nyumba Ya Mabingwa!
Bundesliga, Serie A na EPL kunogesha wikiendi yako. Wakati baadhi ya vilabu vya EPL vikihaha na maambukizi ya Omicron Variant, nchi z… Read More
***************NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMKlabu ya Yanga imeendelea kusalia kileleni mwa ligi kuu NBC mara baada ya kufanikiwa kuwachapa Biashara United kwa mabao 2-1 katika uwanja wa… Read More
***********NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMKlabu ya Azam Fc imefanikiwa kuinasa saini ya Ibrahimu Ajibu akitokea klabu ya Simba Sc mara baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa mafanikio makubwa… Read More
Benki ya CRDB imetangaza ufadhili wa masomo wa Shilingi Milioni 10 kwa wachezaji 10 bora wa mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu “CRDB Bank Taifa Cup” 2021 katika hafla iliyoon… Read More
Na Emmanuel Mbatilo KLABU ya Chelsea imeibuka Mabingwa wa Kombe la Dunia ngazi ya klabu mara baada ya kuichapa Palmeiras ya nchini Brazili kwa mabao 2-1 katika dakika 30 za nyongeza.Che… Read More
Tunarudisha Kwenye Jamii Inayotuzunguka.
Meridianbet kwa kushirikiana Emanuel Mkuchu (muandaaji wa Meridianbet Mkuchu cup) pamoja na Taasisi ya Bega kwa Bega na Mama, walishirikiana ku… Read More
NA EMMANUEL MBATILOKwa mara nyingine tena Yanga inabeba ubingwa msimu huu mara baada ya kufanikiwa kunyakua kombe la Azam Sports Federation Cup kwa kuwachapa Coastal Union kwa mikwaju ya pen… Read More
Mchezaji wa timu ya Simba Msenegal Pape Othman Sakho akiwa katika picha ya pamoja na mkongwe wa soka la Afrika J. J. Okocha huku akiwa ameshikilia kiatu chake Cha dhahabu baada ya kushinda t… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
TIMU ya Pooltable ya Snipers yenye makazi yake Mwenge Mpakani ya Mkoa wa Kimichezo wa Kinondoni wameibuka Mabingwa katika fainali za Kitaifa za Mashindan… Read More
Zaidi unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushndinda Bonasi, Mizunguko ya bure na Jackpot kibao kwenye sloti ya Foxpot, na kasino ya Meridianbet.
Fahamu Kuhusu Sloti ya Foxpot
Unapoitazama sloti… Read More
Keno ni moja ya mchezo ambao umejizolea umaarufu zaidi kwa urahisi wake na kuwatoa kimaso maso washindi. Nyumba ya mabingwa, Meridianbet, inakupa fursa ya ushindi na Keno.
Bahati Nasibu ya K… Read More
Liverpool wamerejea katika njia ya ushindi na kuendeleza kampeni yao ya Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Ajax jioni ya leo Uwanja wa Anfield.Joel Matip a… Read More
Klabu ya Bayern Munich imeendeleza mpambano wao wa hivi majuzi dhidi ya wababe wenzao wa Ulaya Barcelona kwa ushindi wa 2-0 katika mechi ya Kundi C ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa… Read More
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ametumia miaka saba iliyopita na Los Blancos, lakini sasa anakabiliwa na mustakabali usio na uhakika Santiago Bernabeu kwani amebakiza chini ya mi… Read More
Chelsea Imemuahidi Luis Campos Pesa ya Uhamisho ya Pauni Milioni 260Chelsea wanaripotiwa kuwa tayari kumpa mshauri wa soka Luis Campos bajeti ya uhamisho ya pauni milioni 260 iwapo ata… Read More
Meneja wa Tottenham Hotspur Antonio Conte amedai kuwa timu yake haikustahili kupoteza mechi ya Jumanne ya Kundi D ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Sporting Lisbon.Lilywhites walisafiri had… Read More
Jorginho anaamini kuwa yeye na wachezaji wenzake ndio waliolaumiwa kwa kumfuta kazi Thomas TuchelWachezaji hao wa London Magharibi walitangaza wiki iliyopita kuwa wameachana na Mjeruma… Read More
