Dar es Salaam. Tarehe 10 Agosti 2023: Benki ya CRDB imeingia ushirikiano na kampuni ya Samsung Tanzania ili kuwapa punguzo la bei wateja watakaonunua simu mpya aina ya Samsung Galaxy Z Fol… Read More
Mkurugenzi wa Malunde 1 blog, Kadama Malunde akiwa ndani ya Duka la Halotel Mjini Shinyanga
****
Jipatie zawadi kemkem ukitembelea Duka la Halotel katika msimu huu wa Sabasaba 2023… Read More
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt Seif Shekalaghe akizungumza wakati akifungua kongamano la mrejesho wa Tafiti za Kukinga na kudhibiti Maambukizi na Usugu wa dawa za Antibiotic l… Read More
Mahusiano yetu ya muda mrefu yaliniaminisha kuwa Isack ni baba bora wa maishani ni mwanaume ambaye hakuna mtu angeopena ampoteze katika maisha yake kwa namna yoyote ile lakini hili ndilo lil… Read More
Jina langu naitwa Farida mkazi wa mkoa wa Katavi, umri wangu ni miaka 38, nipo kwenye maisha ya ndoa miaka 10 sasa na mume wangu yazidi, tulifunga ndoa ya kimila ambayo ilihudhuriwa na waza… Read More
Tuliishi na mke wangu katika jiji la Nairobi ambapo nilikuwa nafanya biashara, ndoa yetu haikukumbwa na misukosuko kwani tuliaminiana sana na mapenzi yetu alikuwa moto kweli kweli, hakuna a… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga imefanya ukaguzi kwa wafanyabiashara na wanunuzi wa bidhaa mbalimbali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji w… Read More
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Katika kukabiliana na vitendo vya udanganyifu, utapeli na upotevu… Read More
Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao ya kasino ya mtandaoni kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa… Read More
Sloti ya Deuces Wild Poker Unapenda kucheza karata na umeshaonesha ubingwa wako kwa washikaji zako na sasa unatafuta sehemu ya kujiingizia kipato kutokana na kipaji chako cha kucheza ka… Read More
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwalimu wa shule ya Sekondari Loiler iliyopo Mji Mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya,Peter Emmanuel (29),kwa tuhuma za kumshambulia fimbo mwanafunzi kwa… Read More
Mwanaume mmoja aliyekuwa na bunduki tatu amempiga risasi mke wake wa zamani na watu wengine watano wakati wa ghasia katika mji mdogo wa vijijini katika jimbo la Mississippi nchini Marekani.P… Read More
ZAIDI ya watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania, ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma za michezo ya kubashiri mtandaoni.
Akizungumza katika uzindu… Read More
Watu 9 wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kukanyagana kwenye Msongamano ulitokea Freedom City Mall usiku wa kuamkia Mwaka Mpya 2023.Akithibitisha tukio hilo Naibu msemaji… Read More
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth MagomiNA HALIMA KHOYA, SHINYANGA.Mkazi wa Butengwa Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga Richard Nzumbe ambaye ni wakala wa huduma za fedh… Read More
SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 20:10 [10]Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA. JIBU: Ni mstari unaolenga ubadhilifu katika biashara au mai… Read More
Posta masta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania akifungua Kongamano la Biashara mtandao na Anuani za Makazi lilioandaliwa na Shirika hilo na kufanyika Leo Jumamosi oktoba 08 , 2022 katika ukum… Read More
ChuiNDUMISO MONA; ni mwanaume mwamba kabisa wa nchini Afrika Kusini ambaye kwa sasa ni gumzo nchini humo baada ya kupambana na chui na kumuua kwa mikono yake mwenyewe.Ndumiso alipambana na c… Read More
Chibalonza ana umri wa miaka 22, lakini moyo wake umetekwa na mapenzi ya babu mwenye umri wa miaka 88, Kasher Alphonse nchini Congo.Babu huyo aliambia Afrimax English kuwa wanapendana na kue… Read More
Iwapo umedurusu mitandao ya kijamii, huenda umekutana na video ya mzee mmoja kwenye simu yake akimtaka aliyempigia kukata simu kwa kutumia neno "Kata simu kata simu tupo site we don't like d… Read More
Na COSTANTINE MATHIAS, Bariadi.MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu wamesikitishwa na uhaba wa mashine za kukusanyia mapato za kielektroniki (EFD-Machine) ambazo zimesa… Read More
Polisi katika eneo la Uranga kaunti ya Siaya nchini Kenya, wanachunguza mauaji ya kijana mmoja mwenye umri wa miaka 19, baada ya watu wasiojulikana kumvamia dukani na kumuua kisha kuondoka n… Read More
Mwanaume ambaye amekamatwa na kushtakiwa kwa kuiba biblia mbili kwenye duka kubwa jijini Nairobi anasema alichokuwa akitaka ni kumjua Mungu tu.Augustine Wanyonyi, 35, aliambia mahakama kwamb… Read More
Afisa Msimamizi Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Paul Ramadhan (kulia) akimuelimisha mfanyabiashara wa duka la jumla sokoni Kariakoo jijini Dar es Salaam leo 06/01/2022 kuhusu m… Read More
Takriban watu 84 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya mlipuko mkubwa kutokea katika mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown. Mlipuko huo ulitokea baada ya lori la mafuta lenye u… Read More
Na Derick Milton, Simiyu
Siku chache baada ya kuripotiwa taarifa ya Mama Zawadi Sayi Abdallah mkazi wa Kidinda Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu kudai kuwa alijifungua mapacha lak… Read More