Kati ya michezo ya ligi kuu ya Uingereza isiyopendwa na kocha Arsene Wenger ni dhidi ya Chelsea ya Mourinho. Wakiwa mahasimu wakubwa, Bosi Arsene Wenger anahofu huenda Morinho akaifanya siku… Read More
Julai 15 mwaka huu, serikali ya Uturuki ilinusurika kupinduliwa katika jaribio la mapinduzi liliyodumu kwa chini ya masaa 12. Tayari watu zaidi ya 60,000 aidha wamekamatwa, wamesimamishwa au… Read More
Image captionRais mteule wa Marekani Donald Trump amelikashifu baraza la usalama la Umoja wa MataifaRais mteule wa Marekani , Donald Trump, kwa mara nyengine tena amelikashifu shirika la Um… Read More
Kwamba Idara yetu ya Usalama wa Taifa imekuwa ikibebeshwa lawama mbalimbali kwa takriban 'kila baya' linaloihusu Tanzania yetu, sio siri. Ni kitu cha wazi ambacho ninaamini hata wana-Usalama… Read More
Alexander Litvinenko alitiliwa chai iliowekwa sumu ya Polonium 210 Hakuna jambo jipya kuhusu mauaji ya mtu maarufu. Ni miongoni mwa njia zilizotumika kuwaondoa ulimwenguni watu waliokuwa… Read More
By ProtemplateslabAfya › Biashara › Kilimo ›Mahusiano › Makala ›Tecnolog › Urembo ›Bofya hapa kwa Ku-Download App ya Muungwana BlogNewer Post… Read More
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, wilaya anayoiongoza ndiyo kitovu cha nchi kwa sababu ndipo yalipo makao makuu kubwa kuliko zote nchini kimadaraka, yaani Ofisi ya Rais Ikulu lakini pia… Read More
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesikitishwa kwa hitilafu iliyotokea siku ya mwisho ya usajili usiku wa Desemba 15, mwaka huu kwa kufeli kwa mtandao wa mfumo wa usajili hali i… Read More
Unapougua maana yake kinga zako za mwili zimeelemewa na vijidudu vya maradhi vilivyoingia mwilini. Licha ya kuelemewa huko, mfumo wa kinga unayo namna ya kujibadili na kukabiliana vyem… Read More
Kwamba Daudi Albert Bashite ni mhusika mkuu katika utekelezaji wa mpango wa kijahili wa kutemka mfanyabashara maarufu Mohammed Dewji sio suala la siri. Na wala haihitaji uelewa mkubwa wa uch… Read More
Heri ya mwaka mpya 2019.Kila mwaka mpya, blogu hii huwaletea ubashiri kuhusu masuala mbalimbal yanayotarajiwa kutokea nchini Tanzania katika mwaka husika. Hata hivyo, ni muhimu kutanaba… Read More
Watu 19 wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya lori lililokuwa na mzigo, lenye namba T 388 CAA baada ya gari hilo kufeli breki na kugonga magari mawili likiwemo la abiria katika mterem… Read More
Na Bakari Chijumba,Lindi.Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) Bi Rose Reuben, amewataka wanawake wa Ruangwa kubadilika na waweke juhudi katika kupinga… Read More
Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kukabiliana na adui.Shirika rasmi la habari la Korea Kaskazini (KCNA) limetangaza… Read More
Mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga (CCM) ameomba mwongozo bungeni akihoji sababu ya Serikali kutoa mipira ya kiume (Kondomu) bure badala ya kugawa taulo za kike bure kwa wanafunzi.Mlinga ameo… Read More
KAMPUNI I ya Jenga Afya Tokomeza Umaskini (Jatu PLC), imeendesha mafunzo kwa vijana 100 lengo likiwa ni kutokomeza umaskini kupitia rasilimali watu.Meneja mkuu wa Jatu, Mohamed Simbano akizu… Read More
Alexis SanchezManchester United itakabiliwa na deni la mshahara la pauni milioni 12 kwa mchezaji Alexis Sanchez hata kama atasajiliwa na klabu ya Inter Milan. (ESPN)Sanchez, 30, ambaye ni ra… Read More
Watu 15 wamenusurika kifo baada ya breki za basi la abiria la kampuni ya Harambee kushindwa kufanya kazi na kupelekea basi hilo kupoteza uelekeo na kuyagonga magari mengine wilayani Moshi mk… Read More
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Murroto ametolea ufafanuzi juu ya kifo cha ustadhi Rashid Ally Mussa (62) ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya The Dalai Islamic Center na Mmiliki… Read More
