SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mithali 20:10 [10]Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni Chukizo Kwa Bwana. JIBU: Ni mstari unaolenga ubadhilifu katika biashara au maisha…kwamfano labda mtu ni muuzaji wa mchele..na kwenye duka lake anakuwa na mawe mawili ya mizani…moja la haki na lingine lenye uzito wa chini kidogo..hivyo akija mtu kumuuzia anampimia Read More
The post Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali ni Chukizo Kwa BWANA. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.