Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mikondo Miwili ya Uzalishaji Maji wa Kiwanda cha Suma JKT Bottling Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Majeshi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Katavi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo amewataka wananchi wa Mkoa wa Katavi kuachana na imani za kishirikina maarufu kwa jina la Kamchape kwani… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (wa kwanza kushoto) akikagua uwanja wa kwaraa yatakapofanyika maadhimisho ya k… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtwara
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara kwenye mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 15-20 Septemba, 2023.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolew… Read More
*Ataka mkandarasi akamilishe kwa wakati
Na: Mwandishi Wetu - MANYARA
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amemuagiza m… Read More
Rufiji. Tarehe 25 Agosti 2023: Baada ya Benki ya CRDB kufungua tawi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa amewakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya Tanzania kuja kuwek… Read More
Na Shemasi George Rugambwa- Seminari ya Ntungamo, Bukoba
Leo TEC imetoa tamko lake kuhusu mkataba wa kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai. Tamko lake limeelezewa kwa… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama (katikati) akiwa Abeli Mussa (kushoto) na Rebecca Damian (kulia) baada ya kuwapokea wanafunzi hao walioshiriki k… Read More
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele
********
Na Mwandishi Maalum - NEC
Wapiga Kura 74,642 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga K… Read More
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Tanga Alhaj Hasani Ramadhani Mbezi akifungua Kikao cha Baraza la Wazazi la Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tanga kilichoketi kupokea Taarif… Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipokea zawadi ya tuzo kutoka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Innocent Bashungwa… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa FCS, Bw. Francis Kiwanga (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa “Uraia Wetu” kwaajili ya kukuza uwezo wa AZAKi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG) zimeibua mjadala mkubwa na mpana nchini tangu zitolewe hadharani siku chache zilizopita.
Ripoti hizo za m… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Foundation For Civil Society (FCS) imezindua mradi ujulikanao “Uraia Wetu” utakaotekelezwa kwa miaka mitatu kwaajili ya kukuza uwezo wa AZAKi… Read More
Na Mwandishi Wetu
MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni Dodoma wiki hii, umeacha nje jambo moja &ndas… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda madawati 1,393 ya ulinzi na usalama wa mtoto katika shule za msingi na sekondari ili … Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema, anauona ‘mkono’ wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuelekea uhuru wa habari nchini… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), inapitia mapendekezo ya Sheria ya Huduma za Habari baada ya kukabidhiwa kutoka Ofisi ya Waziri wa Habari, Maw… Read More
Meya wa Jiji la Dar es salaam, Mh.Omary Kumbilamoto akiwaongoza watumishi wa Uhuru Fm pamoja na Shirikisho la vyama vya magonjwa yasioambukiza Tanzania-TANCDA kwenye Jogging katika uzinduzi… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wabunge wameombwa kutumia Mamlaka yao vizuri katika kupitisha Mswada wa marekebisho ya sheria ya Huduma za vyombo vya habari ya mwaka 2016 ambao unataraj… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabura akiwasili katika Kanisa la AICT Kizota tayari kuzindua Dayosisi mpya ya Kanda ya Kati ya Kanisa hilo pia kushiriki kusimikw… Read More
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko na Mkurugenzi wa Gold Fm, Neema Mghen wakikata keki wakati wa Sherehe za Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Gold FmNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogWaziri… Read More
Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ukaguzi wa ndani Tanzania (IIA), CPA Zelia Njeza akizungumza.Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ukaguzi wa ndani Tanzania (IIA), CPA Zelia Njez… Read More
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Shaka Hamdu Shaka akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya ndani mjini Babati,mkoani Manyara akiwa kwenye ziara yake ya kuji… Read More
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari y… Read More
Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika tawi la Tanzania (MISA TANZANIA) imeendesha warsha kwa wabunge vinara na marafiki wa vyombo vya habari Pamoja na asasi mbalimbali za kiraia kuj… Read More
Waandishi wa habari waliofariki dunia kwenye ajaliTaarifa kamili juu ya ajali iliyohusisha waandishi wa habari Mkoa wa Mwanza. ............................................Ndugu waandish… Read More
*Kazi kubwa imefanyika
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakati Tanzania inapata uhuru mwaka 1961 huduma ya maji haikuwa nzuri na kwa kipindi cha ukoloni ilitolewa kwa matakwa ya serikali… Read More