Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji na Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kuweka mazingira bora ya Uwek… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtwara
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara kwenye mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 15-20 Septemba, 2023.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolew… Read More
Rufiji. Tarehe 25 Agosti 2023: Baada ya Benki ya CRDB kufungua tawi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa amewakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya Tanzania kuja kuwek… Read More
Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Abdalla Hussein Kombo (katikati), Afisa Biashara Mkuu Benki ya CRDB, Boma Raballa (wapili kushoto), Mkurugenzi w… Read More
Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete (katikati) na Mkurugenzi Mkuu wa TACAIDS, Dk. Leonard Maboko (kushoto kwake) wakimkabidhi hundi ya Sh milioni 100 Mwenyekiti wa Mfuko wa Udhamini wa kudhi… Read More
UONGO #1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100
Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam ambao umesainiwa hadi… Read More
Kila baada ya miaka minne wapenda soka kote duniani huwa wanaungana na kushuhudia utamu wa burudani ya macho na moyo nikimaanisha hisia zote huwa uwanjani. Ndio Namaanisha Kombe la Dunia, ni… Read More
JAPOKUWA inafahamika kwamba, katika jumla ya idadi ya watu bilioni 7. 5 waliopo dunia leo hii, idadi ya wanaume na wanawake inapishana kwa kiasi kidogo, zipo baadhi ya nchi ambazo wanaume ni… Read More
Billionea Elon Musk (Anayetaka kuachana na mpango wa kuinunua twitter)Elon Musk anataka kuacha azma yake ya kununua mtandao wa kijamii wa Twitter kwa dola 44 (£36bn), akidai kuwa kumek… Read More
Na Benny Mwaipaja, CairoBENKI ya Maendeleo ya Kiarabu (BADEA) imeahidi kuipatia Tanzania mikopo yenye masharti nafuu pamoja na misaada inayokadiriwa kufikia dola za Marekani bilioni tatu saw… Read More
Na Benny Mwaipaja, Dar es SalaamWAZIRI wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuwekeza zaidi ya dola za Kimarekani bilioni 5.5, sawa na t… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha siku 100 za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan imesajili miradi 93 yenye thamani ya do… Read More
Na. Josephine Majura na Sabato Kosuri, Dar es SalaamNAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ameiagiza Ofisi ya Msajili wa Hazina kushirikiana na Idara ya… Read More
Na EVALINE KITOMARY -DAR ES SALAAM
KUTOKANA na kuendelea kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza, wataalamu wa afya wamewasisitiza wananchi kuweza kuacha mtindo mbaya wa maisha badala yake w… Read More
Ni nini kinachompatia Elon Musk ufanisi katika biashara?Siku chache zilizopita Elon Musk alitangazwa kuwa mtu tajiri zaidi duniani, akimpiku mwanzilishi wa Amazon Jeff Bezos.Utajiri wa mfany… Read More
Pengine umeshawahi kusikia jina la Profesa Allan Lichtman wa Marekani ambaye ana rekodi ya miaka 30 ya kutabiri kwa usahihi kabisa matokeo ya urais katika nchi hiyo. Pengine utabiri uli… Read More
Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Isaack Kamwelwe
BENJAMIN MASESE-MWANZA
SERIKALI imepokea injini mbili kutoka Korea Kusini ambazo zitafungwa kwenye meli mpya ya MV Mwanza, huk… Read More
Na Eva Valerian, WFM, Dar es SalaamBenki ya Dunia imeipatia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu wa dola za Marekani milioni 450 sawa na shilingi za Tanzania trilioni 1.035, kwa ajili ya utek… Read More