Watu watano wamefariki Dunia na wengine watano kujeruhiwa baada ya Lori la mizigo kuligonga gari dogo aina ya Toyota Noah wakati likisubiri kuvuka katika Daraja la mchepuo la Kiyegeya,Morogo… Read More
Sauti Sol – Midnight Train (Chimano Acoustic) LyricsSauti Sol – Midnight Train (Chimano Acoustic) Lyrics Hii maisha ni safari
Tunapita kama moshi
Na kabla tuzame mchangani
Kuna k… Read More
Makumi ya maelfu ya wananchi wa Mali wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu Bamako, wakishinikiza kujiuzulu Rais Ibrahim Boubacar Keita wa nchi hiyo.Waandamanaji hao wamesikika wakilaa… Read More
Na SARAPHINA SENARA (UoI) – DAR ES SALAAM
MTAALAMU wa masuala ya saikolijia kutoka Chuo Kikuu cha Iringa, Baraka Mushobozi, ameeleza madhara ya matumizi ya madawa ya kulevya, akisema… Read More
Pengine umeshawahi kusikia jina la Profesa Allan Lichtman wa Marekani ambaye ana rekodi ya miaka 30 ya kutabiri kwa usahihi kabisa matokeo ya urais katika nchi hiyo. Pengine utabiri uli… Read More
Watu wapatao nane wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari la abiria lenye namba za usajili T.471 DCG linalofanya safari za kubeba abiria kutoka Kemondo kwenda Bukob… Read More
Na Englibert Kayombo WAMJW – GEITAMganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi amesema juhudi za kila mwananchi mmoja mmoja zinahitajika ili kupambana na magonjwa yasiyoambukiza kwa kubad… Read More
Ni nini kinachompatia Elon Musk ufanisi katika biashara?Siku chache zilizopita Elon Musk alitangazwa kuwa mtu tajiri zaidi duniani, akimpiku mwanzilishi wa Amazon Jeff Bezos.Utajiri wa mfany… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia akipokea msaada wa Madawati, kutoka kwa Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji cha Nyaligogo Masumbuko Lushona kushoto, ili kupungufa upung… Read More
Kuwa na uhuru wa kufanya malipo ukiwa mgahawani haraka na rahisi zaidi kwa kuScan QR Code kupitia SimBanking App bila makato.Jinsi ya kulipa na QR Code;👉Fungua App ya SimBanking … Read More
Mganga kutoka Kathwana, Tharaka Nithi nchini Kenya aliyepokea kitita cha KSh 200,000 kutoka kwa jamaa flani ili amtengenezee dawa ya kumkomesha barobaro aliyezoea kuchepuka na mkewe amelazim… Read More
Mwalimu wa Taaluma wa Shule ya Sekondari Coastal High School, Isaack Dastan Kifwete wakati mkutano wao baina yao na waandishi wa habari uliokuwa na lengo la kueleza siri iliyowafanya k… Read More
PARIS, Ufaransa
KIUNGO wa pembeni wa PSG na timu ya taifa ya Argentina, Angel Di Maria, amesema amekuwa ni mwenye furaha tangu alipotua klabuni hapo.
Di Maria aliyejiunga na PSG mwaka 2015 b… Read More
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Msaada wa Kisheria mkoa wa Shinyanga, John Shija akizungumza kwenye kikao cha Wasaidizi wa Kisheria na Wana Vituo vya Taarifa na Maarifa kata ya Lunguy… Read More
Watu wawili wamepoteza maisha na wengine nane (8) kujeruhiwa, hii leo Januari 28, 2022, katika ajali iliyohususha lori na watembea kwa miguu maeneo ya Kimara Suka Jijini Dar es salaam, baada… Read More
Ni kwamba mnamo tarehe 16.08.2022 majira ya saa 02:00 asubuhi huko maeneo ya Inyala Pipeline, Kijiji cha Shamwengo, Kata ya Inyala, Tarafa ya Tembela, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mkoa wa Mbeya… Read More
Jina langu ni Pascal mkazi wa Buza, Dar es Salaam, kwa sasa nimuhitumu wa Chuo Kikuu nikiwa na Shahada ya Biashara, nafanya kazi zangu na kupata fedha nzuri.Kipindi nasoma shule ya msingi si… Read More
Na Halima Khoya, Shinyanga.Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Imesela Wilaya ya Shinyanga imefanya ziara ya siku tatu kwa ajili ya kutembelea miradi ya maendeleo ikiwa ni h… Read More
Diwani wa kata ya Imesela Seth Msangwa akizungumza katika maadhimisho ya ziara ya kamati ya siasa ya chama cha Mapinduzi (CCM) Imesela Wilaya ya Shinyanga.Kamati ya siasa na uongozi wa shule… Read More