Mara nyingi Bwana Yesu amekuwa akijitambulisha kwa majina mbalimbali, kwa mfano ukisoma Ufunuo 19:13 inasema jina lake anaitwa Neno la Mungu.. Hii ikiwa na maana popote palipo na Neno la Mungu, basi Kristo yupo hapo, na mtu anayeliishi hilo, basi anamuishi Kristo maishani mwake. Ukisoma pia Isaya 9:6 inasema “Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Read More
The post Mimi NI ALFA NA OMEGA. appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.