Ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ya kutembelea Uongozi wa Shirika la Reli Tanzania(TRC) Kwa ajili ya kujitambulisha, kujifunza na kujionea miradi inayoendelea chini… Read More
*Ni baada ya UNFPA na UK AID kuikabidhi vifaa vya uzazi wa mpango
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Serikali imeeleza kuwa itaendelea kuunga mkono uzazi salama kwani unasaidia afya ya mam… Read More
Mahakama ya Indonesia imemfunga jela mwanamke mmoja miaka miwili baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka sheria za kukufuru za nchi hiyo katika video ya chakula ya TikTok aliyochapisha mwez… Read More
Na Shemasi George Rugambwa- Seminari ya Ntungamo, Bukoba
Leo TEC imetoa tamko lake kuhusu mkataba wa kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai. Tamko lake limeelezewa kwa… Read More
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo),Dkt Daniel Mushi akiongea na uongozi na wafanyakazi wa kiwanda kikubwa cha kuchakata nyama cha Eliya Food Overseas Ltd kilichopo wilaya… Read More
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd (wa pili kulia), akimkabidhi Robert Masala kadi ya gari aina ya Toyota Crown baada ya kushinda katika kampeni ya Benki ni SimBankin… Read More
Dar es Salaam. Tarehe 10 Agosti 2023: Benki ya CRDB imeingia ushirikiano na kampuni ya Samsung Tanzania ili kuwapa punguzo la bei wateja watakaonunua simu mpya aina ya Samsung Galaxy Z Fol… Read More
Na Alex Sonna-SINGIDA
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA), imetaja mikakati yake ya kuimarisha upatikanaji wa maji na uondoshaji wa majitaka ikiwamo kutekelezwa k… Read More
Mkuu wa Kitengo cha CRDB Wakala, Ericky Willy (wapili kushoto) akimkabidhi mshindi wa mwezi wa tano wa kampeni ya “CRDB Wakala 10 na Kitu”, Joshua Lembeli Loketa kadi ya Bajaj b… Read More
Wananchi wafurahia huduma bora za matibabu kituo cha Afya Bugarama.
Na Marco Maduhu, KAHAMA
WANANCHI wa Bugarama Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wamepongeza hudu… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Shinyanga Zachayo Enock Bugota ameweka Jiwe la Msingi katika Nyumba ya… Read More
Kaimu Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini Praygod Godwin akizungumza na wafanyabiashara mkoani Tanga jana kuhusu namna walivyojipanga kuendelea kutoa huduma nzuri kwa wafanyabiashara pamoja na… Read More
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Seleman Jafo akiwa wilayani Kishapu kuangalia utekelezaji wa miradi ya kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
Na Marco Maduhu, KI… Read More
👉 Ujerumani yatoa bilioni 16
Na John Mapepele
SERIKALI ya Ujerumani kupitia Shirika lake la Maendeleo la Kimataifa (GIZ) imetoa msaada wa Euro milioni 6 (16 bilioni) kusaidia juh… Read More
Na Beatrice Kaiza, Mtanzania Digital
Benki ya KCB imetoa msaada wa vyakula katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Maunga Center kilichopo Hananasifu, Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Vyak… Read More
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba Tanzania (TCB), James Shimbe ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Usimamizi TCB akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Afisa Kilimo Mwandamiz… Read More
Na Mwandishi Wetu Mtanzania Digital
Tunapoelekea kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi… Read More
Na Mwandushi Wetu, Mtanzania Digital
UWANJA wa Magogo unaojengwa na Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine Limited, unatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka… Read More
RUVUMAAfisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Hamis Kamando amesema kuwa kutokana na uwepo wa wingi wa madini ya makaa ya mawe katika mkoa wa Ruvuma ikiwa ni tani milioni 328, kampuni… Read More
Idara ya elimu Mkoa wa Dodoma imefanya kikao kazi cha wadau wa elimu Mkoa kilichohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akiwa ndiye mgeni rasmi wa kikao hicho kililichof… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) akifanya mazungumzo na Mwenyekiti na Afisa Mtendaji Mkuu wa Visa International, Alfred Kelly kuhusu ushirikiano baina ya ta… Read More
Baada ya kutunukiwa tuzo ya mshindi wa kwanza ya Mlipa Bora na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kilele cha Wiki ya Mlipa Kodi iliyomalizika hivi karibuni,Wafanyakazi wa Mgodi wa Twiga… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dkt.Jabiri Kuwe Bakari akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu ripoti ya utendaji wa Sekta hiyo Kwa robo mwaka.Na Dotto Kwilasa,Malunde 1 blog DAR… Read More
Toleo hili lililopanuliwa litajumuisha nyimbo zote asili, pamoja na matoleo yaliyofikiriwa upya ya nyimbo tatu: “My Way (Ryan James Carr Remake),” “Nice & Slow (R… Read More
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Shirika la ndege la Umoja wa Falme za Kiarabu la Emirates, Badr Abbas kuhusu kuitumia ndege hizo… Read More
*Kusaidia kuimarisha uchumi ulioathiriwa na Uviko-19 na vita ya Urusi na Ukraine
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
RAIS Samia Suluhu Hassan ameupiga mwingi tena katika kuhakikisha kuwa uc… Read More