Na Mwandihi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama ametoa shime kwa Baraza la Uwekezaji wa Wananchi… Read More
Kamati ya wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) imekuwa mstari wa mbele katika jitihada za kufuatilia mchakato wa marekebisho ya sheria za habari ikiwemo sheria ya Utangazaji No… Read More
*Atoa vitu mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 10
*Ni katika kuelekea Sikukuu ya Idd
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, (MNE… Read More
Picha ikionesha moja ya chungu cha maua kilichowekwa kando ya barabara kikiwa kimewekwa uchafu ambao haukujulikana umewekwa na nani.
Na Dotto Kwilasa,DODOMA
HALMASHAURI ya Jiji… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (Pura) kwa kushirikiana na Chuo cha Bahari Dar es Salaam(DMI) katika kuhakikisha inamsaidia mwananchi kupata… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam,Albert Chalamila amemtaka mkandarasi wa mradi wa barabara ya Kimara , Bonyokwa na Kinyerezi kuhakikisha anajenga … Read More
Mwakilishi kutoka Wizara ya Fedha Dkt Muhajir Kachwamba akichangia umuhimu wa upatikanaji wa vyanzo endelevu vya Mwitikio wa UKIMWI nchini wakati wa kikao cha wadau kilichofanyika j… Read More
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt, Ashatu Kijaji (MB) amezitaka Taasisi zinazohusika na utoaji Leseni(BRELA) Shirika la Viwango Tansania (TBS) na wakala wa vipimo sahihi (WMA)kupita kw… Read More
Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine Shigela akizungumza katika hafla ya kuwakaribisha wahitimu 40 wa vyuo mbalimbali wasio na ajira ambao wamepatiwa fursa ndani ya GGML kupata mafunzo tarajali… Read More
Na Faraja Masinde, aliyekuwa Bagamoyo
Takwimu zinaonyesha kuwa biashara haramu ya viumbe pori inashika nafasi ya nne katika kundi la biashara haramu duniani ikitangaliwa na ile ya dawa za k… Read More
Na OKULY JULIUS , Dodoma
SHIRIKA la Amend kupitia ufadhili wa Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania wametoa mafunzo ya usalama barabarani kwa waendesha bodaboda zaidi ya 250 katika Jiji la… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
Taasisi ya Mtetezi wa Mama imepinga maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yaliyopangwa kufanyika Januari 24, mwaka huu yakiwa na lengo… Read More
Taasisi za Wakala wa vipimo za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (WMA) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (ZAWEMA) zimetiliana saini hati ya makubaliano ya ushirikiano (MoU) i… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini( DCEA) imefanikiwa kukamata jumla ya Kilogramu 3,182 za dawa za kulevya aina ya heroin na me… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamisha matumizi ya Kituo cha Mafuta cha Barrel Petrol Energy cha Mikocheni jijini Dar e… Read More
Na Nora Damian, Mtanzania Digital
Wakati Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kikijipanga kuwa Chuo Kikuu cha Uchukuzi Rais Mstaafu Jakaya Kikwete amekitahadharisha kisitoke nje ya misingi… Read More
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro, amewataka wahitimu wa mahafali ya 42 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kuitumia elimu waliyoipata kufanya tafiti zitakazosaidia ku… Read More
Waziri Wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi H. Chana akizungumza Disemba 3,2023 jijini Dodoma ,wakati akizindua Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa, yanaongo… Read More
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Ummy Nderiananga amewakumbusha vijana kuendelea kuwa mstari wa mbele katika m… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO
BODI ya Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetembelea katika bandari ya Bagamoyo na Mbweni kwa lengo la kutazama mambo yanavyofanyika katika… Read More
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. John Mapepele, leo amewaongoza wanahabari kutembelea miradi inayofanywa na Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Mal… Read More
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, Jeshi la Kujenga Taifa, Askari mgambo pamoja na vyombo vingine vya dola, imefanya opereshen… Read More
SHIRIKA la Viwango Tanzania TBS wametoa elimu kwa wazalishaji wa Bidhaa za Viwandani na wajasiriamali juu ya dhana ya ubora wa bidhaa katika Maonesho ya Kimataifa ya Viwanda Tanzania 2023… Read More
Makamu Rais wa AngloGold Ashanti anayeshughulikia miradi endelevu Ghana na Tanzania, Simon Shayo (kushoto) akimpatia maelezo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko kuhusu… Read More
*Waiomba Serikali iharakishe kurejeshwa kwake, Waonesha nia kushirikiana na Sekta Binafsi
*Naibu Katibu Mkuu Mbibo awakaribisha kushiriki Jukwaa la Madini Litakalofanyika Oktoba,2023… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa akikabidhiwa ofisi na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo Dkt Angeline Mabula katika ofisi za wizara eneo la Mtumba jijini Dodoma… Read More
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amesema Tamasha la Kizimkazi linalotarajia kufanyika Zanzibar ni tamasha muhimu linalokufungamanisha utalii na… Read More
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina ya Kujadili Ushiriki wa Kampuni za Bima nchini kwenye miradi ya Nishati iliyofanyika tarehe 15 Julai, 2023 j… Read More
Na John I. Bera
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Laban Thomas ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi zake za Uhifadhi zilizopo ndani ya mikoa ya kusini pa… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka akina mama kuhakikisha wanawanyonyesha watoto wao mara kwa mara kadri wanavyotaka hu… Read More
Khamis Mgeja
Na Mwandishi wetu -Kahama
KHAMIS MGEJA ambaye ni mjumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Shinyanga amewatahadharisha wanachama wenzake wa CCM kutahadhari… Read More
Naibu Waziri wa Afya nchini Dkt.Godwin Mollel akizungumza leo June 6,2023 Bungeni Dodoma.
NA WAF - BUNGENI DODOMA
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amebainisha kuwa, asil… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima,akizungumza wakati wa uzinduzi wa kitaifa wa maonesho ya wiki ya Msimbomilia kwenye viwanda j… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameiomba serikali kuboresha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL),ili kuchochea shughuli za utalii nchini.
Mtaturu ametoa ushauri huo Mei 22,2023,wak… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameishauri serikali kuanzisha kanda maalum ya kilimo ili kuwezesha zao kulimwa kwenye mkoa husika unaostahmili zao hilo.
Akichangia bajeti ya w… Read More
Kaimu Mkuu wa chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) Dkt. Florian Mtey akizungumza alipokuwa akitoa hotuba yake ya kufungua rasmi Mdahalo wa maadhimisho wa sherehe za miaka ya 59 ya muungano wa… Read More
waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na mazingira Dkt.Seleman Jafo akizungumza Leo Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na mazingira Dkt.Selema… Read More