Na Mwandishi wetu,Dodoma
Serikali imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 136.2 kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakala ya Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA), kwa ajili ya kure… Read More
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024… Read More
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepeleka kiasi cha shilingi bilioni 6.5 kwa ajili ya matengenezo ya dharura ya kurejesha miundombinu ya baraba… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania(TADB) imefunga mafunzo kwa wataalam 52 kutoka Benki washirika kuhusu namna bora kutoa mikopo katika sekta ya kilimo… Read More
Na mwandishi wetu.
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafugaji Tarafa ya Ngorongoro (NPC) wameiomba serikali kufanya ukaguzi maalum matumizi ya fedha ya baraza hilo ili kuondoa mgogoro wa chini… Read More
Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Adv Stephen Byabato akizungumza na wananchi .
Na Mariam Kagenda - Kagera
Katika kipindi cha miaka 3 ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Manispaa ya Bukob… Read More
SERIKALI inatambua umuhimu wa vivuko na madaraja katika Jimbo la Singida Mashariki ambapo kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini imeweka katika mpango wake kwa mwaka wa fedha 202… Read More
Katika kipindi cha Miaka Mitatu cha Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan madarakani, Serikali ya awamu ya sita imefanya mageuzi makubwa ya Miundombinu ya Ujenzi wa Barabara na madaraja Mkoa… Read More
Kamati ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji na Mitaji ya Umma imekagua na kufurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la DAWASA Yetu lililogharimu shilingi bilioni 48.9 na linatarajiwa kuka… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kamati ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Hesabu za Serikali (PAC) imefanya ziara ya kukagua miradi ya umeme Mkoani Shinyang… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo wamekagua na kuridhishwa na Maendeleo ya ujenzi wa jengo la Utawala la Taasisi ya Utafiti… Read More
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akiwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakiwa wameshika bango linaloonesha maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Daraja la JP Magufuli (… Read More
Mwenyekiti wa Bodi TGNP, Bi. Gemma Akilimali akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo TGNP wameanzisha leo Machi 6, 2024 kwenye viwanja vya TGNP-Mtandao Jijini… Read More
Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango akizindua mradi wa kuongeza upatikanaji wa maji kwa wastani wa lita 60 katika Jiji la Tanga na wilaya jirani za Muheza na Mkinga baada ya lita 45 za awali… Read More
*Aipongeza REA kusambaza umeme vijijini kwa ufanisi
*DG REA aeleza Shilingi Bilioni 73.9 zimewekezwa kutekeleza Miradi mitano ya umeme vijijini mkoani Arusha
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Dig… Read More
* Benki kubwa za biashara zavunja rekodi ya mapato na faida
* Zamwaga ajira kwa Watanzania na kulipa kodi zaidi kwa Serikali
* Benki za CRDB na NMB zaendelea kuwa vinara
Januari 31, 2… Read More
*Ataka Viongozi Serikalini kutatua kero za wananchi na si kusikiliza tu
*Aagiza viongozi kuhakikisha wanafunzi wote wanaripoti mashuleni kabla ya Machi
*Awasha umeme Kijiji cha Magodi na Kig… Read More
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akizungumza na wadau wa uvuvi kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Kasanga Wilaya ya Kalambo Mkoani Rukwa, akibainisha juu ya ut… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Vituo vya Taarifa na Maarifa Wilaya ya Kishapu vimefanya Kikao cha Mrejesho wa Uchambuzi wa Bajeti Kijinsia katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishap… Read More
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Serikali imewataka viongozi wa taasisi zinazohusika na mradi wa kimkakati wa Magadi Soda ulioko Engaruka wilayani Monduli,Mkoani Arusha, kushirikiana katika kukamil… Read More
NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amemuagiza Meneja wa RUWASA wa Wilaya ya Masasi aweze kuhakikisha vijiji nane vya Mnavira, Manyuri, Mkaliwata Chipingo, chikolopola, Ma… Read More
Na. Gideon Gregory, Dodoma.
Kiongozi wa Uinjilisti Kanisa la Moravian Nkuhungu Jijini Dodoma Mch. Boaz Mwazyunga ametoa wito kwa kanisa hilo jimbo la Kaskazini kuwa na mpango wa kuandaa w… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (kulia), akiwasilisha Taarifa ya Utendaji Kazi wa Wakala hiyo kwa Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga (katika… Read More
*Nishati Safi si anasa, kaya zote kufikiwa*
Wizara ya Nishati imelenga kuboresha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kutokana na umuhimu wa afya za Watanzania na Mazingira… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Shilingi Bilioni 3.4 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara, elimu, miradi ya maendeleo, afya n… Read More
Serikali ipo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa bandari ya Lagosa iliyopo katika Kijiji cha Mgambo wilayani Uvinza mkoani Kigoma.
Akizungumza mara baada ya kukagua maendeleo ya… Read More
Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow, akizungumza na waandishi wa habari katika Mgodi wa North Mara juzi kuhusu athari chanya za ubia wa kimageuzi katika uchimbaji madini… Read More
*Mkurugenzi Mkuu abainisha mafanikio lukuki, asema yamechangiwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
*TEF yakoshwa na utendaji wa NSSF yapongeza kazi kubwa i… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari (katikati) akisaini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi na Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya Indra Avitech w… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtwara
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara kwenye mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 15-20 Septemba, 2023.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolew… Read More
Lori likiwa kazini katika mgodi wa North Mara
***
Zoezi la kulipa fidia kwa wananchi katika eneo la Nyeheto wilayani Tarime, Mara linaendelea vizuri na wengi wanaripotiwa kujitokeza kupok… Read More
Benki ya CRDB kupitia taasisi yake ya CRDB Bank Foundation, leo imezindua rasmi msimu wa nne wa mbio za CRDB Bank Marathon ikwa na lengo la kukusanya Shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya kusaid… Read More
Bofya HAPA kuwasiliana Nasi 🥏🥏
Zao la Vanilla ambalo sasa limeanza kuchangamkiwa duniani linatajwa kuwa zao linalouzwa kwa bei kubwa zaidi duniani inayofikia do… Read More
Na Alex Sonna-SINGIDA
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA), imetaja mikakati yake ya kuimarisha upatikanaji wa maji na uondoshaji wa majitaka ikiwamo kutekelezwa k… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dar es Salaam kuhusu ufadhili kwa wahitimu wa Kidato cha Sita wapatao… Read More
MBUNGE wa Jimbo Tanga (CCM) Ummy Mwalimu ambaye pia ni Waziri wa Afya akizungumza wakati alipofanya ziara ya kutembelea miradi inayotekelezwa na Taasisi ya Tanga Yetu kupitia ufadhili wa Sh… Read More
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina ya Kujadili Ushiriki wa Kampuni za Bima nchini kwenye miradi ya Nishati iliyofanyika tarehe 15 Julai, 2023 j… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza na Machinga mkoa wa Shinyanga kupitia Shirikisho la Umoja wa Machinga Mkoa wa Shinyanga na Taifa.
Na Kadama Malunde… Read More