Udakuzi Mtandaoni | … · 09:13 04 Feb 2016
Mwanae Blog Posts
Udakuzi Mtandaoni | … · 10:26 17 Mar 2016
BABA YAKE PETER MANYIKA ASEMA MWANAE ANASHUKA KIWANGO KWA KUENDEKEZA MAPENZI Baada ya kuona kipaji cha mwanae kikipotea wakati akiw… Read More
Maswayetu Blog · 13:46 28 May 2016
INNOCENT-THE BLOGGER-BOYMkuu wa zamani wa Mkoa wa Kaskazini Pemba na mshauri wa Rais wa Zanzibar kisiwani humo, Dadi Faki Dadi amekamatwa akituhumiwa kufanya mapenzi na mtoto wake wa kamb… Read More
Udakuzi Mtandaoni | … · 18:50 29 May 2016
VIDEO:Mkuu wa Mkoa Afumaniwa Akifanya Mapenzi na Mwanae Mkuu wa zamani wa Mkoa wa Kaskazini Pemba na mshauri wa Rais wa Zanzibar kisiwani humo, Dadi Faki Dadi a… Read More
Udakuzi Mtandaoni | … · 09:18 12 Jun 2016
MAMA WEMA AKASIRISHWA NA MANENO MACHAFU YANAYOSEMWA KUMHUSU WEMA SEPETU..!! ATOA ONYO KALI KWA WOTE WENYE TABIA YA KUMTUKANA MWANAE..HII NDIYO KAULI YAKE Uch… Read More
Udakuzi Mtandaoni · 04:27 19 Feb 2017
Mbeya : Mama Afukua Kaburi la Mwanae,Kisa Kamili Hiki Hapa...!!! Katika hali isiyo ya kawaida mama mmoja mwenyeji wa mkoa huu wa mbey… Read More
Udakuzi Mtandaoni · 18:26 30 Mar 2017
Kimenukaa..Mama Yake Hamisa Mobeto Atolea Kichambo Hiki Zari the Boss Lady,Amtaka Akome Kumtajataja Mwanae Mitandaoni..!!! DAR ES SAL… Read More
Maswayetu Blog · 06:43 31 Dec 2018
Mkuu wa Wilaya ya Igunga, John Mwaipopo** Mkuu wa Wilaya ya Igunga, John Mwaipopo, ametoa saa 72 sawa na siku tatu kwa uongozi wa hospitali ya wilaya, kuwachukulia hatua kali watumishi… Read More
Maswayetu Blog · 07:03 01 Jan 2019
Licha ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto kudai kwamba madai ya mtoto wa miezi mitano kufungiwa kabatini sio ya kweli, mama mzazi wa kichanga hicho amesimulia jinsi alivyotumi… Read More
Maswayetu Blog · 05:41 25 Jan 2019
Mama na mwanawe mwenye umri wa miezi sita wamefariki dunia papo hapo juzi baada ya kupigwa na radi wakati walipokuwa shambani katika Kijiji cha Msasa,wilayani Geita. Akithibitisha kutok… Read More
Maswayetu Blog · 10:56 28 Jan 2019
Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Cecilia Paschal mkazi wa Kisimani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara anadaiwa kumuua mtoto wake mdogo mwenye umri wa miezi sita baada ya kuibuka ugom… Read More
Maswayetu Blog · 09:16 06 Feb 2019
Polisi huko Homa Bay nchini Kenya wamewatia mbaroni baba na mwanae wa kiume kwa kumpiga hadi kumng’oa meno afisa wa polisi aliyekuwa ameenda kumkamata mshukiwa mwingine aliyehusishwa n… Read More
Maswayetu Blog · 19:01 21 Feb 2019
Na Stephen Noel Mpwapwa -Dodoma. Mahakama ya wilaya ya Mpwapwa imewahukumu watu watatu akiwemo baba na mwanae wakazi wa kijiji cha Msagali darajani kata ya Chunyu wilayani Mpwap… Read More
Maswayetu Blog · 17:39 17 Mar 2019
Hali ya majonzi imegubika kaunti ya Kitui nchini Kenya baada ya jamaa kumuua mwanawe mwenye umri wa miaka sita kisha kujirusha kwenye bonde akavujika shingo na miguu na kufariki dunia… Read More
Maswayetu Blog · 08:55 02 Apr 2019
Picha haihusiani na habari hapa chiniMkazi wa mtaa wa Fisi, kata ya Igunga mjini mkoani Tabora, Nyalagi Simon amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Igunga kwa tuhuma za kumuunguza mwan… Read More
Maswayetu Blog · 07:48 12 Apr 2019
Polisi mjini Murang'a wanamshikilia mwanaume Paul Njuguna Njoroge (25) anayedaiwa kumuua mwanawe wa kiume Collins Waweru (5) kwa kumshambulia kwa panga kwa sab… Read More
Maswayetu Blog · 14:13 12 Apr 2019
