Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Mussa Misaile akifunga mafunzo kwa Wajumbe wa Bodi wa vyama vipya vya Ushirika wa Mbogamboga, matunda na mazao mchanganyiko, Mkoani Arusha
Wajumbe wa B… Read More
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Katika kukabiliana na vitendo vya udanganyifu, utapeli na upotevu… Read More
Na Walter Mguluchuma,Katavi.Mwendesha Boda boda Idrisa Said Bayaga(32) wa Kituo cha waendesha pikipiki cha Nyerere Mtaa wa Kawajense Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi amefikishwa mahakamani… Read More
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Mtwara Abdalah Malela,akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili ya kuzijengea uwezo Asasi za kiraia juu ya uelewa wa sheria na taratibu za uendeshaji wake l… Read More
Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Mtwara Rehema Mwinuka (Kulia) akimkabidhi hati mkazi wa kijiji cha Nanyhanga halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara Ally Salum Mkulumwile alipom… Read More
MMILIKI wa Jamii Forums Apandishwa Kizimbani Kisutu, Ashindwa Kutimiza Masharti ya Dhamana Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Jamii Media Limited, inayomiliki… Read More
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (Mb), (kushoto) akipewa maelezo na mmoja wa wanasanyansi wanaotengeneza chanjo ya Tatu Moja Prof. Phillemon Wambura namna chanjo hiyo inay… Read More
Na Mwandishi wetu, Geita
Kampuni ya uchimbaji dhahabu mkoani Geita (GGML) imeanza kuchimbaji wa wazi na wa chini kwa chini katika mgodi wa Nyamulilima ikiwa ni siku chache baada ya Serikali… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya amekitaka kiwanda cha sukari Kilombero kuongeza wigo wa ununuzi wa miwa ya wakulima ili uzalishaji wa sukari nchini uongezeke na kuondoa utegemezi… Read More
Na Avitus Benedicto Kyaruzi, Bukoba Kagera.Wamiliki wa viwanda vya kahawa Mkoani Kagera wametakiwa kutafuta soko la ndani la zao hilo ili kuwajengea wananchi kutumia kahawa wanay… Read More
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wenye viwanda vya sukari nchini kurejea mikataba ya uzalishaji walioafikiana na Serikali kujiridhisha iwapo inaenda sam… Read More
Mbunge wa Geita mjini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amesema Halmashauri ya mji wa Geita hadi kufikia mwezi Julai mwaka huu tayari imeshatoa… Read More
Na Joseph SabinusMende ni mdudu anayechukiwa na watu wengi katika jamii kwa kuwa anahusishwa na uchafu sambamba na kusambaa kwa maradhi mbalimbali licha ya wadudu hawa kuwa na manufaa makubw… Read More
Ingawa hakuna umri maalamu ambao mwanamke anaweza kushika ujauzito baada ya kukidhi vigezo vya kibaiolojia, tunafahamu kwamba kuanzia miaka 35 uwezo huo hupungua na changamoto za uzazi huong… Read More