Na Barnabas Kisengi, Dodoma
Mapema leo Oktoba 11 2023 viongozi wa kamati ya siasa ya chama cha Mapinduzi kata ya kilimani pamoja na wajumbe wa secretariat ya kata ya… Read More
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kw… Read More
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
KUELEKEA tamasha la 15 la jinsia Novemba 7-10, 2023 na Tapo la Ukombozi wa mwanamke Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) unajivunia mafanikio ya baadhi ya sheria… Read More
Asilimia kubwa ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), wana uwezo mkubwa wa kuchanganua na kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokabili jamii yetu.
Hayo yamesemwa na Wazi… Read More
Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Kampuni kubwa ya kilimo cha vanilla 'Vanilla International Limited', Simon Mnkondya amefika katika shamba la Vanilla lililopo Kunduchi Beach na kutoa mafunzo ya… Read More
Ujenzi Mabweni ya wasichana umetajwa mkombozi kutimiza ndoto za mtoto wa kike
Na Marco Maduhu, GEITA
WANAFUNZI ambao wanasoma katika Shule ya Sekondari Msalala Halmashauri ya Nyang&rsquo… Read More
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefanya uwekezaji mkubwa kwenye Vyuo vya Ualimu nchini kwa kujenga majengo mapya, kukarabati pamoja na kuweka vifaa vya kufundishia… Read More
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), imetoa elimu ya kilimo cha zao la Mkonge, masoko na fursa zitokanazo na zao hilo kwa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), katika Semina ya kuhitim… Read More
Afisa Uhusiano kutoka GGML, Ruth Mharagi akitoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya sekondari wasichana Nyankumbu, namna ya kutumia pedi pindi wawapo kwenye hedhi.
Na Mwandishi Wetu
Hedhi ni… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha mafunzo na uendelezaji wa wafanyakazi benki ya CRDB Edith Muyombela akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) alipoelezea huduma zinazotolewa na be… Read More
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Nyankumbu wakijisomea maktaba (library). Shule hii ya wasichana ni ya mfumo wa sayansi na inawanafunzi zaidi ya 1050, imesheheni vifaa vya maabar… Read More
Mchungaji Daniel Masembo kutoka Kanisa la EAGT Runzewe akiwasihi waumini kuwa na upendo wa kweli .Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blogMchungaji wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanz… Read More
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akizungumza na viongozi na wananchi kwenye siku ya Mifugo na Uvuvi ya Maadhimisho ya Wiki ya Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini kwenye… Read More
Afisa wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko Dkt. Sigisbert Mmasi kutoka Taasisi ya ubunifu na Usanifu mitambi Tanzania (TEMDO)akitoa maelezo Kwa naibu Katibu Mkuu wa wizara ya uwekezaji ,viwa… Read More
Solution SACCO (SSL) was split from Meru Mwalimu SACCO in 1993. The latter was formed in 1976 as a cooperative for teachers within the greater Meru District. List Of Solution Sacco Branches… Read More
Wananchi wa Oloesho katika kata ya Olasiti na Olmoti, Halmashauri ya Jiji la Arusha wamepata faraja na kufurahia ujenzi wa daraja la Esuri lenye urefu wa meta 17 na upana wa meta nane (8) li… Read More
Na Denis Sikonde, Songwe
Ukosefu wa kipato cha kutosha umesababisha kituo cha kulelea watoto yatima cha Isoko(ISOKO HOSPITAL OPHANS PROJECT) wilayani Ileje mkoani Songwe kupunguza idadi ya w… Read More
SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Hai Kilimanjaro akimhudumia ng'ombe wake aliyemnunua kwa ruzuku ya TASAF mara baada ya kuingizwa kwenye mpango wa kaya masikini.ELINE MASAWE mnufaika… Read More
Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ikiboresha maslahi ya wafanyakazi nchini pia kushusha tozo mbalimbali katika mishahara… Read More
This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full contentVACANCY FOR BOARD MEMBERS INTRODUCTION Our client MKOMBOZI COMMERCIAL BANK… Read More
Na Allan Vicent, Ngara
KATIKA kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Halmashauri ya Wilaya ya Ngara mkoani Kagera imewezesha vijana wake 33 mikopo nafuu ya usafiri wa bo… Read More
Na Mwandishi Wetu, Same
Kujengewa uwezo wa kuendesha miradi rafiki ikiwemo ufugaji samaki na utengenezaji majiko banifu kwa wananchi, umesaidia kupungua uharibifu wa misitu uliokuwa ukifany… Read More
Abdul Athumani akiwa na kifaa chakeKijana Nzuri Bin Nzuri akiwa na kifaa chakeIkiwa ni wiki ya ubunifu, Shirika la Masuala ya Sayansi la Inspire limeibua wabunifu mkoani Tanga ambao wa… Read More
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki akizungumza na baadhi ya wakazi wa Kata ya Kilindoni iliyopo Wilaya ya Mafia Mkoani Pwani alipofanya ziara ya kikazi ya siku mbili wilayani humo… Read More