Walianza watanzania wachache sana kutamba kwenye soka la ushindani tena nje ya ardhi ya Tanzania. Kuna Sunday Manara na Je ni nani asiyefahamu mapambano ya mtoto wa uswahilini mitaa ya… Read More
Na Mwandishi Wetu
Imekuwa ni kawaida kwa Shule ya Sekondari ya High View na ya Msingi High Mount zilizopo Gongo la Mboto Mwisho wa Lami, Ilala jijini Dar es Salaam kuibua na kuendeleza vipaj… Read More
Na Jeremia Ernest, Mtanzania Digital
KAMPUNI ya Michezo ya kubashiri nchini Tanzania ya WinPrincess Bet imewapa Ubalozi Wasanii, Lucas Mhuvile maarufu ‘Joti’ na msanii wa Muziki… Read More
Jeneza la mfalme wa soka duniani hayati Pele.Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva Jumanne anaongoza mazishi ya bingwa wa kandanda Pele ambaye atakumbukwa kama mchezaji bora zaidi katika… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital TIMU 64 za soka kutoka mitaa mbalimbali ya Jimbo la Segerea zinatarajiwa kuchuana kuwania kombe katika mashindano yaliyoandaliwa na mbunge wa jimbo… Read More
Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d'Or kwa mara ya kwanza, baada ya kufurahia mwaka bora wa kikazi akiwa Real Madrid mnamo 2022.Fowadi huyo wa Ufaransa alikuwa katika hali ya kuvu… Read More
Manchester United inaweza kumsajili Mkristo Eriksen wa Pili JanuariIlikuwa Machi 2020 wakati Jude Bellingham mwenye umri wa miaka 16 alipotolewa kwenye lango la Carrington ili kuzuru u… Read More
Ukame wa mabao wa Son Heung-min msimu huu umeongezeka hadi mechi nane kwa Tottenham, na hivyo kuzidisha wasiwasi mjini Seoul kuhusu ubora wa nyota huyo wa Korea Kusini miezi michache t… Read More
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Biashara United Mara, Sospeter Maiga Mandala amefariki dunia asubuhi ya leo wakati akifanya mazoezi katika uwanja wa Posta mjini Musoma.Kwa mujibu wa wachezaji… Read More
***********NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAMKlabu ya Azam Fc imefanikiwa kuinasa saini ya Ibrahimu Ajibu akitokea klabu ya Simba Sc mara baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa mafanikio makubwa… Read More
DAKAR, Senegal
MLINDA mlango wa Chelsea, Edouard Mendy, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Senegal, ambayo hutokana na kura za waandishi wa habari nchini humo.
Mendy ameibeba tuzo h… Read More
Mchezaji wa ngumi za kulipwa duniani Floyd Mayweather ameonekana akikataa kupiga picha (selfie) na kijana mmoja wa miaka 18 ambaye alikuwa amepaka rangi za kucha nchini Marekani.Tukio lilito… Read More
KOCHA wa timu ya taifa ya Morocco, Vahid Halilhodzic, amesema Hakim Ziyech amekuwa na tabia za kujiona ndiye mfalme kikosini na ndiyo maana hakumwita kwenye mechi za kufuzu fainali za Kombe… Read More
KOCHA wa Chelsea, Thomas Tuchel, amewataka mabosi wa timu hiyo kumsajili beki kisiki wa PSG, Marquinhos.Wawili hao walikuwa pamoja PSG na hadi sasa Marquinhos ameendelea kuvaa kitambaa cha… Read More
Mshambuliaji wa timu ya soka nchini Tanzania Mbwana Samatta amejiunga na klabu ya Uturuki Fenerbahce kwa mkataba wa miaka minne kutoka Aston Villa.Klabu hiyo imeandika katika mtandao wake kw… Read More
MOHAMED KASSARA
KLABU ya Manchester United imekuwa ikikumbana na ugumu katika harakati za kuboresha kikosi chao kwenye dirisha hili la usajili wa majira ya joto barani Ulaya kutokana… Read More
Christian EriksenReal Madrid inamtaka kiungo wa kati wa Tottenham raia wa Denmark Christian Eriksen, mwenye umri wa miaka 27, kusaini mkataba wa awali mwezi Januari - na baadae atahamia Spur… Read More