Na Faraja Masinde
Waziri wa mteule wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima ambaye ameteuliwa na Rais Dk. John Magufuli amesema yupo tayari kufany… Read More
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk.Doroth Gwajima (wa pili kulia akiangalia eneo ilipotokea ajali hiyo. Kulia ni Dk.Suleiman Muttani wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa… Read More
Na. Catherine Sungura,WAMJW-DodomaWakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wametakiwa kuanisha changamoto na mahitaji yote yanayohit… Read More
Na. Catherine Sungura,WAMJW-DodomaViongozi wa vituo vya kutolea huduma za afya vya umma wametakiwa kuheshimu fedha za dawa kadri zilivyopangwa kwenye bajeti ya Serikali kuu na vyanzo vingine… Read More
Na. Catherine Sungura,WAMJW-DodomaWaganga Wakuu wa Mikoa, Wilaya,Wafawidhi na Maafisa Afya Mazingira nchini wametakiwa kuendelea kuimarisha mifumo yote ya udhibiti na kinga ya magonjwa… Read More
Na. Catherine Sungura,WAMJW-MwanzaJumla ya shilingi bilioni 1.3 zimechangwa na wadau mbalimbali ili kufanikisha ujenzi wa wodi ya Saratani inayojengwa katika hospitali ya rufaa ya kanda-Buga… Read More
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk Doroth Gwajima Na Herieth Makweta - MwananchiWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk Doroth Gwajima… Read More
Mbunge wa Jimbo la Kawe Mhe. Askofu Josephat GwajimaNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogMbunge wa Jimbo la Kawe Mhe. Askofu Josephat Gwajima ampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania M… Read More
Na. Catherine Sungura-DodomaWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amewahakikishia wakunga kwamba Serikali itaendelea kusimama nao vema ili wa… Read More
Na. Catherine Sungura,WAMJW-MwanzaKatika vita dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza Taaluma ya Famasi ni muhimu katika kuwezesha upatikananji wa bidhaa za dawa kwa wale watakaoshindwa… Read More
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Doroth Gwajima amelitaka Baraza la Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali (NaCoNGO) kufanya kazi kwa w… Read More
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Dk.Dorothy Gwajima akizungumza na viongozi wa Baraza la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACONGO) wakati wa uzinduzi wa Baraza hilo… Read More
Na Mwandishi Maalum – Dar es Salaam Wahudumu wa afya nchini wametakiwa kuwa wakarimu wakati wanapowahudumia wateja na wagonjwa kwani kufanya hivyo wataongeza ida… Read More
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima jana amekutana na kufanya kikao na Uongozi wa Taasisi ya Tiba na Mifupa (MOI).Dkt. Gwajima ameipongeza Taasis… Read More
Na WAMJW- NairobiWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ameweka wazi kuwa Serikali ya Tanzania ilihimiza matumizi ya tiba asili wakati wa mlip… Read More
Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima mbaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe jijini Dar es salaam amekanusha madai kuwa amelishwa sumu kutokana na msimamo wake kuhusu chanjo ya… Read More
Kushoto ni Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima, na kulia ni Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima ***Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima, am… Read More
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, nchini Tanzania Dk. Dorothy Gwajima amewaacha na hamaki wakazi wa jiji la Mwanza mara baada ya kusema, baada ya yeye kuchanja cha… Read More
Kamati ya Maadili ya Wabunge wa CCM leo imewaita Dodoma kuwahoji Wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima ambao Bunge lilipitisha azimio la kuwasimamisha mikutano miwili, ameonekana pia M… Read More
WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amezindua mfumo wa kidigitali wa usimamizi shirikishi katika utoaji wa huduma za afya (AfyaSS), ili kuweze… Read More
Na. WAMJW-NairobiWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima jana ameshiriki mkutano wa uzinduzi wa kituo cha kanda ya mashariki mwa Afrika kinachoshughu… Read More
Na Allan Vicent, Tabora
MAPISHI ya vyakula vya asili yamekuwa kivutio katika maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Lishe Duniani yanayofanyika kwenye Uwanja wa Nane Nane uliopo Ip… Read More
WAZIRI wa Afya,Mandeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Dkt.Dorothy Gwajima,akizungumza kwenye hafla ya kilele cha maadhimisho ya siku ya afya ya Macho Duniani,pamoja na uzinduzi wa mwongozo… Read More
Na Allan Vicent, Tabora
MAADHIMISHO ya Siku ya Lishe Duniani yanayofanyika Kitaifa mkoani Tabora yamezinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa huo Dk. Batilda Burian katika uwanja wa Nane Nane uliopo… Read More
Na Hughes Dugilo, Dodoma
Jamii imetakiwa kuendelea kuwa na imani na Mashirika ya Asasi za Kiraia nchini zinazofanyakazi kubwa ya kuchagiza maendeleo yao katika kuhakikisha wanapata huduma bo… Read More
Na WAMJW- MwanzaWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amefanya ziara ya kukagua Maendeleo ya jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mk… Read More
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amewaonya watumishi wanaofanya biashara ya kuuza damu kinyume cha sheria za nchi na kwamba hata sita kuwawajibis… Read More
