Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ametoa wiki moja kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Morogoro kuhakikisha anarudisha Mawasiliano ya barabara kati ya w… Read More
Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi umefanikiwa kurejesha mawasiliano yaliyokuwa yamekatika kati ya Kilwa Masoko-Nangurukulu wilaya ya Kilwa na wilaya ya Liwale mkoani Lin… Read More
Na Mathius Canal, Morogoro
Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5 utatumia Bilioni 97.178
Serikali kupiti… Read More
Na Beatus Maganja, TAWA
Mkazi wa Kijiji cha Kasenyi kilichopo wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Bw. Obeid Francis (44) amenusurika kuliwa na mnyamapori aina ya mamba baada ya kuikumb… Read More
Na Samwel Mwanga, Itilima
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed amehaidi kulivalia njuga suala la baadhi ya wahudumu wa Afya katika Wilaya ya Itilima mkoani… Read More
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25, 2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na madarasa mengine mawili katika Shule ya Msingi I… Read More
Na Oscar Assenga,TANGA
WAZIRI wa Ardhi,Nyumba na Mendeleo ya Makazi Jerry Silaa anatarajiwa kuongoza Kliniki ya Ardhi kwa mkoa wa Tanga itakayofanyika kuanzia Aprili 22 mpaka 28 mwaka… Read More
Na Mwandishi wetu, Handeni.
Wananchi waliohama kwa hiyari kutoka eneo la hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera wilayani Handeni mkoani Tanga wamemuomba mkuu wa mkoa huo mhe. Balozi… Read More
DODOMA; Idadi ya wawekezaji wa Kigeni wenye dhamira ya kufanya uwekezaji katika kijiji cha Nguruwe imezidi kuongezeka katika kijiji cha Mayamaya wilayani Bahi Mkoani Dodoma baada ya… Read More
Watu wawili jinsi ya kike wakazi wa Kiwanja Kata ya Mbugani Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wameuawa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka miwili kujeruhiwa kwa vitu vyenye ncha kali nyumb… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kamati ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Hesabu za Serikali (PAC) imefanya ziara ya kukagua miradi ya umeme Mkoani Shinyang… Read More
Na Christina Cosmas, Morogoro
MBUNGE wa jimbo la Kilosa mkoani Morogoro Prof. Paramagamba Kabudi amewahimiza wazazi katika kijiji cha Kitange mbili kata ya Mtumbatu kuweka utaratibu wa… Read More
Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wakijionea mradi wa majisafi ya bomba uliojengwa kutokana na fedha za CSR Barrick North Mara katika kijiji cha Nyangoto kwa ajili ya matumizi ya wananchi… Read More
Na. Richard Mrusha Katavi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amewataka Makamanda wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuratibu maeneo yao… Read More
*Kusini kuchele, Utafiti wa Miamba na Madini wahamia Mtwara
*GST kufanya tafiti madini mkakati Mtwara
Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameshuhudia jaribio la urushwaji wa Ndeg… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Jenerali (Mstaafu) Venance Mabeyo amepongeza kazi kubwa inayofanywa na Jesh… Read More
Nora Damian na Esther Mnyika, Monduli
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ukomavu mkubwa wa kisiasa ulioonyeshwa na Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa ni somo kwa Watanzania wanaotaka k… Read More
*Aipongeza REA kusambaza umeme vijijini kwa ufanisi
*DG REA aeleza Shilingi Bilioni 73.9 zimewekezwa kutekeleza Miradi mitano ya umeme vijijini mkoani Arusha
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Dig… Read More
Na Mwandishi wetu, Mtanzania Digital
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dk. Vincent Mashinji amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeendelea kuunga mkono jitihada za Baba wa… Read More
*Ataka Viongozi Serikalini kutatua kero za wananchi na si kusikiliza tu
*Aagiza viongozi kuhakikisha wanafunzi wote wanaripoti mashuleni kabla ya Machi
*Awasha umeme Kijiji cha Magodi na Kig… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amewaongoza wajumbe wa mfuko wa jimbo kukagua miradi iliyotengewa na kutekelezwa kwa fedha za mfuko huo kiasi cha Sh 67,498,970 kwa mwaka 2022/… Read More
-ASEMA HATAPEWA MUDA WA NYONGEZA
-WANANCHI 7121 KUNUFAIKA NA MAJI BAADA YA KUKAMILIKA
NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkandarasi anayetekeleza Miradi ya Maji ya… Read More
Yapo makazi ambayo si rafiki sana kwaajili ya uponyaji wa maisha yako!. Kuna mahali/vijiji/mitaa ambavyo ukikaa ni ngumu kupokea chochote kutoka kwa Mungu, isipokuwa Mungu mwenyewe amekuambi… Read More
Mhandisi Barnabas Konga ( kushoto) kutoka Mamlaka ya Maji Mbeya, akimweleza Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA, Prof Mark Mwandosya( aliyeketi kulia) kuhusu maendeleo ya mradi wa maji Mbaka, waka… Read More
Naibu wa Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amewataka wakandarasi wa mradi wa maji wa Mugango- Kiabakari-Butiama waweze kukamilisha utekelezaji wa Ujenzi wa mradi huo ili… Read More
Msanii Maarufu wa Nyimbo za Asili za Kabila la Wasukuma Bhuhulu Lusafisha / Buhulu Lusafija mkazi wa Ngaya Wilaya ya Kahama amefariki dunia.
