Swali: Je waliokufa kabla ya Bwana Yesu kuja (yaani watu wa agano la kale)wataokolewaje?.. kwamaana tunajua kupitia damu ya Yesu tu! ndio tunapata ukombozi wa hakika wa dhambi, sasa waliokuw… Read More
Jibu: Tusome kuanzia mstari wa 43.. Luka 23:44 “Hapo ilikuwa yapata saa sita, kukawa giza juu ya nchi yote hata saa kenda, 45 jua limepungua nuru yake; pazia la hekalu lika… Read More
Jina la Bwana YESU KRISTO, Mkuu wa uzima, libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, neno la Mungu wetu lililo taa na mwanga wa njia yetu (Zab.119:105) Biblia inatufundisha kuwa TUMTAKE BWANA na N… Read More
Katika maandiko hakuna vifungu vya Moja Kwa Moja vinavyorekodi tukio la Bwana Yesu kunena Kwa lugha. Lakini Kwa ufahamu wa Rohoni tuliopewa twajua kuwa ni wazi Yesu alinena Kwa lugha. Kutoku… Read More
SWALI: Bwana Yesu asifiwe naomba kufahamu maana ya hili andiko; 1Wakorintho 14:20 “Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu; lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga, bali k… Read More
Masomo maalumu kwa wanawake. Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Je wewe ni mwan… Read More
Nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tena tujifunze maneno ya uzima. Kulikuwa na aina nne za wito ambao Bwana aliwaitwa mitume wake. Matendo 1:8 Lakini mtapokea… Read More
(Masomo maalumu yahusuyo mifungo na maombi). Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia yetu… Read More
SWALI: Wakati shetani anamjaribu Yesu, biblia inasema alimchukua na kumpandisha kwenye kinara cha hekalu, swali ni je! Alikuwa anachukuliwaje mahali pale ni njia gani ilikuwa inatumika? JIBU… Read More
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia yetu. Kuna mambo makuu mawili ambayo yanaweza KUMUUNGANIS… Read More
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tuyasikilize maagizo ya Mungu. Kuna wakati Bwana alipokutana na mafarisayo alisema maneno haya; Mathayo 23:25-26 [25]Ole wenu waandis… Read More
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Ni muhimu kujua kanuni kadhaa… Read More
Neema Gospel Choir Unaweza Download Mp3 & Lyrics Tanzania multi talented gospel choir Neema Gospel Choir just added a new deep worship single to their playlist tagged Unaweza. This song… Read More
SWALI: mnamfanya kuwa mwana wa jehanum mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe.(Mathayo 23:15) Mathayo 23:15 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nc… Read More
Swali: Tukisoma Marko 6:8, tunaona Bwana Yesu anawaruhusu wanafunzi wake “wabebe fimbo”, lakini tukirejea katika Mathayo 10:10 tunasoma habari tofauti, Bwana Yesu anawakataza was… Read More
Swali: Katika biblia Beelzebuli alikuwa ni nani?, na kwanini Mafarisayo wamwite Bwana Yesu Belzebuli/. Jibu: Jina Beelzebuli ni mwunganiko wa maneno matatu (3), Beel-ze-buli.. “Beel&rd… Read More
Refrain:
Mwokozi wetu Yesu, Bwana wa mabwana(Our Savior Jesus, Lord of lords)
Unaweza, nani kama wewe Bwana wa mabwana?(You are Able, who is like You, Lord of lords? ) (Repeat)
Tunalis… Read More
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Leo nataka tujifunze umuhimu wa kuchunguza mambo, kwani tusipokuwa watu wa kuchunguza mambo basi tunaweza… Read More
Jina la Mwokozi Mkuu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Mithali 2:10 “Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako; 11 Busara itakulinda;… Read More
Nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Nakukaribisha tuyatafakari maneno ya uzima ya Bwana wetu. Leo nataka tujifunze asili ya ushujaa wa rohoni, ambao wakati mwingine tunadha… Read More
Jina la Bwana Yesu litukuzwe Daima. Nakukaribisha katika kuyatafakari maneno ya Mungu. Lipo andiko ambalo tunaweza kuona ni la kinyonge lakini linatiba kubwa sana kama tukilitumia. Embu tuon… Read More
Bwana yesu apewe sifa, Naomba kufahamu, Kwanini Wana wa Israeli walimuhifadhi mwana-kondoo siku nne kabla ya kuchinjwa katika sikukuu ya pasaka.Je Kuna ufunuo gani tunaweza kupata katika Ten… Read More
Je! Moyo wako upo kweli kwake? Kuna kauli Bwana Yesu alisema kuhusiana na watu kumwelewa Mungu na uweza wake kwetu, alisema.. Mathayo 13:14 “Na neno la nabii Isaya linatimia kwao… Read More
Jina la Bwana na Mwokozi wetu, Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia!. Usipoujua ufunuo umhusuyo Yesu hutaona sababu ya kumwamini wala kumfuata, vile vile usipopata ufunuo wa kutos… Read More
Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuzidi kuyatafakari maneno ya uzima. Je! Unahabari kuwa watakaonyakuliwa wameshaanza kuandaliwa? Je! Wewe upo katika hatua ip… Read More
Karibu tujifunze biblia. Matendo 3:22 “ Kwa maana Musa kweli alisema ya kwamba, Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii, katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni yeye katika mambo yote atak… Read More
Zaburi 144:1 “Na ahimidiwe Bwana, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana” Nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tujifunze ma… Read More
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe daima, karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Maandiko yanatuonyesha k… Read More
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, Huu ni mfululizo wa masomo maalumu kwa ajili ya wanawake: Ikiwa hukupata chambuzi nyingine za nyuma basi fungua link hii uweze kuzipit… Read More
Sala ya Bwana ni sala ambayo Bwana wetu Yesu Kristo aliwafundisha wanafunzi wake, kabla ya kuondoka kwake. Na kwa kupita sala ile, hakuwafundisha tu wanafunzi wake bali alitufundisha na sisi… Read More