Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Alichokiandika Waziri Nape Nnauye baada ya video ya Clouds Media inayosambaa

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikiaminika ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiingia Clouds Media akiwa na askari, Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye kupitia account yake ya twitter ameyaandika haya……
“Kesho asubuhi kama Waziri Mwenye dhamana na HABARI nitatembelea CloudsMedia kujua kilichotokea.Nawaomba sana wanahabari nchini KUTULIA kwasasa”
Kesho asub kama Waziri Mwenye dhamana na HABARI nitatembelea CloudsMedia kujua kilichotokea.Nawaomba sana wanahabari nchini KUTULIA kwasasa!



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Alichokiandika Waziri Nape Nnauye baada ya video ya Clouds Media inayosambaa

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×