Bofya HAPA kuwasiliana Nasi 🥏🥏
Zao la Vanilla ambalo sasa limeanza kuchangamkiwa duniani linatajwa kuwa zao linalouzwa kwa bei kubwa zaidi duniani inayofikia dola 430 kwa kilo moja sawa na shilingi Milioni ya Tanzania.
Kutokana na faida kubwa ya Vanilla, Kampuni Vanilla International Ltd ambayo ina mashamba ya Vanilla "Vanilla Village" katika maeneo mbalimbali duniani imeweza kujitwalia wawekezaji (wakulima) wa zao la Vanilla kufikia 1350 nchini Tanzania ambapo kabla ya uhamasishaji huo wawekezaji wa zao la Vanilla walikuwa hawafiki 50.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya anasema zao la Vanilla ni zao lenye bei kubwa kuliko Silver (fedha) na linachuana na dhahabu.
“Kampuni yetu ya Vanilla International Limited inakukaribisha kuwekeza katika kilimo cha vanilla chenye uwezo mkubwa wa kukuinua kiuchumi. Zao la vanilla linaanza kuvunwa baada ya miezi 7(vikonyo) na mwaka 1 (matunda) lakini unavuna kwa miaka 60. Ukilima vanilla nasi utanufaika wewe,watoto na wajukuu. kwa sasa bei ya kilo moja ni 1,000,000/= na baada ya miaka 6 itakuwa 3,000,000/= kwa kilo ya vanilla. Soko la Vanilla liko Dubai na dunia nzima”,anaeleza Mnkondya.
Kampuni ya Vanilla International inatumia namba za simu +255629300300, +255769300200 na +255624300200 kwa ajili ya kufundishia wananchi bure kuhusu Kilimo Cha Vanilla.
Bofya kuwasiliana na Kampuni ya Vanilla International Limited 🥏
SOMA ZAIDI KUHUSU VANIILA