Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa akizungumza na wananchi wa eneo la Pombe Shop Chamwino Morogoro usiku alipokwenda kutatua mgogoro wa ardhi tarehe 22 Sept 2023… Read More
Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulikia mahusiano ya jamii, Gilbert Mworia akimpatia zawadi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman alipotembelea banda la kampuni hiyo kati… Read More
Mratibu wa Kambi hiyo ambaye pia ni Mhazini wa Chama cha Madaktari Tanzania Dkt Mathew Shao kulia akiteta wakati wa kambi ya Huduma za Madaktari Bingwa wa uchunguzi wa magonjwa mbalim… Read More
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi (wa pili kushoto) Septemba 15 , 2023 akiangalia futi kamba nundu anayoitumia Mwanafunz… Read More
Na Mariam Kagenda - Kagera
Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Bukoba-BUWASA kwa kushirikiana na Maabara ya maji Mkoa wa Kagera imeendesha zoezi la kupima ubora wa maji kwenye vyanzo… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Wakati Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kukabiliana na UKIMWI - The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) ukitimi… Read More
MBUNGE wa Jimbo la Tanga (CCM) Ummy Mwalimu ambaye pia ni Waziri wa Afya akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari mapema leo
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo… Read More
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt Seif Shekalaghe akizungumza wakati akifungua kongamano la mrejesho wa Tafiti za Kukinga na kudhibiti Maambukizi na Usugu wa dawa za Antibiotic l… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka akina mama kuhakikisha wanawanyonyesha watoto wao mara kwa mara kadri wanavyotaka hu… Read More
Mkurugenzi wa Uhamasishaji Uzalishaji wa Ndani na Ununuzi wa mbolea kwa Pamoja wa TFRA, Josephy Charos akifafanua jambo wakati wa kikao baina ya wajumbe wa Bodi, Menejimenti na Wakulim… Read More
Watu 15 wa familia moja wameaga dunia nchini Namibia baada ya kunywa uji ulioharibika.
Hili ni miongoni mwa matukio mabaya zaidi nchini humo ya maafa yanayotokana na chakula kibovu.
Vyom… Read More
Afisa Metrolojia TBS, Bi.Angela Charles akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 24,2023 katika Ofisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Jijini Dar es Salaam
*********************
NA… Read More
Kufuatia ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) aliyofanya Mkoa wa Kigoma akiwa na lengo la kuhamasisha kilimo cha mchikichi ambapo katika ziara… Read More
MASHIRIKA ya viwango vya ubora wa bidhaa kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), yamejipanga kuhakikisha masuala ya bidhaa na vipimo yanakuwa sawa, husasan upimaji na magari yanay… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) limeanza na zoezi la kawaida la usajili wa watoa huduma binafsi na utoaji vibali vya uen… Read More
Isingekuwa shida sisi kama familia tusingemjua daktari bingwa BAKONGWA aliyemtibia baba yetu ugonjwa wa sukari ya kupanda na shinikizo la damu ambalo kwa hakika hospitali walituh… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya simu ya VIVO inayofanya vizuri duniani katika teknolojia ya simu za mkononi k imezindua V27 5G yenye uwezo mkubwa ukiwamo wa kupiga picha bora… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
UKAGUZI wa Ufanisi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) ameimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka… Read More
Na Renatha Kipaka, Bukoba
Wananchi katika Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Marburg kwa kutumia njia za asili kuwafukuza wanyama pori ambao… Read More
Mhandisi Salum Ngudy akizungumza jambo na wadau wa Maji kuhusiana na miradi ya kuiboresha huduma ya maji safi jijini TangaMitambo ya kusafirisha Maji kutoka Bwawa la mabayaniNa Sal… Read More
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth MagomiNa Mapuli Misalaba, ShinyangaJeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linachunguza tukio linalomhusisha mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dkt.Athuman Ngenya akikabidhi leseni na vyeti kwa wazalishaji wa bidhaa nchini katika wa hafla ya utoaji leseni na vyeti vya ubora kwa wazalishaji ambao bidhaa zao zi… Read More
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (aliyevaa miwani) akikagua na kupata maelekezo kutoka kwa Afisa wa WMA katika Chumba maalum cha vifaa vya uhakiki wa vipimo… Read More
Veronica Wana kutoka Kituo cha Taarifa na Maarifa cha Kivule akisoma maoni na mapendekezo katika eneo la masuala mtambuka ya Jinsia hasa kwenye vipaumbele muhimu kwenye upangaji wa Bajeti ye… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Mhe. Amina Makilagi kufungua mafunzo kwa wafanyakazi kutoka taasisi za maabara z… Read More
Faridah Kiconco (37); ni mama alitumia dawa za ukimwi kwa miaka sitaFARIDAH Kiconco (37); ni mama aliyeambiwa kwenye kituo cha afya kuwa ana Virusi Vya Ukimwi (HIV) kisha akatumia dawa kwa m… Read More
Mkoa wa Mwanza umevuka lengo la kitaifa la utoaji chanjo kamili ya UVIKO-19 kwa wananchi ambalo ni asilimia 70 ifikapo mwezi Disemba mwaka 2022.Mganga Mkuu Mkoa Mwanza, Dkt. Thomas Rutachunz… Read More
Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa 17 inayozalisha pamba hapa nchini, ukiwa katika msimu wake wan ne (4) tangu zao hili litambulishwe rasmi msimu wa 2017-18.Pamoja na kuwa miongoni mwa mik… Read More
Mfano wa kifaa cha kupimia afya ya udongo**Na Mwandishi wetu - MwanzaTaasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Ukiriguru imewataka Maafisa Ugani kutoka kwenye Halmashauri za wilaya kwenda… Read More
Na Asha Bani, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Sukari ya Kilombero (KSCL) imeanza kuwaunganisha wakulima na taasisi mbalimbali ili kuwapatia elimu na msaada katika kuboresha mbinu zao za kilimo… Read More
Kutokana na ugumu wa maisha nilijikuta nimeingia kwenye biashara ya ukahaba bila mimi mwenyewe kupenda, nilifanya kazi ile kishingo upande, ni vile tu sikuwa na jinsi.Huko nilikumbana na cha… Read More