Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

WEKEZA KWENYE KILIMO CHA VANILLA UONE MAAJABU - 0629300200


Bofya HAPA kuwasiliana Nasi 🥏🥏


Zao la Vanilla ambalo sasa limeanza kuchangamkiwa duniani linatajwa kuwa zao linalouzwa kwa bei kubwa zaidi duniani inayofikia dola 430 kwa kilo moja sawa na shilingi Milioni ya Tanzania.

Kutokana na faida kubwa ya Vanilla, Kampuni Vanilla International Ltd ambayo ina mashamba ya Vanilla "Vanilla Village" katika maeneo mbalimbali duniani imeweza kujitwalia wawekezaji (wakulima) wa zao la Vanilla kufikia 1350 nchini Tanzania ambapo kabla ya uhamasishaji huo wawekezaji wa zao la Vanilla walikuwa hawafiki 50. 

Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya anasema zao la Vanilla ni zao lenye bei kubwa kuliko Silver (fedha) na linachuana na dhahabu.

“Kampuni yetu ya Vanilla International Limited inakukaribisha kuwekeza katika kilimo cha vanilla chenye uwezo mkubwa wa kukuinua kiuchumi. Zao la vanilla linaanza kuvunwa baada ya miezi 7(vikonyo) na mwaka 1 (matunda) lakini unavuna kwa miaka 60. Ukilima vanilla nasi utanufaika wewe,watoto na wajukuu. kwa sasa bei ya kilo moja ni 1,000,000/= na baada ya miaka 6 itakuwa 3,000,000/= kwa kilo ya vanilla. Soko la Vanilla liko Dubai na dunia nzima”,anaeleza Mnkondya.

Kampuni ya Vanilla International inatumia namba za simu +255629300300, +255769300200 na +255624300200 kwa ajili ya kufundishia wananchi bure kuhusu Kilimo Cha Vanilla



Bofya kuwasiliana na Kampuni ya Vanilla International Limited 🥏



SOMA ZAIDI KUHUSU VANIILA


MRADI MKUBWA KILIMO CHA KISASA CHA VANILLA WAZINDULIWA DODOMA....BILIONI 30 KULETA MAPINDUZI

VANILLA INTERNATIONAL LTD YAZINDUA SHAMBA KUBWA LA KISASA KILIMO CHA VANILLA KANDA YA ZIWA

VANILLA INTERNATIONAL LTD YAANZISHA MRADI WA 'VANILLA VILLAGE KENYA'

MNKONDYA AFANYA ZIARA KUTEMBELEA MASHAMBA YA VANILLA..... "DAR ES SALAAM NI ENEO SALAMA KWA KILIMO CHA VANILLA"

KARIBU VANILLA VILLAGE DODOMA - 0629300200





This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

WEKEZA KWENYE KILIMO CHA VANILLA UONE MAAJABU - 0629300200

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×