HABARI: Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewataka Watanzania kukosoa na kubishana kwa hoja kwa kutumia maneno ya staha badala ya matusi.
Kauli hiyo aliitoa… Read More
Na Dotto Kwilasa,Dodoma.
SERIKALI kupitia Wizara ya Habari Mawasiliano na teknolojia ya Habari,imeridhia kuiongezea muda wa miezi sita Kamati ya Tathmini ya hali ya uchumi kwa Vyomb… Read More
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mh. Nape Nnauye akipokelewa na Bw. Alex Msama Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion iliyoandaa tamasha la kumuombea Rais wa Jamhuri y… Read More
****************************Waendeshaji wa Makundi ya Whatsapp watadharishwa kupokea maudhui na kuyaacha.Na Mwandishi WetuWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye am… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Serikali imesema kuwa kuwepo kwa vikao na wadau ni ishara kuwa ina nia na dhamira njema kwa sekta ya habari nchini.
Hayo yameelezwa hivi karibuni jijini… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), inapitia mapendekezo ya Sheria ya Huduma za Habari baada ya kukabidhiwa kutoka Ofisi ya Waziri wa Habari, Maw… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Sekta ya Habari nchini imeelezwa kuwa na mwelekeo chanya tangu kuingia madarakani kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan nakwamba hatua hiyo inatoa matumaini k… Read More
Benki ya CRDB imetangaza kuanzisha programu ya uwezeshaji kwa vijana na wanawake wajasiriamali ikiwa na lengo la kukuza ujumuishi wa kiuchumi nchini.Taarifa hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi… Read More
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akitembelea mabanda mbalimbali ya maonesho wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani tarehe… Read More
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko na Mkurugenzi wa Gold Fm, Neema Mghen wakikata keki wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Gold FmNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogWaziri… Read More
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Nape Moses Nnauye (Mb.) akiagana na Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Chen Mingjian mara baada ya kuhitimisha mazung… Read More
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema anajiandaa kuyapeleka mahakamani makampuni ya simu nchini juu ya matumizi ya mabando ya data.Kupitia akaunti yake ya mtandao wa Twitter, Shigongo ame… Read More
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, akiongea katika mkutano na wadau wa habari Arusha Mei 5, 2022, ambao imeandaliwa na MISA-Tanzan… Read More
"Agizo la Rais ni Sheria, Leo hii natoa Leseni kwa Magazeti manne ambayo ni Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima.Mama kasema Kazi Iendelee tuanze ukurasa mpya" - Waziri wa… Read More
Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nn… Read More
Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano nchini (TCRA) kutoa taarifa za waliohusika kudukua mawasiliano ya simu ya mbunge wa Mtama, Nape Nnauye na… Read More
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye amewataka Wanasiasa kujiwekea utaratibu wa kuwa na akiba ya maneno pindi wanapozungumza mambo ikiwemo kupinga jambo.Nape aliyasema hayo jana wakati akichangia map… Read More
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye
amewasimamisha kazi watumishi wawili wa Shirika la Utangazaji la Taifa
TBC kutokana na utendaji usioridhisha.
Akizungumza na… Read More