Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Breaking News : SERIKALI YAYAFUNGULIA MAGAZETI YA MWANAHALISI, MAWIO, MSETO NA TANZANIA DAIMA




"Agizo la Rais ni Sheria,  Leo hii natoa Leseni kwa Magazeti manne ambayo ni Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima.
Mama kasema Kazi Iendelee tuanze ukurasa mpya" - Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akizungumza na wahariri wa vyombo vya Habari leo Alhamisi Februari 10,2022



This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Breaking News : SERIKALI YAYAFUNGULIA MAGAZETI YA MWANAHALISI, MAWIO, MSETO NA TANZANIA DAIMA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×