Jamaa mmoja (45) huko Kakamega nchini Kenya anauguza majeraha mabaya baada ya kupokezwa kichapo cha mbwa koko na wenyeji waliojawa na hamaki baada ya kufumania peupe akishiriki ngono n… Read More
Maswayetu Blog · 09:52 20 Aug 2019
Binti wa miaka 22, Ephrazia Maneno, Mkazi wa Kijiji cha Nyaseke kata ya Bulela Mjini Geita anadaiwa kumuua kwa kumnyonga Mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kisha naye kujinyonga.T… Read More
Maswayetu Blog · 11:36 07 Oct 2019
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imepanga kutoa hukumu Ijumaa October 11,2019 dhidi ya Kigogo wa TPRI, Aresteric Silayo anayedaiwa kumbaka mwanae wa kike mwenye umri wa miaka 11.Akizungumza m… Read More
Maswayetu Blog · 07:46 20 Oct 2019
Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amewakumbusha Wazazi wenye watoto waliowapeleka kusoma katika shule binafsi wahakikishe wanawatimizia mahitaji yao ya muhimu katika… Read More
Maswayetu Blog · 12:12 06 Nov 2019
Mkurugenzi mtendaji (Tigo) Bw. Simon Karikari akimkabidhi mfano wa hundi ya Mil 110/- Ofisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Brenda Msangi.Hafla ya makabidhiano yalifanyika katika wakati wa mkutano n… Read More
Maswayetu Blog · 13:37 20 Nov 2019
LUDEWA -NJOMBEMwanamke mmoja anaejulikana kwa jina la Christina Mlelwa(38) mkazi wa Kijiji cha Mavanga kata ya Mavanga kitongoji Cha mji mwema wilayani Ludewa mkoa wa Njombe anashikilikiwa n… Read More
Maswayetu Blog · 19:47 25 Dec 2019
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha nchini Tanzania linamtafuta Moses Pallangyo akidaiwa kumuua kwa kumkata shoka mkewe Marry Richard Mushi mkazi wa kijiji cha Kilinga wilayani Arumeru mkoani hum… Read More
Maswayetu Blog · 07:33 31 Dec 2019
Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki Dunia leo Jumanne Dec 31, 2019 katika Hospitali ya Amana Da es Salaam alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.Bi. Ver… Read More
Maswayetu Blog · 10:44 03 Jan 2020
Na Amiri kilagalila-NjombeMzee Jonaidi Haule (72) mkazi wa Mawengi wilayani Ludewa Mkoani Njombe amesababishiwa kifo kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali na mwanae kutokana na ugomvi wa kifa… Read More
Maswayetu Blog · 07:25 12 Jan 2020
Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 33 waliohusika kwa namna moja au njingine katika kuhusika na mauaji ya mfanyabiashara Petro Sagalika yaliyotokea siku ya tarehe 02, Januari… Read More
Maswayetu Blog · 11:17 30 Jan 2020
Vanessa Bryant ambae ni Mke wa Legend wa Basketball Marehemu Kobe Bryant, ameandika kwenye Instagram kwa mara ya kwanza toka kifo cha Mumewe, Mtoto wake na Watu wengine kwenye ajali ya Helik… Read More
Maswayetu Blog · 08:29 25 Mar 2020
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amethibitisha mtoto wake Dudley amepata maambukizi ya CoronaKwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mbowe, Jumanne… Read More
Maswayetu Blog · 14:33 28 Mar 2020
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESCHANZO:BBC SWAHILIKenya imethibitisha visa saba zaidi vya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus, huku Uganda ikiandikisha visa vingine vitano vya ugonjwa huo h… Read More
Maswayetu Blog · 13:14 10 Apr 2020
Na Amiri kilagalila,NjombeMahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kw… Read More
Sumbi Online Busines… · 05:20 22 Apr 2020
Askofu Dr Getrude Rwakatale wa Kanisa la Mlima wa Moto amefariki Dunia Alfajiri Aprili 20, 2020.Taarifa hiyo imetolewa na Mwanaye Mutta Rwakatare, waka… Read More
Maswayetu Blog · 08:50 16 May 2020
