Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua jiko la gesi katika Kikosi 8… Read More
Swali: Je biblia takatifu inajichanganya katika habari ile ya binti wa Yairo?.. kwamaana katika Marko na Luka inaonyesha kuwa Binti alikuwa katika kufa! (M
The post Je biblia inajichanganya… Read More
Swali: Mathayo 21:19 inasema “mtini ulinyauka mara (maana yake muda ule ule uliolaaniwa)”.. lakini katika Marko 11:20 biblia inasema “mtini ulinyauka
The post Je ile habari… Read More
Na Oscar Assenga, TANGA.
BODI ya Korosho Tanzania Mkoani Tanga imewaonya wakulima wenye tabia za kutorosha Korosho kwenda kuuza nje ya nchi kuacha mara moja kufanya hivyo kwani siku zao zin… Read More
Wagombea wa vyama mbalimbali wakiangalia fomu za uteuzi wa wagombea walioteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kugombea nafasi ya udiwani Kata ya Kimbiji iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya K… Read More
DAR ES SALAAM - Na Mwandishi Wetu;-
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetangaza siku 14 kwa watumiaji wa Vyombo vya Moto barabarani kuondoa namba za magari zilizoongezwa ukubwa maarufu k… Read More
Na Faraja Masinde, aliyekuwa Bagamoyo
Takwimu zinaonyesha kuwa biashara haramu ya viumbe pori inashika nafasi ya nne katika kundi la biashara haramu duniani ikitangaliwa na ile ya dawa za k… Read More
SKOFU SANGU FarajaFM December 25, 2023 0
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu, amesema Kanisa halijawahi kufundisha au kuhalalisha muungano wa kindoa… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) Kupitia vituo vya Taarifa na Maarifa Wilaya ya Ubungo wamekutana kuichambua bajeti ya 2023/2024 yenye mlengo wa Jinsi… Read More
Looking to learn some basic Swahili phrases? You’ve come to the right place!
Swahili (or Kiswahili) is a Bantu language widely spoken across East Africa. It’s a melodic blend… Read More
Swali: Katika Mathayo 14:5 tunasoma kuwa Herode alitaka kumwua Yohana mbatizaji, lakini tukirudi katika Marko 6:20 tunasoma habari nyingine tofauti kuwa Herode hakutaka kumwua Yohana m… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
BODI ya Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetembelea katika bandari ya Bagamoyo na Mbweni kwa lengo la kutazama mambo yanavyofanyika katika… Read More
Jina langu ni Shadrack, nilikuwa mtu ambaye niliamini michezo ya kamari, mara kwa mara nilicheza michezo hii kwani niliamini kuwa siku moja ningweza kupata fedha nyingi kutokana na mich… Read More
Na Faraja Masinde, Muheza
Jamii imetakiwa kumtazama ndege aina ya bundi kama fursa na kubadili dhana iliyojengeka kuwa ni uchuro anapotua kwenye makazi.
Hayo yamebainishwa juzi wilayani Muh… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Wakati Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kukabiliana na UKIMWI - The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) ukitimi… Read More
Naitwa Blessing, mzawa wa Kondoa, nina umri wa miaka 26, nimehitimu masomo ya Secondary mwaka 2015 ila sikuweza kupata nafasi ya kujiunga na masomo ya high school kutokana na hali ngumu ya… Read More
Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo Bwana Yesu. Karibu katika kujifunza maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Leo tutaona jinsi “moyo wa toba ya kweli” unavyopokelewa kitofauti sana… Read More
Nalinganisha penzi na bustani ambayo huhitaji kumwagiliwa maji mengi na isipopata maji ya kutosha uweza kufifia na hatimaye kufa, hivyo penzi linaitaji maji ya mahaba kila siku liweza kusham… Read More
Mahusiano yetu ya muda mrefu yaliniaminisha kuwa Isack ni baba bora wa maishani ni mwanaume ambaye hakuna mtu angeopena ampoteze katika maisha yake kwa namna yoyote ile lakini hili ndilo lil… Read More
Ni mama yangu mzazi hatujuwi shida hii ilimuanza vipi na kwanini amekuwa hivyo ghafla kwa kuwa hatukuwahi kupewa malalamiko kokote alikoenda na wala hatukuwahi kushuhudia sisi weny… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Mei 9,2023 kuelekea Siku ya Kongamano la Sera na Mitaala ya Elimu litaka… Read More
Na Halima Khoya & Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limefanya ukaguzi wa kushitukiza kwenye malindo ya kampuni mbalimbali za ulinzi na kufanikiwa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), inapitia mapendekezo ya Sheria ya Huduma za Habari baada ya kukabidhiwa kutoka Ofisi ya Waziri wa Habari, Maw… Read More
Na Woinde Shizza,ARUSHAImebainika kuwa ugonjwa wa saratani hapa nchini umeonekana kuwa tatizo linaloongezeka kila mwaka hususani saratani ya mlango wa kizazi wa wanawake kwani kati ya… Read More
*********************NA MWANDISHI WETUMTUME na Nabii Shile Mwasha (Nabii wa Rufaa) wa Huduma ya Ufunuo wa Kristo na Kanisa la Miujiza lililopo Bunju Kilimani jijini Dar es Salaam amesema kuw… Read More
Shalom…Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe milele. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Lipo la kutafakarisha sana, katika ile habari ya yule mtu aliyesafiri, na kuwaita watumwa wake wa… Read More
Watoto waliochomwa motoPicha ya Mwanamke Scholastica Peter mwenye umri wa Miaka 28 akiwa katika ofisi ya Mtendaji kata ya Ibinzamata.Na Mapuli Misalaba, SHINYANGAMwanamke anayefahamika kwa j… Read More
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth Magomi akionyesh Bunduki aina ya Gobore ambayo wameikamata katika msako.Na Marco Maduhu, SHINYANGAJESHI la Polisi mkoani Shinyanga, limekam… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima akishuka ndani ya Basi aina ya Tata linalofanya kazi ya kubeba wanafunzi Mjini Shinyanga.Na Kadama… Read More
-Hifadhi ya Taifa Ruaha yasema wanyama wanahangaika, samaki wameanza kufaNa Mwandishi Wetu, Michuzi TV-RuahaIMEELEZWA kwamba Mto Mkuu Ruaha ambao ni kwa uhai wa hifadhi ya taifa ya Ruaha upo… Read More
MHUBIRI: Mch. JONATHAN BUCHAUPANGA HAUTAONDOKA NYUMBANI MWAKO.2 Samweli 11:1-13[1]Hata ikawa, mwanzo wa mwaka mpya, wakati watokapo wafalme kwenda vitani, Daudi akampeleka Yoabu, na watumish… Read More
***********************Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Leo Agosti 27,2022 kimekutana na Wafanyabiashara wa Marekani ambao ni jamii ya watu wa China kwenye kongamano kubwa la Kibiashara na… Read More
Matendo ya Mitume 19:11-19[11]Mungu akafanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida;[12]hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawaondokea, pep… Read More
ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe amerudi rasmi kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM).Mh… Read More
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake leo Dodoma kuhusu msimamo wa kuwahamisha wafanyabiashara wa soko la Sabasaba kupisha ukarabati wenye… Read More