Sefania 3:8 “Basi ningojeni, asema Bwana, hata siku ile nitakapoondoka kuteka mateka; maana nimeazimia kuwakusanya mataifa, ili nizikutanishe falme, nipate kuwamwagia ghadhabu yangu; n… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania
Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania’ iliyotolewa Mchi 2, 2017 inasema wasichana wanaoingia katika ndoa mapema p… Read More
Mfano wa taulo za kikeNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogWatoto wa kike wanaotokea kwenye familia duni mara nyingi hukosa kuhudhuria masomo wanapokuwa katika siku za hedhi kutokana na kukosa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mhariri wa MTANZANIA DIGITAL, Faraja Masinde, ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za uandishi wa habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za uongozi katika Serikali ambapo amemteua Balozi Hussein Othman Katanga kuwa Balozi wa Tanzani… Read More
Jeneza la mfalme wa soka duniani hayati Pele.Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva Jumanne anaongoza mazishi ya bingwa wa kandanda Pele ambaye atakumbukwa kama mchezaji bora zaidi katika… Read More
Na Oliver Oswald, Mtanzania Digital
Raia wa Ethiopia wametajwa kuongoza kwa idadi kubwa ya wahamiaji haramu nchini wanaoingia kwa njia zisizo halali (njia za panya).
Akizungumza na Mta… Read More
Idadi ya vifo kutoka nchi zote mbili ilitarajiwa kuongezeka kwani mamia ya majengo yaliyoporomoka katika miji mingi yamekuwa makaburi ya watu waliokuwa wamelala wakati tetemeko hilo lilipoto… Read More
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua kila goli kwa Tsh. Milioni 5/- wakati timu za Simba na Yanga zikicheza… Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa tuzo kwa washindi wa Mafunzo ya Uanagenzi kwenye kundi la Makampuni makubwa kwa mwaka 2023. Makabidhiano hayo yalifanyika katika hafla kati ya Baraza la T… Read More
Matukio mbalimbali katika picha baada ya washiriki wa Kongamano la Kimataifa la Gesi 2023 kutembelea Kampuni ya Oryx Gas iliyoko Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona shughuli zi… Read More
Evelyn Wanjiru – Mataifa Yote mp3 is available on this page for free download. Evelyn Wanjiru has just released a new track titled Mataifa Yote.
Download and listen to Evelyn Wan… Read More
Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene akizindua Mpango shirikishi wa Taifa wa kuzuia kipindupindu jijini Dodoma.Na 1Dotto Kwilasa, Malunde1 B… Read More
Martha Mwaipaja – Niko Hapa: Tanzanian singer Martha Mwaipaja released brand new amazing sound titled “Niko Hapa ” mp3 download.
Here another hit song fr… Read More
Martha Mwaipaja – Mataifa Yote : Tanzanian singer Martha Mwaipaja released brand new amazing sound titled “ Mataifa Yote ” mp3 download.
Here another hit… Read More
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kahama-James Lembeli ( maarufu Ng'wana Maria) amendoka nchini mwishoni mwa wiki iliyopita kwenda New York nchini Marekani.
Akiwa mjini,humo Lembeli ali… Read More
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kahama-James Lembeli ( maarufu Ng'wana Maria) katika picha kwenye hafla ya kumpongeza Mwanzilishi wa Taasisi ya Jane Goodall Dk. Jane Goodall na Balozi wa hesh… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kila mwaka, nchi duniani kote, mashirika ya kimataifa yanayohusiana na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) hukusanyika ili kushiriki kesi za sera za uw… Read More
Na Mwandishi Wetu
MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni Dodoma wiki hii, umeacha nje jambo moja &ndas… Read More
👉 Ujerumani yatoa bilioni 16
Na John Mapepele
SERIKALI ya Ujerumani kupitia Shirika lake la Maendeleo la Kimataifa (GIZ) imetoa msaada wa Euro milioni 6 (16 bilioni) kusaidia juh… Read More
sheikhe wa Mkoa wa Dodoma Mustapha Rajab.
Na Dotto Kwilasa,DODOMA.
SHEKHE wa mkoa wa Dodoma Mustapha Rajabu amewataka watanzania kukemea na kupinga vitendo vya ushoga, ndoa za j… Read More
Kaimu Mkuu wa chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) Dkt. Florian Mtey akizungumza alipokuwa akitoa hotuba yake ya kufungua rasmi Mdahalo wa maadhimisho wa sherehe za miaka ya 59 ya muungano wa… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
SERIKALI imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na washirika na wadau kuongeza juhudi katika mafunzo ya ukunga na elimu ili kuboresha utoaji… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
SERIKALI imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na washirika na wadau kuongeza juhudi katika mafunzo ya ukunga na elimu ili kuboresha utoaji… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
SERIKALI imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na washirika na wadau kuongeza juhudi katika mafunzo ya ukunga na elimu ili kuboresha utoaji… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imesema imani, mila, na desturi za kitamaduni, ukosefu wa usawa wa kijinsia bado ni miongoni mwa sababu zinazorudisha nyuma udhibiti wa magonjwa… Read More
Kinshasa, DRC
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imemtaka Kiongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuheshimu hatua ya mataifa ya kikanda ya kupeleka vikosi katika jaribio la kuleta utuliv… Read More
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu wamewataka Watanzania kutumia Kondomu pindi wanaposhiriki ngono ili kujikinga na maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI na ku… Read More
Kinshasa, DRC
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imemtaka Kiongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuheshimu hatua ya mataifa ya kikanda ya kupeleka vikosi katika jaribio la kuleta utuliv… Read More
Na Mwandishi wetu ,MWANZA.