Taarifa zinaeleza kuwa Msanii Bhuhulu Lusafisha… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetoa Mafunzo ya Usambazaji na Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa Viongozi na Watendaji… Read More
Na Marco Maduhu, SHINYANGA
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme, ameongoza Wananchi na Watumishi wa Serikali Manispaa ya Shinyanga, katika Maombolezo ya kuuaga mwili wa mareh… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Tanzania Mhe. Omari Mohamed Kiguha amesema kuwa kamati imeridhishwa na hatua za ujenzi wa mradi wa bwawa la Membe zii… Read More
Na Deogratius Temba
Mtandao wa Wanawake, Katiba, Uongozi na Uchaguzi, ambao wamekuwa wakidai na kushawishi mabadiliko ya kisera, kisheria na kimuundo ili kutoa nafasi sawa kwa wanawa… Read More
Na John Mapepele
Wakaazi wa Hifadhi ya Ngorongoro ambao ni kaya 11 na wananchi 43 pamoja na mifugo 36 walioamua kuhama kwa hiari kupisha uhifadhi leo tarehe 19 Oktoba, 2023 wamempongeza n… Read More
Balozi wa Japan nchini Tanzania Yasushi Misawa, kulia akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Hai Amiri wakikata utepe kwenye madarasa 8 na ofisi mbili zilizotolewa na ubalozi huo.
Mkuu wa shule… Read More
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameonekana kutoridhishwa na hatua ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya katika Halmashauri ya Sumbawanga Vijijini, ambap… Read More
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, Jeshi la Kujenga Taifa, Askari mgambo pamoja na vyombo vingine vya dola, imefanya opereshen… Read More
Na Mwandishi wetu _ Malunde 1 blog
WANANCHI wa kijiji cha Kiloleli halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga wamefanikiwa kuanzisha ujenzi wa matundu 24 ya vyoo na chumba kimoja cha kujistir… Read More
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
KUELEKEA tamasha la 15 la jinsia Novemba 7-10, 2023 na Tapo la Ukombozi wa mwanamke Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) unajivunia mafanikio ya baadhi ya sheria… Read More
Maafisa wa Shirika la Viwango Tanzania wakitoa elimu kwa wananchi na wafanyabiashara wa kijiji cha Msomera wilaya ya Handeni Tanga kuhusu umuhimu wa kusoma taarifa kwenye vifungashio ikiwem… Read More
● Wadau wa sekta ya Madini waona umuhimu wa kutumia taarifa za GST
Wadau mbalimbali wameeleza kuvutiwa na kitabu cha Madini Yapatikanayo Tanzania kinachopatikana katika Banda l… Read More
Lori likiwa kazini katika mgodi wa North Mara
***
Zoezi la kulipa fidia kwa wananchi katika eneo la Nyeheto wilayani Tarime, Mara linaendelea vizuri na wengi wanaripotiwa kujitokeza kupok… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu, ameshiriki mahafali ya darasa la saba ya Shule ya Msingi Mahambe na kukabidhi madawati 44 yenye thamani ya Shilingi Milioni 2.8 ili kuondoa ch… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe.Gerald Mongella,akimtishwa Ndoo ya Maji Mwananchi mara baada ya kuzindua mradi wa Maji unaosimamiwa na Counsenuth wakati wa maadhimisho ya mafanikio ya mradi… Read More
Na Samwel Mwanga,Simiyu
JESHI la polisi Mkoa wa Simiyu limefanikiwa kukamata watu watatu kwa tuhuma ya kukutwa na Nyara za serikalI ambazo ni wanyamapori Swala wapatao 28 aina ya Thomson wak… Read More
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akionesha zao la Vanilla katika Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji… Read More