Mwanaume mmoja huko nchini Marekani David Riston, ambaye alikutwa amefariki ndani ya nyumba yake imegundulika kuwa alikuwa mfugaji wa nyoka na kifo chake kimesababishwa na kuumwa na nyoka al… Read More
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya chato wakiwa kwenye kikao cha Baraza.Na Daniel Limbe, ChatoBARAZA la madiwani wa halmashauri ya Chato mkoani Geita, limedai kushtushwa na wizi wa f… Read More
KATIKA kuhakikisha Sanaa na Utamaduni wa Mkoa Mwanza inakua kwa kishindo, Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Famara Entertainment Fabian Fanuel amekutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM) M… Read More
Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiwa amebinuka sarakasi ndani ya ukumbi wa Bunge alipokuwa akichangia mjadala wa kupitia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi na Uchuk… Read More
Habari mbaya kwa wale ambao huwa wanafurahia na kufikiri kwamba bilauri moja ya mvinyo kwa siku ni nzuri kwa kiafya.Utafiti mkubwa uliofanywa duniani na kuchapishwa katika jarida la lancet u… Read More
Kamishna wa operesheni na mafunzo jeshi la polisi Liberatus Sabas (kushoto) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (kulia) kuhusu kukamatwa kwa mtu mmoja akituhumiwa kuhusika na mauaji ya wa… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Brain Incorperated Ltd, Jesse Kwayu akitoa mada kuhusu sheria mbalimbali za vyombo vya habari kwenye semina kwa Wahariri wa Habari iliyoandaliwa M… Read More
Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto na Jaji wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Dkt. Paul Kihwelo akisisitiza jambo alipokuwa anafungua mafunzo ya siku tano kwa Makatibu Muhtasi 56 yaliyoan… Read More
Ama kwa hakika kila mtu hufurahia kuona wapendwa wao wakiishi kwa amani na wenye afya kila siku. Hali ilikuwa tofauti kwetu kwani mama mzazi alikuwa katika hali mbaya ya kifafa ambayo kila m… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Nsekela (wa tatu kulia) akibonyeza kitufe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa wiki ya AZAKI 2022 katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaa… Read More
SWALI: Naomba kufahamu kumpenda Mungu kukoje, Je tufanyeje ili tuonekane tunampenda? JIBU: Tofauti na sisi tunavyotafsiri upendo, kwamba ni kuonyesha hisia zilizo nzuri kwa mwingine, Kwamfan… Read More
MBUNGE wa Jimbo la Chato,Dk. Medard Kalemani akizungumza na wananchi wa ChatoNa Daniel Limbe,ChatoMBUNGE wa Jimbo la Chato,Dk. Medard Kalemani amewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye… Read More
Shalom, jina la Bwana libarikiwe. Ni vema tukajifunza tabia kadha wa kadha za Mungu, ili na sisi tuziige hizo tuwe wakamilifu kama yeye. Leo tutajifunza tabia mojawapo ya Mungu, ambayo pengi… Read More
CHANZO CHA PICHA,CHRIS LEVINE/ JERSEY HERITAGE TRUSTMaelezo ya picha,Malkia Elizabeth IIUtawala wa muda mrefu wa Malkia Elizabeth II ulijawa na hisia kuu za kuwajibika na kujitolea kwake mai… Read More
Baadhi ya wanafunzi wa Sekondari ya bweni ya wasichana ya Nyankumbu wakiwasikiliza viongozi na wafanyakazi wanawake wa Kampuni ya GGML ambao waliwapatia mafunzo ya siku mbili kuhusiana na ma… Read More
Craig Burley alidai Virgil van Dijk amekuwa 'mjanja' juu ya ukosoaji baada ya beki huyo kuwakashifu wachambuzi ambao wanaendelea kuwakosoa wachezaji wa Liverpool wakati wa mwanzo wao m… Read More
Ukame wa mabao wa Son Heung-min msimu huu umeongezeka hadi mechi nane kwa Tottenham, na hivyo kuzidisha wasiwasi mjini Seoul kuhusu ubora wa nyota huyo wa Korea Kusini miezi michache t… Read More
Mnufaika wa SDF katika sekta ya Uchukuzi akitoa elimu kuhusu matengenezo ya pikipiki na bajaji aliyopata kupitia ruzuku ya SDF.*****************Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) inashiriki kat… Read More
MATUNDA ya filamu ya The Royal Tour yanaendelea kushamiri baada ya Tanzania kuwa mwenyeji wa shindano la Dunia la utanashati, urembo na mitindo wanaume na wanawake kwa watu wenye changamoto… Read More
