Na John Mapepele
Wakaazi wa Hifadhi ya Ngorongoro ambao ni kaya 11 na wananchi 43 pamoja na mifugo 36 walioamua kuhama kwa hiari kupisha uhifadhi leo tarehe 19 Oktoba, 2023 wamempongeza n… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Kuelekea Maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mtandao wa Jinsia nchini TGNP Wadau wa Jinsia na Maendeleo GDSS wameendelea kujivunia jukwaa lao a… Read More
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel,akizungumza wakati akifungua Kongamano la kwanza la Afya ya Mtoto Tanzania na mkutano wa 24 wa Madaktari Bingwa wa Watoto Tanzania unaoendelea jiji… Read More
Mwanamke mmoja raia wa Congo ambaye ameolewa na waume wawili, amewaduwaza wengi ikizingatiwa kwamba ndoa ya waume wengi ni nadra barani Afrika.
Francine Jisele anaishi na waume wawili, mum… Read More
Na MWANDISHI WETU MALUNDE 1 BLOG
Mkazi wa Mtaa wa Nyasubi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga Mseveni Mchele Derefa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, viboko 10 na faini ya Shi… Read More
E'major ni mwimbaji kutoka Nigeria wa Afro-fusion na Afro-rnb, mtunzi wa nyimbo, na mwanamuziki anayeishi Amerika. Muziki wake unachukuliwa kuwa wa kipekee, wenye mvuto kutoka kwa aina mba… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa 12 na wengine limewafikisha mahakamani kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kukamatwa noti bandia 15 ze… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Matembezi na mbio fupi za Uzazi Ni Maisha Wogging 2023 yalioanzia viwanja vya Butros Kiembe Samaki n… Read More
Mama Kinara Bhoke Mokhe akitoa elimu kuhusu Masuala ya VVU
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Imeelezwa kuwa Afua ya Mama Kinara iliyoanzishwa katika Hospitali ya mji wa Tarime Mkoani M… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka akina mama kuhakikisha wanawanyonyesha watoto wao mara kwa mara kadri wanavyotaka hu… Read More
Afisa Mawasiliano wa TGNP, Monica John akifungua Semina ya Waandishi wa habari kuelekea tamasha la 15 la kijinsia nchini ambalo litaanza Novemba 7-10, 2023 katika Viwanja vya Mtandao wa Jin… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Wakati Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kukabiliana na UKIMWI - The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) ukitimi… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa juhudi inazozionyesha kuboresha afya nchini na kuzitaka kampuni nyingine binafsi… Read More
Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Mifumo na Huduma za TEHAMA (DISDS) Bw, Mohammed Mashaka wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, akizungumza wakati wa kikao kazi cha ku… Read More
Na Mariam Kagenda - Kagera
Akina mama wajawazito nchini wametakiwa kukaa katika mazingira yasiyowaletea msongo wa mawazo kwa kipindi chote cha ujauzito na unyonyeshaji ili kufanya… Read More
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt Seif Shekalaghe akizungumza wakati akifungua kongamano la mrejesho wa Tafiti za Kukinga na kudhibiti Maambukizi na Usugu wa dawa za Antibiotic l… Read More
Regina Mabula Afisa uhusiano kutoka GGML akizungumza na Watoto kuhusu siku yam toto wa Afrika
Rebbeca Manace kutoka Jeshi la Polisi dawati la Jinsia Geita Akitoa elimu juu ya haki za Wato… Read More
Nalinganisha penzi na bustani ambayo huhitaji kumwagiliwa maji mengi na isipopata maji ya kutosha uweza kufifia na hatimaye kufa, hivyo penzi linaitaji maji ya mahaba kila siku liweza kusham… Read More
James alikuwa kijana ambaye anaishi mtaani kwetu Buza, tuliweza kujuana na kuonana mara kwa mara, siku moja natoka Stand ya Buza ili niende nyumbani, nikakutana na James na kuniomba namba… Read More
MKUU wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa kushoto akizundua msimu wa sita wa Tanga Women Gala Jijini Tanga linaloandaliwa na Kampuni ya Five Brother Intertainment kulia ni Mkurugenzi w… Read More
Waziri wa Maliasili, Mhe. Mohammed Mchengerwa, jana Mei 6, 2023, amekutana na kufanya mazungumzo na mtoto mkubwa wa kiume wa Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump, Donald Trump Junior, al… Read More
Jina langu naitwa Farida mkazi wa mkoa wa Katavi, umri wangu ni miaka 38, nipo kwenye maisha ya ndoa miaka 10 sasa na mume wangu yazidi, tulifunga ndoa ya kimila ambayo ilihudhuriwa na waza… Read More
Nilitaka sana na kutamani kwa muda mrefu lakini haikuwezekana kabisa, mwanzoni nilidhania kuwa kizazi change kiko mbali lakini wala ilikuwa tu ni magonjwa yaliyo nishambulia kipindi cha nyu… Read More
Ninamuita bibi kwa kuwa ni mdogo wa mzazi wa kike wa baba yangu mzazi yeye anaishi huko kwao kijijini ambako huwa tunakwenda marachache sana kumtembelea kwasababu za umbali na changamoto… Read More
Charles Elias (18) Mkazi wa Mtaa wa Kigoma, mkoani Katavi amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu tumboni na watu wasiojulikana majira ya usiku katika eneo la Mtaa wa Kawajense Manispaa ya… Read More