Karibu tujifunze biblia. Matendo 3:22 “ Kwa maana Musa kweli alisema ya kwamba, Bwana Mungu wenu atawainulieni nabii, katika ndugu zenu, kama mimi; msikieni yeye katika mambo yote atakayonena nanyi. 23 Na itakuwa ya kwamba kila mtu asiyemsikiliza nabii huyo Ataangamizwa na kutengwa na watu wake” Unabii huo unamhusu Bwana Yesu Kristo, lakini swali la Read More
The post ATAANGAMIZWA NA KUTENGWA NA WATU WAKE. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.