BODI ya Wakurugenzi k Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) imesema inaenda kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya Mazao na Nafaka kwa ujumla kwa… Read More
Jibu: Turejee, Matendo 21:25 “Lakini kwa habari za watu wa Mataifa walioamini, tuliandika na kutoa hukumu yetu ya wao kujilinda nafsi zao na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na da… Read More
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa waheshimiwa mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani kushirikiana na makamp… Read More
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini imek… Read More
Mwezeshaji katika Mdahalo wa kupinga Ukatili wa Kijinsia Jackson Malangila kutoka Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) akizungumza na wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari Lunguya hawapo… Read More
Jackson Malangalila mwezeshaji katoka Mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP) akizungumza na Musa Juma mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya Msingi Shilela
Mwanafunzi wa kidato cha nn… Read More
Mkurugenzi Kanda wa IFC Jumoke Jagun-Dokunmu,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na makundi maalumu Dkt.Doroth Gwajima.
Na Dotto Kwilasa,Dodoma.
Katika kuwezesha wanaw… Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiteta jambo na Msajili Msaidizi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bi Fat… Read More
UONGO #1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100
Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam ambao umesainiwa hadi… Read More
Viongozi wakipiga makofi wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria inayojulikana “Mama Samia Legal Aid Campaign”
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog… Read More
Balozi Willibrod Slaa ameunga mkono uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, lakini ameishauri Serikali kurekebisha kasoro zinazolalamikiwa kwenye mkataba wa uwekezaji na kampuni ya DP Wo… Read More
Dakar
Rais Samia Suluhu Hassan amehutubia kwa njia ya mtandao mkutano wa kimataifa wa Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Sekta ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia (EITI) uliofanyika Jijini… Read More
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), imetoa elimu ya kilimo cha zao la Mkonge, masoko na fursa zitokanazo na zao hilo kwa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), katika Semina ya kuhitim… Read More
JIBU: Kibiblia ni neno linalomaanisha “mvurugano” au “mvurugiko” Neno hilo utalisoma katika kifungu hiki; Isaya 17:13 “Mataifa wananguruma kama ngurumo ya maji… Read More
WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa Mabasi nchini wameitaka Mamlaka ya kudhibiti usafiri wa majini na nchi kavu (LATRA) kuharakisha utoaji wa ratiba itakayoyawezesha mabasi kutoa huduma za kw… Read More
BRYSON MSHANA, MTWARA
Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Korosho utakaohusisha nchi 33 zinazolima zao la Korosho Duniani.
Mkutano huo ulioandaliwa na B… Read More
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) amewasili mjini Istanbul, Uturuki na ujumbe wake kwa ziara ya kikazi, kufuatia mwaliko wa Waziri wa Ulinzi wa Uturu… Read More
*****************
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeamua kutumia Ndege Mpya ya Kisasa ya Mizigo Boeing 767-300 inayomilikiwa na Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong (kulia) akimkabidhi Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigela baadhi ya madawati hayo. Kushoto kwa mkuu huyo wa mkoa ni Mkuu wa wilaya ya Geita, Corn… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa juhudi inazozionyesha kuboresha afya nchini na kuzitaka kampuni nyingine binafsi… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Wakati Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kukabiliana na UKIMWI - The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) ukitimi… Read More
Msimamizi wa kituo cha Afya cha Bikra Maria Mama wa Tumaini (BMMT) na Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya ATFGM, Sister Jacqueline Gbanga akielezea namna wanavyoshirikiana na PEPFAR kuk… Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Matembezi na mbio fupi za Uzazi Ni Maisha Wogging 2023 yalioanzia viwanja vya Butros Kiembe Samaki n… Read More
Zoravo Waokoa Mataifa Download Mp3 & Lyrics Tanzanian legendary gospel singer and song composer Zoravo comes through with a new Holy Spirit inspired song captioned Waokoa Mataifa featuri… Read More
TANZANIA YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MRADI WA HAKIMILIKI NCHINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah (kushoto) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mku… Read More
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Wakili Stephen Byabato(Mb) amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Jamaica Mhe. Kamina John Smith p… Read More
Asilimia kubwa ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), wana uwezo mkubwa wa kuchanganua na kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokabili jamii yetu.
Hayo yamesemwa na Wazi… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Geita, Kanali Boniphace Maghembe (wa pili kushoto) akipokea nyaraka za vifaa mbalimbali vya tiba kutoka kwa Ofisa Mwandamizi Mahusiano ya Jamii kutoka GGML, Musa Shunash… Read More
*Ni baada ya UNFPA na UK AID kuikabidhi vifaa vya uzazi wa mpango
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imeeleza kuwa itaendelea kuunga mkono uzazi salama kwani unasaidia afya ya mam… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametoa wito kwa vyuo vikuu kuzingatia ufanyaji wa tafiti zenye tija nchini ili kuchochea na kuleta ushindani katika gunduzi mbal… Read More