Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

ASKOFU GWAJIMA : SIJALISHWA SUMU NA HAITATOKEA

Tags: sumu gwajima kuwa
Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima mbaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe jijini Dar es salaam amekanusha madai kuwa amelishwa Sumu kutokana na msimamo wake kuhusu chanjo ya UVIKO -19.

Akizungumza leo Jumapili Agosti 8, 2021 wakati wa ibada kanisani kwake kuwa hajalishwa sumu nahakuna wa kumnywesha sumu na hatotokea.

"Wanataka kusingizia watu, labda kusingizia kwamba serikali imeninywesha sumu. Niwahakikishie kwamba hakuna serikali imemnywesha sumu Gwajima kwa kuwa serikali ndiyo inasema chanjo ni hiari. Suala la afya ya mtu linapaswa kulindwa na mtu mwenyewe. Labda nitoe changamoto kwa wanaojiita watalaam waje walete andiko linaloonyesha kemikali zilizopo kwenye chanjo", amesema Gwajima.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

ASKOFU GWAJIMA : SIJALISHWA SUMU NA HAITATOKEA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×