Jina la Mwokozi Mkuu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia. Mithali 2:10 “Maana hekima itaingia moyoni mwako, Na maarifa yatakupendeza nafsi yako; 11 Busara itakulinda; Ufahamu utakuhifadhi. Haya ni mambo manne ambayo ni muhimu sana kuwa ndani yetu. Mambo haya manne ni Bwana pekee anayeweza kuyatoa.. Mithali 2:6 “Kwa kuwa Bwana huwapa watu hekima; Kinywani Read More
Related Articles
The post TAFUTA HEKIMA, MAARIFA, UFAHAMU NA BUSARA. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI wa kristo.