STEPHEN JULIUS MASELE: UJUMBE WANGU KWENU WAPIGANAJI LEO KATIKA SIKU YANGU YA KUZALIWA LEO TAREHE 01 OKTOBA 2023.
Habari za leo ndugu zangu wapendwa?
Ndugu zangu kwa mape… Read More
Mtu mmoja aliyekuwa akiendesha pikipiki amefariki dunia katika ajali kati ya pikipiki hiyo na Gari ya Mwendokasi baada ya kugonga basi hilo kwenye eneo la Lumumba, mataa ya Kituo c… Read More
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoani Tanga (RTO) Wiliam Mwamasika akizungumza wakati kuelezea mpango kazi wa Usalama barabara kwa Jiji la Tanga unaendeshwa na Shirika la Amend… Read More
Na Okuly Julius-Dodoma
KATIKA kukabilia na ongezeko la ajali za barabarani nchini Chuo cha Udereva cha WIDE kwa kushirikiana na Serikali ya wilaya ya Chamwino wameanzisha programu ya m… Read More
Watu watatu wakazi wa Lugala, Kata ya Manzase mkoani Dodoma, wamefariki dunia jana Jumanne usiku baada ya gari aina ya Noah walilokuwa wamepanda kutumbukia kwenye korongo.
Imeelezwa kuwa… Read More
Na Okuly Julius-Dodoma
MKUU wa chuo cha mafunzo ya udereva cha Wide Institute of Driving jijini Dodoma, Faustine Matina ameishauri serikali kuweka mikakati ya kukomesha ajali nchini i… Read More
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo akizungumza wakati alipozindua zoezi la wanachama,wapenzi na mashabiki wa timu ya Simba kuchangia damu katika Zahanati ya Kisosora Jijini Tang… Read More
Watu wawili wanahofiwa kufa katika ajali iliyohusisha basi la Kilimanjaro Express lililokuwa likitokea Arusha kwenda Dar es Salaam kugongana na gari dogo katika Kijiji cha Kijomu… Read More
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Leonard Nyandahu akionesha vifaa vya kupigia ramli chonganishi vilivyokamatwa
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shi… Read More
Watu watano wanahofiwa kufariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari dogo aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea mkoani Mbeya ikigongana na lori katika eneo la Iyovi Ta… Read More
Naibu Waziri – Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi akizungumza na wawekezaji wa kiwanda cha kuzalisha bidhaa mbalimbali za chuma cha Stee… Read More
Na Shamimu Nyaki
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewajulia hali majeruhi 10 wanaoendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya Temeke waliojeru… Read More
BIDHAA za mafuta ya breki ya dot 3, nguo za ndani za mitumba na nyaya za umeme ambazo zimepigwa marufuku nchini zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 25 zimekamatwa kupitia operesheni maal… Read More
Naitwa Juma kutoka kijiji cha Nyakimincha, Kisii nchini Kenya, nimekuwa na changamoto nyingi sana katika maisha yangu, ila kuna changamoto moja ndiyo hasa imekuwa ikininyima usingizi kil… Read More
Gari ya Serikali Vs Gari binafsi ya Mhe Dugange iliyopata Ajali
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip I. Mpango akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya… Read More
Na Mwandishi Wetu,Pwani
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa elimu ya Usafiri Salama Majini kwa wadau mbalimbali wa wilaya ya Kibiti katika mialo ya Nyamis… Read More
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Cheick Sangare,akitoa zawadi ya jaketi la kinga ya ajali (Reflector) kwa mmoja wa waendesha punda za kubeba mizigo wakati wa mafunzo ya uhamasish… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu wamewataka Watanzania kutumia Kondomu pindi wanaposhiriki ngono ili kujikinga na maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI na ku… Read More
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga Emmanuel Ntobi
Na Mwandishi wetu - Malunde 1 blog
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Shinyanga Emmanuel Ntobi amewa… Read More
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewata… Read More
Watu kadhaa wamepoteza maisha baada ya lori lililokuwa likisafirisha changarawe kupoteza mwelekeo na kugonga kundi la bodaboda waliokuwa wameegesha eneo lao (kijiweni) mjini Migori nchini… Read More
Askari wa usalama barabarani wakitoa elimu kwa waendesha bodaboda.***MGODI wa Dhahabu wa Barrick North Mara, umeshirikiana na Jeshi la Polisi Wilaya ya Tarime, kuwapatia madereva wa pikipiki… Read More
Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital
Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuokoa Maisha ya wagonjwa wanaohitaji damu, Kampuni ya Simu ya Halotel, leo Machi 6,2023 imeshirikiana na… Read More
Kuwa na makazi mazuri ni sehemu ya mambo matatu ya muhimu (basic needs) kwa binadamu yeyote ukiachilia mbali chakula na mavazi, hivyo katika kutafuta kwangu maisha, nilijitahidi sana niweze… Read More
Mwanamke mjamzito mwenye umri wa miaka 21, na mtoto wake aliyekuwa tumboni walifariki dunia wakati gari la wagonjwa lililokuwa likimkimbiza hospitalini kupoteza mwelekeo na kuanguka.Ripoti z… Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (katikati) akizindua kitabu maalum cha watu wasioona chenye maudhui ya usalama na afy… Read More
Benjamin John mkazi wa kata ya Kasamwa halmashauri ya mji Geita, amefariki dunia huku wengine wakinusurika kifo baada ya kusombwa na Maji wakati wakijaribu kuvuka katika mto Nyampa kuelekea… Read More
Diwani wa Tarafa ya Kinampanda Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Winjuka Songanieli Mkumbo, enzi za uhai wake.Marehemu Winjuka Mkumbo enzi za uhai wake.Na Dotto Mwaibale, SingidaWATU watano w… Read More