Manchester United inaweza kumsajili Mkristo Eriksen wa Pili JanuariIlikuwa Machi 2020 wakati Jude Bellingham mwenye umri wa miaka 16 alipotolewa kwenye lango la Carrington ili kuzuru u… Read More
Jules Kounde na Marcos Alonso Wajibu Kipigo cha Barcelona dhidi ya Bayern MunichBarcelona walipokea kipigo chao cha kwanza katika msimu mpya Jumatano huku maadui wa zamani Bayern Munic… Read More
Ukame wa mabao wa Son Heung-min msimu huu umeongezeka hadi mechi nane kwa Tottenham, na hivyo kuzidisha wasiwasi mjini Seoul kuhusu ubora wa nyota huyo wa Korea Kusini miezi michache t… Read More
Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d'Or kwa mara ya kwanza, baada ya kufurahia mwaka bora wa kikazi akiwa Real Madrid mnamo 2022.Fowadi huyo wa Ufaransa alikuwa katika hali ya kuvu… Read More
Benki ya CRDB na kampuni ya bima ya Sanlam Life Assurance zimetangaza udhamini wa shilingi milioni 350 kwa ligi ya mpira wa kikapu ya taifa 2022 ijulikanayo kama “CRDB Bank Taifa Cup&r… Read More
Ile Michuano mikubwa kwenye ulimwengu wa Soka dunia inaanza kutimua vumbi Novemba 20/2022, ambapo mwenyeji Qatar atacheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Equador kwenye Kundi A, lenye miamba wen… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital TIMU 64 za soka kutoka mitaa mbalimbali ya Jimbo la Segerea zinatarajiwa kuchuana kuwania kombe katika mashindano yaliyoandaliwa na mbunge wa jimbo… Read More
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Jumanne kutakuwa na mechi 4 za kundi C na D, Argentina vs Saudi Arabia, Mexico vs Poland, Denmark vs Tunisia, na France vs Austral… Read More
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Alhamis kutakuwa na mechi 4 za kumalizia mzunguko wa kwanza wa makundi ni kundi G na H, Uswizi vs Cameroon, Uruguay vs Jamhuri ya… Read More
Mchezaji anaekiputa kwenye klabu ya Benfica ya nchini Ureno na timu ya Taifa ya Argentina Enzo Fernandez ametangazwa kuwa mchezaji bora kijana michuano ya Kombe la Dunia 2022 iliyomalizika k… Read More
Muda muafaka ni mwisho wa mwaka, katika michezo iliyochaguliwa ya Pragmatic Play! Kuanzia Desemba 26 mpaka Januari 4, 2023, shiriki katika promosheni ya shindano la kasino ambayo ina zawadi… Read More
Nyota wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazili na klabu ya Santos FC, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele amefariki Dunia mara baada ya kusumbuliwa na saratani kwa muda mrefu mpaka ku… Read More
Jeneza la mfalme wa soka duniani hayati Pele.Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva Jumanne anaongoza mazishi ya bingwa wa kandanda Pele ambaye atakumbukwa kama mchezaji bora zaidi katika… Read More
Shirikisho la soka nchini Kenya limewasimamisha kazi wachezaji 14 na makocha wawili kwa tuhuma za upangaji matokeo baada ya kupokea taarifa kuhusu udanganyifu katika ligi ya taifa.Miongoni m… Read More
Na Jeremia Ernest, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Michezo ya kubashiri nchini Tanzania ya WinPrincess Bet imewapa Ubalozi Wasanii, Lucas Mhuvile maarufu ‘Joti’ na msanii wa Muziki… Read More
Ofa za Meridianbet hazijawahi kuwa ndogo, ni promosheni juu ya Promosheni, mtaji mdogo sana wa kuanzia Tsh 5,000/= unashinda mgao wa bonasi ya TZS 3,000,000 kutoka hapa nyumba… Read More
Ajira imekuwa ni kilio kwa watu wengi sana, kuna waliosoma na kufika elimu kubwa tu lakini wanahangaika bila kazi, leo nakwambiajee unaweza ukaondokana kwenye janga la kutokuwa na ajira kwa… Read More