Mtoto mwenye umri wa miaka minane (jina tunalo) ambaye alizaliwa na tatizo la moyo aliloishi nalo kwa miaka yote hiyo, ametibiwa kwa mafanikio katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI).Mt… Read More
Maswayetu Blog · 11:20 17 May 2020
Rais Magufuli amesema kuanzia wiki ijayo kama maambukizi ya Corona yataendelea kupungua, atafikiria kufungua Vyuo na kuruhusu michezo iendelee.Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumapili Me… Read More
Maswayetu Blog · 12:55 28 May 2020
Na salvatory NtanduMkazi wa kijiji cha Seke Ididi wilayani Kishapu mkoani shinyanga Lucia Lukenya (42) kwa tuhuma ya kumuua na kisha kumzika mwanae mwenye jinsia ya kiume mwenye umri wa siku… Read More
Maswayetu Blog · 11:55 04 Jun 2020
Na Nyamiti KayoraShule nyingi za Sekondari hususani za vijijini zimekuwa zikikabiliwa na ukosefu wa nishati ya kuendesha maabara na mwanga wa kujisomea kwa wanafunzi waishio katika mazingira… Read More
Free Geography Resou… · 11:37 29 Jul 2020
(a) On 1st January 2017 Babake Co. Ltd acquired 60,000 of the 100,000 equity shares in Mwanae Co. Ltd, it’s only subsidiary. The draft statements of profit or loss and othe… Read More
Maswayetu Blog · 07:55 28 Aug 2020
Aliye kuwa rais wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita, aliyekamatwa Agosti 18 na kundi la wanajeshi lililofanya mapinduzi, ameachiliwa huru jana Alhamisi, jeshi limetangaza. Duru za kuaminika… Read More
Maswayetu Blog · 11:55 29 Sep 2020
SALVATORY NTANDU, SHINYANGAJeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia mkazi wa Mtaa wa Kambarage Manspaa ya Shinyanga Petro Maro (43) kwa tuhuma ya Kumbaka mtoto wake wa kumzaa mwenye u… Read More
Maswayetu Blog · 11:55 01 Oct 2020
Mtoto wa miaka saba mwanafunzi wa dasara la tatu Shule ya Msingi Ihumwa ameuawa kwa kuchinjwa shingo na mtu anayedaiwa kuwa ni mama yake mzazi, Grace William (45) kisha kutokomea… Read More
Maswayetu Blog · 10:55 01 Dec 2020
Mahakama ya Wilaya ya Kigoma imemtia hatiani Agnes Damian (40) mkazi wa Mji Mwema Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa kosa la kumkata kwa wembe sehemu mbalimbali za mwili binti wa miaka 15 ambaye n… Read More
Maswayetu Blog · 12:55 13 Jan 2021
SALVATORY NTANDUWakazi wawili wa Kijiji cha kilimawe kata ya Mwantini mkoani Shinyanga, Mabuga Ndakuna (70) na Timotheo Mabuga ( 17) wamejeruhiwa na mnyama aina ya fisi wakati wa… Read More
News - News Africa N… · 14:08 18 Jan 2021
Na Damian Masyenene, Shinyanga
Mtoto mmoja aliyejulikana kwa jina la Juma Dela Megejua (12) Mkazi wa Mwaningi Kata ya Bulige Tarafa ya Busangi Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga amefar… Read More
Maswayetu Blog · 19:55 20 Jan 2021
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, ACP Debora MagiligimbaNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogJeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia mwanaume aitwaye Shija Abdallah (28), mkazi wa kat… Read More
Maswayetu Blog · 15:55 20 Jan 2021
Mfano wa motoNa Suleiman Abeid,TimesMajira Online,ShinyangaMTOTO mwenye umri wa miaka 11 (jina limehifadhiwa) mkazi wa Mtaa wa Majengo Kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga amejeruhiwa mig… Read More
Maswayetu Blog · 20:55 19 Feb 2021
Diwani wa kata ya Nyamagana Bhiku Kotecha akionyesha tuzo ya pongezi kutoka ofisi ya Rais TAMISEMI baada ya kata hiyo kuwa mshindi wa kwanza Kiwilaya katika mtihani wa kumaliza e… Read More
MREMBO ALIYEOLEWA MIEZI MITATU TU APEWA TALAKA BAADA YA KUGOMA KUGANGWA...MPIGA RAMLI ASHIKWA HASIRA