Benki ya CRDB na kampuni ya bima ya Sanlam Life Assurance zimetangaza udhamini wa shilingi milioni 350 kwa ligi ya mpira wa kikapu ya taifa 2022 ijulikanayo kama “CRDB Bank Taifa Cup&r… Read More
SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 24:26 “Aibusu midomo atoaye jawabu la haki” JIBU: Kwa namna nyingine inasomeka hivi “ Atoaye jawabu la haki, ni sawa na mtu abusuye… Read More
Waziri wa Madini Dotto Biteko wapili (katikati) akiangalia eneo ambalo limeathiriwa na Tope la Bwawa la Mgodi wa Almasi Mwadui mara baada ya kupasuka kingo zake.Na Marco Maduhu. KISHAPUWAZIR… Read More
Mwenyekiti wa Kampuni ya Uwekezaji NICOL, Dk. Gideon Kaunda akizungumza na wanahisa wa kampuni hiyo kwenye Mkutano Mkuu wa nane uliofanyika siku ya Jumamosi jijini Dar es Salam Wanahisa wa K… Read More
Na Dotto Kwilasa,DODOMA.CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimesimamisha uchaguzi katika mikoa mitatu kwa nafasi zilizoonyesha kuwa na changamoto pamoja na kufuta uchaguzi wa Umoja wa Vijana wa… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Jumla ya wanachama 10 kutoka Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza(MPC) pamoja na wanafunzi 15 vijana wanaosomea fani ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu ch… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiwa uwanjani kushuhudia mechi ya Kombe la Dunia kati ya Argentina na Poland ikiwa ni sehemu ya mwaliko kutoka Visa International, w… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Sekta ya Habari nchini imeelezwa kuwa na mwelekeo chanya tangu kuingia madarakani kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan nakwamba hatua hiyo inatoa matumaini k… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kila kukicha teknolojia ya ubunifu inazidi kuchukua nafasi, Tanzania pia ni sehemu ya maeneo ambayo yanaendelea kunufaika na matunda ya utandawazi huo.
R… Read More
Mchungaji Daniel Masembo kutoka Kanisa la EAGT Runzewe akiwasihi waumini kuwa na upendo wa kweli .Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blogMchungaji wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanz… Read More
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga ACP Janeth Magomi akizungumza kwenye kambi ya wazee wa Kolandoto.Na Marco Abel, ShinyangaMTANDAO wa polisi wanawake mkoa Shinyanga wamefanya matembez… Read More
Mwenyekiti wa Wanawake wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Mwanamvua Stambuli akizungumza mara baada ya Kukabidhi msaada Hospitali ya Mbagala Rangi Tatu ikiwa ni maadhimishi ya Siku y… Read More
Watu wa kale walitumia wino, na kalamu pamoja na karasati kuweka kumbukumbu zao kama tunavyofanya sasa.. Isipokuwa wino wao, kalamu zao na karatasi zao zilikuwa tofauti na hizi tunazotumia s… Read More
Wanawake wakiburudika Sherehe ya Shy Women's Day Out na mtoa mada Dokta Kumbuka.Na Marco Maduhu,SHINYANGASHEREHE ya wanawake Shy Women’s Day Out ambayo imeendeshwa na kikundi cha Wanaw… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa ATE - Bi. Suzanne Ndomba akizungumza wakati akizindua Awamu ya 9 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi iliyofanyika leo Machi 23,2023 katika Hoteli ya Sea cliff Jijini Dar… Read More
Baadhi ya Walimu kazini waliohitimu kozi maalumu ya mafunzo mbinu yaliyofanyika kwa miezi sita katika Chuo cha Partage Montessori cha BukobaMkuu wa Wilaya ya Bukoba Erasto Yohana Sima akitoa… Read More
Na Mwandishi Wetu
MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni Dodoma wiki hii, umeacha nje jambo moja &ndas… Read More
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akipokea zawadi maalum kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw Theobald Sabi (Kulia) wakati wa hafla futari iliyoandali… Read More
Familia moja nchini Marekani inataka uchunguzi wa uhalifu ufanyike kuhusu kifo cha jamaa wao aliyefariki akiwa jela baaa ya kudaiwa kung'atwa na kunguni.