ZIKIWA zimebaki siku chache kufunga mwaka wa 2021, ndoto ya Tanzania kuanza kutoa huduma ya kupandikiza mimba kwa wanawake wenye matatizo ya uzazi imeanza kuonekana kwenye Hospitali ya Benja… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa Makatibu Wakuu wa Wizara za Kisekta na Wakuu wa Mikoa na Mashirika… Read More
Na Atley Kuni, WAMJW, DSM.Wananchi na wazazi wanaopata huduma kwenye kliniki ya watoto katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamemuomba Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Januari 8, 2022 amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ambapo ameingiza mawaziri wapya na manaibu waziri hu… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko Madogo katika Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu.Akitangaza mabadiliko hayo leo J… Read More
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri na Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu.Akitangaza mabadiliko hayo leo Jumamosi Januari 8, 2021 Ikulu jijini Dar… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima amesema kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto za ukati… Read More
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk.Doroth Gwajima amesema takwimu zinaonesha waathirika wakubwa wa vitendo vya ukatili kwa upande… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima,akizungumza wakati akifunga Kongamano la Kupinga Ukeketaji lililofanyika mkoani Mara katika Wilaya ya T… Read More
...................................................................Na WMJJWM- MaraWaziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa siku thelathini… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima (wa tano kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha Malezi na Makuzi kwa Watoto kilic… Read More
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt.Dorothy Gwajima,akizungumza katika kikao cha kamati ya Mpango kazi wa taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wa… Read More
Waziri Dkt. Dorothy Gwajima akiongea na chama cha madaktari wanawake Tanzania(MEWATA) katika Mkutano wa 19 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Dodoma.Waziri Dkt. Dorothy Gwajima akiongea na ch… Read More
Serikali ya Tanzania imesema imeanza mchakato wa kuunganisha kitambulisho cha Taifa na kitambulisho cha mpiga kura ili kumfanya mtanzania kutumia kitambulisho cha taifa katika zoezi la kupig… Read More
Waziri Wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima Ametoa Cheti cha Pongezi kwa Shirika la Wekeza kwa Mtoto na Kuimarisha Familia ICS la Mjini Shinyan… Read More
*Ahimiza wazazi kuacha ukimya na kuzungumza na watoto wao
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amewahimiza Viongozi wa Di… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt. Dorothy Gwajima akisoma hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Wanawake na uongozi ikiwa na kauli mbiu isemeyo… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima akishuka ndani ya Basi aina ya Tata linalofanya kazi ya kubeba wanafunzi Mjini Shinyanga.Na Kadama… Read More
Na Frankius Cleophace MaraSERIKALI imesisitiza utoaji wa elimu kwa jamii namna ya kuzingatia lishe bora ili kuweza kuepukana na udumavu kwa watoto na kuwa na afya bora.Kauli hiyo imetolewa n… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amehimiza ushirikishwaji wa wadau wote katika kuunganisha nguvu ili kupam… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Shinyanga na viunga vyake kupitia kipindi maalumu cha Redio Faraja Fm… Read More
Minza Mayenga (47) mkazi wa Mkoa wa Simiyu ambaye ni mama wa watoto tisa aliyekatwa mapanga na mme wake sehemu za kichwa na mkono Novemba 30,2022 akiwa katika hospitali ya wilaya mji wa… Read More
KUKITHIRI kwa vitendo vya ukatili kwa Watoto nchini, Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekutana na Waziri wa Jinsià, Maendeleo na Makundi Maalum pamoja na Waziri wa Elim… Read More
Tanzania government to place more emphasis on fostering inclusive technology, innovation, and educational opportunities to achieve gender equality
Digital financial services in Tanzania have… Read More
Na WMJJWM, Dodoma
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima ameiongoza Menejimenti ya wizara hiyo kumuaga aliyekuwa muwakilishi Mkazi wa shir… Read More
Mkurugenzi Kanda wa IFC Jumoke Jagun-Dokunmu,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na makundi maalumu Dkt.Doroth Gwajima.
Na Dotto Kwilasa,Dodoma.
Katika kuwezesha wanaw… Read More
Na Mwandishi Wetu-Dodoma
Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekubaliana na Kamisheni ya Uingereza kushirikiana ili kuimarisha usawa wa kijins… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima,akizungumza wakati wa uzinduzi wa kitaifa wa maonesho ya wiki ya Msimbomilia kwenye viwanda j… Read More
Na.Mwandishi Wetu_ARUSHA
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amezitaka nchi za kiafrika kuongeza ushiriki wa wanawake katika majukwaa ya… Read More
Na WMJJWM, Kigali, Rwanda
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameshiriki mdahalo wa hatua zilizofikiwa katika utekelezaji wa Ahadi z… Read More
Na WMJJWM- New York, Marekani
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amemwakilisha Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano… Read More
Na Dotto Kwilasa, Dodoma
MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amezindua ramani ya kidigitali ya utambuzi wa mashirika yasiyo ya kiserikali huku akiyataka mashirika hayo kulinda na kutunza … Read More