Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

MUME WANGU KAMEGA TUNDA LA HOUSE GIRL NA KUNIACHA

Jina langu naitwa Farida mkazi wa mkoa wa Katavi, umri Wangu ni miaka 38, nipo kwenye maisha ya ndoa miaka 10 sasa na Mume Wangu yazidi, tulifunga ndoa ya kimila ambayo ilihudhuriwa na wazazi wa pande zote mbili.


Baada ya kuolewa Mume wangu alinifungulia biashara ya kuuza nguo kwa ajili ya kuweza kujipatia fedha ndogo ndogo kwa ajili ya kujinunulia baadhi ya vitu kama mama wa nyumbani.

Nilijituma kadiri ya uwezo wangu kuendesha biashara ile vizuri na Mungu aliniwekea mkono wake, kila siku nilikuwa natengeneza faida na siyo hasara.


Siku zilipita na hatimaye nikapata ujauzito, hivyo ikanibidi nitafute mtu wa kunisaidia kazi nyumbani hata dukani pia, katika harakati za kutafuta mtu wa kunisaidia kazi, mume wangu aliweza kumpata msichana kutoka kijijini kwao.


Msichana huyo aliitwa Swaum, mara moja alianza majukumu yake ya kila siku pale nyumbani na hata dukani alikuja kunisaidia mara chache.

Mimi binafusi nilivutiwa jinsi alivyokuwa anafanya kazi zake kwa wakati, pia heshima aliyokuwa nayo, kama mtu angekuja nyumbani kwetu kwa mara ya kwanza asingejua kuwa Swaum ni msichana wa kazi, bali angejua ni mtoto wetu kwa jinsi ambavyo tulikuwa tunaishi naye.


Miezi tisa ilitimia nikajifungua mtoto wa kiume, hivyo Swaum ilibidi mara nyingi awe anaenda dukani kuuza nguo akiwa amemaliza kazi za nyumbani.

Ratiba yake ilikuwa anatakiwa kuondoka nyumbani saa nne asubuhi akiwa ameandaa kila kitu kwa ajili yangu kisha anaenda dukani, na kutoka dukani ni saa tatu usiku na mume wangu ndiye alikuwa anamrudisha.

Baada ya siku kadhaa ratiba ya kurudi nyumbani ilianza kubadilika baada ya kurudi saa tatu walianza kurudi saa nne au tano, nilivyokuwa namuuliza mbona mmechelewa mume wangu alikuwa anatoa sababu ambazo hazikuwa na maana kwangu.

Siku zilizidi kwenda na mume wangu alianza kumpa Swaum zawadi nyingi kama simu, nguo n.k, na hakuishia hapo, akanambia kuwa inabidi tumuongeze Swaum mshahara zaidi ya mara mbili. Nilimuuliza kwa nini akaniambia kwa sasa Swaum anafanya kazi nyingi sana pia anafanya kazi yake vizuri ndio maana anataka tumuongeze mshahara.

Nilivyotazama mwenyewe kweli Swaum alikuwa anafanya kazi vizuri tena kwa wakati, hivyo nilikubari aongezwe mshahara japo nikaanza kuwa na wasiwasi kuwa huenda mume wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Swaum.

Baada ya miezi mitano ilibidi nirejee kazini kwangu na kuacha mtoto nyumbani akiwa na Swaumu na wakati wa kumnyonyesha Swaum alikuwa anamleta dukani kwa sababu duka halikuwa mbali sana na nyumbani.

Nilivyoanza kwenda kazini mume wangu alianza kutoka nyumbani akiwa amechelewa, nilipomuuliza akasema kuwa ratiba ya kazini kwake imebadilika, hivyo haina maana kwenda kazini kabla ya muda.

Siku moja Swaum alinikosea nikamsema na kutaka kumpiga, ndipo mume wangu alitoka chumbani na kunipiga makofi kisha kunisema vibaya mbele ya Swaumu. Nilimbeba mtoto wangu na kwenda chumbani kulala japo machozi yalikuwa yananitoka kwa wingi sana.

Tangu siku hiyo maisha yalizidi kuwa mabaya sana kwangu ikafika hatua nikipika chakula mume wangu anasema chakula siyo kitamu hivyo analala njaaa ila Swaumu akipika chakula anakula vizuri na kukisifia.

Siku moja niliamka mapema kama kawaida yangu kisha nikaelekea dukani kwangu nilipofika dukani nikagundua kuwa nimesahau funguo nyumbani ikanibidi nirudi nyumbani kuchukua.

Nilipofika nyumbani nikagundua kuwa gari ya mme wangu bado ipo, nilipofika Sebleni nikakuta mtoto analia sana nipoingia jikoni kuona kama Swaum anapika sikumkuta, ikabidi nifungue mlango wa chumba zetu ndipo nilimkuta mume wangu na Swaumu wakifanya mapenzi.

Nilipigiwa na butwaaa na kumzaba makofi Swaumu na kumtukana mme wangu kutokana na hasira nilizokuwa nazo muda ule, ndipo mume wangu alinisukuma nje na kunambia kuwa hataki kuniona tena katika nyumba yake.

Nilianza kulala kwenye chumba cha wageni, mume wangu analala kwenye chumba chetu na wakati mwingine namsikia chumbani na Swaumu wakifanya mapenzi kwa sauti kwa lengo la kunikomesha.

Wakiwa wanafurahia mapenzi yao mimi nilikuwa natumia muda huo Facebook na WhatsApp kuchati na marafiki zangu, nikiwa Facebook niliona mwanaume ametoa ushuhuda jinsi African Doctors alivyoweza kumsaidia kurudisha mke wake baada ya miaka mitatu ya kuachana.

Nilipozidi kusoma nikakutana na namba ya African Doctors ambazo ni +254 769 404965, kesho yake niliweza kuwasiliana naye, baada ya mazungumzo aliniambia nisubiri kwa masaa 72 pekee Swaum ataondoka mwenyewe nyumbani na furaha ya ndoa yangu itarejea kama mwanzo.

Kabla ya masaa 72 kutumia Swaum alinipigia simu nikiwa bado nipo kazini kisha kuniomba msamaha na kusema amerudi kwao na hataweza kumkaribia mume wangu tena maisha yake yote.

Usiku huo mme wangu alinifuata chumbani kwangu kisha akaniomba msamaha, tangu kipindi hicho mume wangu amekuwa mwaminifu sana kwangu, hata alipokuja dada mwingine wa kazi, mume wangu ameendelea kuniheshimu.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; [email protected].

Mwisho.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

MUME WANGU KAMEGA TUNDA LA HOUSE GIRL NA KUNIACHA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×