Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefanya uwekezaji mkubwa kwenye Vyuo vya Ualimu nchini kwa kujenga majengo mapya, kukarabati pamoja na kuweka vifaa vya kufundishia… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka akina mama kuhakikisha wanawanyonyesha watoto wao mara kwa mara kadri wanavyotaka hu… Read More
Diwani wa kata ya Bwilingu halmashauri ya Chalinze Mh. Nassar Karama(suti nyeusi) akizungumza na walimu
NA. ELISANTE KINDULU, CHALINZE
DIWANI wa kata ya Bwilingu ,katika halmashauri… Read More
Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo leo tarehe 9 Juni 2023 ameitaka NACTVET kuongeza usimamizi wa vyuo vya Mafunzo ya Ufundi Stadi ili kufikia ubora un… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Mei 9,2023 kuelekea Siku ya Kongamano la Sera na Mitaala ya Elimu litaka… Read More
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa kufunga Kongamano la kujadili Sera na Mitaala Mipya ya Elimu ya Awali, Msingi, sekondari na Ualimu lililofa… Read More
Baadhi ya Walimu kazini waliohitimu kozi maalumu ya mafunzo mbinu yaliyofanyika kwa miezi sita katika Chuo cha Partage Montessori cha BukobaMkuu wa Wilaya ya Bukoba Erasto Yohana Sima akitoa… Read More
*********************UNESCO kupitia mradi wake wa O3 na O3 Plus kwa kushirikiana na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yawanoa walimu watarajiwa waliopo Kwenye chuo kishiriki cha elimu Dar es s… Read More
Rai imetolewa kwa walimu wote wa shule za msingi na sekondari na vyuo nchini kupunguza matumizi ya viboko na vitisho kwa wanafunzi kama njia ya kufanya wafaulu katika masomo yao kwa kuwa huo… Read More
TAMISEMI imetoa taarifa ya kutangaza matokeo ya uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ualimu na vyuo vya elimu ya ufundi mwaka 2022TAMISEMI has announced to release… Read More
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha Seleman Msumi akikabidhi vitendea kazi hivyo kwa waratibu elimuRose Jackson,ArushaSerikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu, kupitia Wi… Read More
Meneja Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (TARURA) mkoa wa Shinyanga Mhandisi Oscar Gilbert Mlekwa (kulia) akibadilishana Mikataba ya Zabuni ya ujenzi wa miundombinu ya barabara na ma… Read More
Hali ya huzuni ilitanda katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Shitoto iliyoko Mumias Mashariki, Kaunti ya Kakamega baada ya mwalimu wao mkuu kuzirai na kufariki alipokuwa akielekea shule… Read More
Mkuu wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi Bw.Luciana Segesela,akiwasilisha taarifa kuhusu ukarabati wa chuo hicho, Ununuzi/ugawaji wa vifaa mbalimbali pamoja na ujenzi wa Shule ya Seko… Read More
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde akifafanua jambo kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda (Mb) wakati akikagua Mfumo wa kidij… Read More
Katibu Mkuu wa Wizara wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Eliamani Sedoyeka,akizungumza wakati akizindua Mkakati wa Kitaifa wa Elimu Jumuishi wa mwaka 2021/22-2025/26 uliofanyika leo Janua… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
SERIKALI ina mpango wa kupitia upya Sera ya Taifa ya Maendeleo na Huduma kwa Watu Wenye Ulemavu ya mwaka 2004 na Sheria ya Watu Wenye Ulemavu ya mwaka 2010… Read More
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimewakaribisha na kuwashauri wananchi wakiwemo wazazi walezi kutembelea banda lao la Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknoloj… Read More
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo nchini Yusuph Singo (aliyeshika mfuko) kwenye picha ya pamoja na timu ya riadha na wafanyakazi ya Kampuni ya Ocean Silent Limited baada ya kukabid… Read More
Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania, Moses Chitama. *******************Veronica Simba - TSC Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu Tanzania (TSC), Moses C… Read More