LaShawn Thompson, 35, alipatikan… Read More
Maofisa wa Benki ya Exim Tanzania akiwemo Mkuu wa kitengo cha Hazina na Masoko ya Dunia Bw Nelson Kishanda (katikati) wakikabidhi msaada wa chakula na mahitaji muhimu kwa mmoja wa wananchi… Read More
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato
Msanii wa nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma,mkazi wa kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita,amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) leo Mei 11, 2023 imeendelea kutoa mafunzo kwa siku ya pili kwa Maafisa Biashara kutoka katika Mikoa 10 ya… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya simu ya VIVO inayofanya vizuri duniani katika teknolojia ya simu za mkononi k imezindua V27 5G yenye uwezo mkubwa ukiwamo wa kupiga picha bora… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya simu ya VIVO inayofanya vizuri duniani katika teknolojia ya simu za mkononi k imezindua V27 5G yenye uwezo mkubwa ukiwamo wa kupiga picha bora… Read More
Serikali imesema kuwa maonesho ya elimu yanayolenga kuunganisha Vyuo vya ufundi, juhudi za ubunifu, sayansi na teknolojia pamoja na shughuli za uzalishaji kuanzia sasa yatakuwa yakifanywa… Read More
Na Mwandishi Wetu
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amewashukia wanasiasa wanaotaka kuwagawa Watanzania wanapojadili suala la makubaliano ya Ushirikiano kati ya… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar e… Read More
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kilosa, Kisena Magena Mabuba (kushoto) akimsaidia Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata ya Magubike, Juma Hamis Ngwele kubadika fomu za uteuzi za w… Read More
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Tanga Alhaj Hasani Ramadhani Mbezi akifungua Kikao cha Baraza la Wazazi la Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tanga kilichoketi kupokea Taarif… Read More
Kama unapenda mchezo wa karata basi chimbo jipya la kupigia hela limeongezeka pale Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa karata wenye umaarufu kwa wadau… Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe,akikabidhi zawadi kwa washindi wa Kitaifa wa Shindano la Uandishi wa Insha kwa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) n… Read More
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo, akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa SimBanking App inayotumia teknolojia ya kisasa zaidi inayowezesha kutambua mahitaji ya wa… Read More
Na Mariam Kagenda _ Kagera
Serikali mkoani Kagera imesema itaendelea kuwachukulia hatua wale wote wanaohatarisha uhuru na usalama wa Taifa sambamba na baadhi ya watum… Read More
Na Oscar Assenga, TANGA.WANAFUNZI, walimu pamoja na waumini wa dini ya Kiislamu zaidi ya 130 kutoka Taasisi ya Bilal Muslim Mission of Tanzania Tawi la Tanga wametumia maadhi… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa juhudi inazozionyesha kuboresha afya nchini na kuzitaka kampuni nyingine binafsi… Read More
Diwani wa viti maalum,Ester Makune akizungumza na wachezaji wa timu mbili kwenye uzinduzi wa mashindano ya UVCCM FOOTBALL CUP 2023 kabla ya kuanza mtanange wa kwanza katika uwan… Read More
Mithali 29:21 “Amtunduiaye mtumwa wake tangu utoto, Mwisho wake atakuwa ni mwanawe”. Kutundua ni kujali mtu kupita kiasi, au kuonyesha wema uliopitiliza. Hivyo hapo anaposema amt… Read More
Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Lilian Liundi akizungumza wakati akifungua Warsha ya Mafunzo ya ufuatiliaji na uwajibikaji kwa Mashirika na Asas leo Septemba 4,2023 ka… Read More
Na Mwandishi Wetu.
Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kushirikiana na Benki ya NMB ili kuimarisha, kukuza na kuendeleza ujuzi na vipaji kwa vijana wa Kitanzania… Read More
Meneja wa Programu wa LSF Bw.Deogratius Bwire akipokea Cheti cha pongezi kutoka kwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango kama Shirika bora linalosaidia ukuaji wa Mashirika madogo yasiyo… Read More