Maswayetu Blog · 09:55 06 Mar 2021
Kisura mmoja aliyeolewa miezi mitatu iliyopita katika boma moja eneo la Iriani, Tharaka nchini Kenya amejikuta matatani baada ya kupewa talaka alipokataa kufanyiwa tambiko na mganga dhidi ya… Read More
Maswayetu Blog · 12:55 29 Mar 2021
Mwanamke aitwaye Justina Onwumere, (50) nchini Nigeria anagonga vichwa vya habari mtandaoni baada ya kurejea shuleni akiwa na miaka 50 ambapo alishindwa kuendela na masomo yake ya… Read More
Maswayetu Blog · 10:55 01 Jun 2021
Watu wenye silaha wamemshambulia na kumjeruhi Waziri na Kamanda wa zamani wa jeshi la Uganda, na kumuua binti yake na dereva.Walioshuhudia tukio hilo wanasema washambuliaji ambao hawajafaham… Read More
Maswayetu Blog · 11:55 14 Jul 2021
Mtu mmoja nchini China amekutana na mtoto wake wa kiume baada ya miaka 24 akimsaka ambapo alisafiri mwendo wa kilomita 500,000 (maili 310,000 ) kwa pikipiki kote nchini.Guo Gangtang alipokon… Read More
Maswayetu Blog · 11:51 30 Jul 2021
Kamanda wa Polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi***Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Bayo anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 40 hadi 49 mwenyeji wa Babati mkoani Arusha, a… Read More
Maswayetu Blog · 16:51 03 Dec 2021
Mzee Gideon Kisira CherowoMzee Gideon Kisira Cherowo (73) Mkazi wa Bungoma nchini Kenya amemfungulia kesi katika mahakama Kuu ya Kitale Mtoto wake aitwaye Washington Chepkombe akitaka a… Read More
Maswayetu Blog · 16:51 10 Jan 2022
Polisi wa Kaunti ya Murang’a nchini Kenya wanamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 41 kwa kosa la kumuua mtoto wake wa kike (16) anayesoma form one baada ya kurudi nyumbani kwake na… Read More
Maswayetu Blog · 12:51 24 Jan 2022
MAPYA yaibuka! Pichani Maree Arnold (54) kutoka Australia ameamua kumbebea mimba mwanae huyo wa kumzaa Meagan (28) hivyo kumzaa mjukuu wake wa kiume mwenye afya njema tarehe 13 mwezi huu.Ime… Read More
News - News Africa N… · 18:53 28 Jan 2022
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka ameagiza wazazi na walezi watakaoshindwa kuwapaleka watoto wao shule kufikia Jumatatu ya wiki ijayo kukamatwa na kupewa kazi y… Read More
Maswayetu Blog · 10:51 28 Aug 2022
Mjumbe wa serikali ya mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga Abdi Adam akizungumza na Mariam Hamis kupitia dirishani akiwa amefungiwa kwenye chumba chake na mwen… Read More
Maswayetu Blog · 10:51 05 Sep 2022
JESHI la Polisi nchini Uganda, linamshikilia Dorothy Nabulime (22) mkazi wa mji mdogo wa Busula, nje kidogo ya jiji la Kampala kwa tuhuma za kumpiga na kumfanyia ukatili mwanae wa kike mweny… Read More
Maswayetu Blog · 15:52 30 Jan 2023
Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Helen Bugoye (kulia) akimjulia hali mmoja wa wakazi wa Kishapu waliojeruhiwa kwa kushambuliwa na fisi ambapo sas… Read More
Cloud Of Witnesses · 23:20 05 Apr 2023
Majukumu ya Mzazi ni kumlea mtoto katika njia inayompasa, kwasababu hekima ya Mungu inasema, hataiacha njia hiyo hata atakapokuwa mzee. Mithali 22:6 “Mlee mtoto katika njia impasayo, N… Read More
Maswayetu Blog · 10:51 17 Apr 2023
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Aprili 7,2023.
Na Salvatory Ntandu - Kahama
Mkazi wa mtaa wa Nyasubi wilay… Read More
Maswayetu Blog · 16:52 13 May 2023
Bundala Rajabu mwenye umri wa miaka 32 mkazi wa Kijiji cha Ndami wilayani Kwimba mkoani Mwanza anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumuua kwa kumziba pua na kumkaba… Read More