Kila binadamu jambo la kuota ndoto ni kitu cha kawaida, wengi wetu tunaota ndoto za mapenzi, kumiliki mali au zingine za kutisha, hata mie gwiji wa kasino ya mtandaoni huwa naota ndoto ya ku… Read More
Jisajili Meridianbet na upate mizunguko 50 ya bure ya kasino ya mtandaoni! Bonyeza hapa kujisajili https://a.meridianbet.co.tz/c/RGCCr7 Hakuna aliyezaliwa bila bahati h… Read More
Jisajili Meridianbet na ushinde mizunguko 50 ya bure kucheza michezo ya kasino. Kujisajili bonyeza hapa https://a.meridianbet.co.tz/c/GLd6O8Sloti ya Crazy TimeHayawi hayawi sasa y… Read More
Kutoka nyumba ya mabingwa Meridianbet kasino ya mtandaoni yaja na promosheni nyingine, baada ya kutambulisha Drops &Wins sasa kuna hii ya Spring Mascot inakupa Mgao wa Tsh 2,500,000/=… Read More
Ukweli ni kwamba kila mtu hutaka ndoto yake maishani itimie ili aweze kuwa na maisha mazuri hapo baadaye, bila hivyo, huwa ni vigumu mtu kuwa na amani maishani kwani mara nyingi kushuhudia… Read More
Na Mwandishi Wetu
Imekuwa ni kawaida kwa Shule ya Sekondari ya High View na ya Msingi High Mount zilizopo Gongo la Mboto Mwisho wa Lami, Ilala jijini Dar es Salaam kuibua na kuendeleza vipaj… Read More
Sloti ya Zombie Apocalypse
Tambua kwamba Meridianbet Kasino ya Mtandaoni Inakujali Zaidi wewe mteja kila siku, kwa ofa, bonasi na promosheni kibao ili kuhakikisha u… Read More
Mchezaji wa KMC Sadala Lipangile amefanikiwa kutimiza ahadi yake ya kurudisha kwenye jamii yake baada ya kushinda challenge ya penati iliyosimamiwa na Meridianbet baada ya kujik… Read More
Sloti ya Sticky 777
Unawaza ni biashara gani ya kuzungusha pesa yako na ikakulipa haraka Zaidi, basi usiwaze hilo limeisha, ukiwa na Meridianbet kasino ya mtandaoni unap… Read More
Kama ulikuwa unadhani umeona vingi au kufanya vingi, basi sahau kabisa bado kuna vingi sana huvijui na leo nakusogezea mchongo ambao huenda unaujua au huujui unahitaji kuufahamu, ni kutoka… Read More
Kama unapenda mchezo wa karata basi chimbo jipya la kupigia hela limeongezeka pale Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa karata wenye umaarufu kwa wadau… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amegawa vifaa vya michezo vyenye thamani ya Shilingi Milioni 16.6 na kuzindua rasmi Mashindano ya East Singida Inter School Sports 2023,yanayohus… Read More
Michezo ya Virtual ni michezo ambayo inapatikana ndani ya Meridianbet ipo mingi sana na huchezwa kwa dakika chache na kukupatia pesa kwa muda mfupi sana yani bila kupoteza muda wako kutok… Read More
KUWA KWENYE NAFASI NZURI YA KUSHINDA MKWANJA MREFU, BONASI KIBAO KUTOKA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET NI SLOTI YA FOXPOT
Fahamu Kuhusu Sloti ya Foxpot
Unapoitazama sloti h… Read More
Moja ya klabu za kihistoria kabisa katika soka la Hispania ni RC Celta, timu iliyoko katika mji wa Vigo huko Galicia. Katika msimu wa 2023/24, klabu ya Galician itasherehekea miaka 100 t… Read More
PTR Blackjack 1 ni mchezo mpya wa karata kutoka kampuni ya Playtech. Mchezo huu wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unachezwa na pakiti nane za kadi na unafuata sheria za Ul… Read More
Walianza watanzania wachache sana kutamba kwenye soka la ushindani tena nje ya ardhi ya Tanzania. Kuna Sunday Manara na Je ni nani asiyefahamu mapambano ya mtoto wa uswahilini mitaa ya… Read More
Na Mwandishi Wetu, IRINGA.
Timu ya wanaume ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeibuka mshindi kwenye mchezo wa kamba kwenye mashindano ya Shirikishio la Michezo la Wizara na Ida… Read More